Mutangi
Senior Member
- Oct 13, 2020
- 128
- 248
Dunia ya sasa ni dunia ya kidigitali. Vitu vingi vinapatikana mtandaoni, vingine vya bure, vingine vya kulipia. Watanzania wengi wakisikia unalipia huduma fulani mtandaoni wanakushangaa wakati ni hela ndogo tu. Kwa mfano mtu yuko tayari kuangalia ads kila baada ya dk 5 kwenye boomplay au Spotify lakini hawezi kusubscribe premium ambayo ni around 7000 kwa mwezi.
YouTube wamekuja na premium plan ambapo unapata pia YouTube music kwa tshs 8300 kwa mwezi. Ukiwa na hiyo matangazo bye bye. Lakini mtanzania hataki kusikia hiyo habari.
Netflix wana plans kuanzia basic hadi premium. Japo standard ndo at least. Hii ni around Tshs 22000 kwa mwezi. Ila mtanzanzia anaona ni anasa. Yani unakuta mtu amenunua smart Tv maybe nchi 43 lakini hayuko tayari kulipia premium services.
Unakuta mtu amedownload Bible kwenye simu, app ina ads kibao. Mtu hataki kulipia hata $2 tu kuondoa ads. Yuko radhi matangazo ya kubet yafunike screen akiwa anasoma Bible.
Kibaya zaidi hata taasisi zetu za kifedha haziko supprtive. At least CRDB hawana complications. Ukitaka kununua kitu online unaingiza namba ya card na security code chap mambo yanaisha. NMB wao hadi uende kwenye branch ujaze form ya kufanya manunuzi online ndo waactivate card.
Tukumbuke hawa developers wanatake time and energy kubuild hizi apps. Sasa kuchangia kidogo tu binadamu hawataki. Kumbuka hakuna kitu cha bure duniani. If you are not paying for the product then you are the product.
YouTube wamekuja na premium plan ambapo unapata pia YouTube music kwa tshs 8300 kwa mwezi. Ukiwa na hiyo matangazo bye bye. Lakini mtanzania hataki kusikia hiyo habari.
Netflix wana plans kuanzia basic hadi premium. Japo standard ndo at least. Hii ni around Tshs 22000 kwa mwezi. Ila mtanzanzia anaona ni anasa. Yani unakuta mtu amenunua smart Tv maybe nchi 43 lakini hayuko tayari kulipia premium services.
Unakuta mtu amedownload Bible kwenye simu, app ina ads kibao. Mtu hataki kulipia hata $2 tu kuondoa ads. Yuko radhi matangazo ya kubet yafunike screen akiwa anasoma Bible.
Kibaya zaidi hata taasisi zetu za kifedha haziko supprtive. At least CRDB hawana complications. Ukitaka kununua kitu online unaingiza namba ya card na security code chap mambo yanaisha. NMB wao hadi uende kwenye branch ujaze form ya kufanya manunuzi online ndo waactivate card.
Tukumbuke hawa developers wanatake time and energy kubuild hizi apps. Sasa kuchangia kidogo tu binadamu hawataki. Kumbuka hakuna kitu cha bure duniani. If you are not paying for the product then you are the product.