GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kuna Watu Watatu kutokea Mbagala alipokuwa akiishi Mchezaji ' Mahiri ' kwa sasa wa Kitanzania Mbwana Ally Samata a.k.a Popa wamenifanya nianze Kuamini kuwa Watanzania tuna ' Nongwa ' na ' Uswahili / Upuuzi ' mno.
Ni kwamba kila mwana Mbagala sasa anajifanya alikuwa anamjua na aliweza Kumsaidia sana Samata Kipindi alipokuwa huko na kwamba na Wao pia wamechangia haya Mafanikio aliyoyapata sasa na kwamba wanaomba na Wao wakumbukwe kwa chochote Kitu a.k.a Mtonyo.
Mwana Mbagala #1
Namjua Mbwana Samata tokea akiwa Mdogo na Mimi ndiyo nilikuwa nikimpikia Chakula na Kumfichia chini ya Uvungu wa Kitanda na akitoka tu Kucheza anakikuta. Naomba asinisahau tafadhali.
Mwana Mbagala #2
Bila Mimi Kumuokoa basi enzi zake Mbwana Samata Siku moja alikimbizwa na Mbwa wa Polisi maeneo ya Kilwa na nilimuokoa kwa Kumbeba Begani huku na Mimi pia nikitoka Baru (nikikimbia) hadi nikajikwaa vingine yule Mbwa angeondoka na moja ya Kalio lake. Kama anasikiliza hii Interview yangu akiwa huko Uingereza naomba asinisahau tafadhali kwani Maisha yangu ni Magumu sasa.
Mwana Mbagala #3
Siku moja nilimkuta Samata anajisaidia haja Kubwa Kibarazani Kwao (alipokuwa bado Mdogo) na Mimi baada ya Kugundua Nyumbani Kwao kulikuwa hakuna Mtu na Msichana wa Kazi ametoka nilichukua Jukumu la Kumsafisha (Kumchamba) na nakumbuka kama Mwanamama na Mzazi nilikuwa nikifanya hivyo mara kwa mara hivyo kama atanikumbuka kwa Kuyasikia haya basi naomba Siku akija katika Mechi za Taifa Stars asinisahau kwa chochote Kitu.
Halafu wana Mbagala acheni Ushamba ( Umbwiga ) tafadhali Mbwana Samata ni wa Watanzania wote na siyo wenu tu pekee.
Ni kwamba kila mwana Mbagala sasa anajifanya alikuwa anamjua na aliweza Kumsaidia sana Samata Kipindi alipokuwa huko na kwamba na Wao pia wamechangia haya Mafanikio aliyoyapata sasa na kwamba wanaomba na Wao wakumbukwe kwa chochote Kitu a.k.a Mtonyo.
Mwana Mbagala #1
Namjua Mbwana Samata tokea akiwa Mdogo na Mimi ndiyo nilikuwa nikimpikia Chakula na Kumfichia chini ya Uvungu wa Kitanda na akitoka tu Kucheza anakikuta. Naomba asinisahau tafadhali.
Mwana Mbagala #2
Bila Mimi Kumuokoa basi enzi zake Mbwana Samata Siku moja alikimbizwa na Mbwa wa Polisi maeneo ya Kilwa na nilimuokoa kwa Kumbeba Begani huku na Mimi pia nikitoka Baru (nikikimbia) hadi nikajikwaa vingine yule Mbwa angeondoka na moja ya Kalio lake. Kama anasikiliza hii Interview yangu akiwa huko Uingereza naomba asinisahau tafadhali kwani Maisha yangu ni Magumu sasa.
Mwana Mbagala #3
Siku moja nilimkuta Samata anajisaidia haja Kubwa Kibarazani Kwao (alipokuwa bado Mdogo) na Mimi baada ya Kugundua Nyumbani Kwao kulikuwa hakuna Mtu na Msichana wa Kazi ametoka nilichukua Jukumu la Kumsafisha (Kumchamba) na nakumbuka kama Mwanamama na Mzazi nilikuwa nikifanya hivyo mara kwa mara hivyo kama atanikumbuka kwa Kuyasikia haya basi naomba Siku akija katika Mechi za Taifa Stars asinisahau kwa chochote Kitu.
Halafu wana Mbagala acheni Ushamba ( Umbwiga ) tafadhali Mbwana Samata ni wa Watanzania wote na siyo wenu tu pekee.