Ni kwanini Watu wa Makao Upanga na Makao Oysterbay wao siwasikii wakilalamikia nyongeza hii 'Kiduchu' ya 23.3% ya Mshahara?

Ni kwanini Watu wa Makao Upanga na Makao Oysterbay wao siwasikii wakilalamikia nyongeza hii 'Kiduchu' ya 23.3% ya Mshahara?

Nasikia wakati Kada zingine zikiwa zinangojea 'Kiuhuruma' kila tarehe 1 May ya kila Mwaka waongezewa Wenzao ( wa hizi Kada Mbili ) za Makao 'Upanga' na 'Oysterbay' huongezewa kila Mwezi.

Hongereni wa Upanga na Oysterbay.
Uzi tayari?!
Pumba as always
 
Huyu sijui kama anapata muda wa kulea watoto na kumhudumia mumewe (KUCHAPWA NAO), yaan kila uchao yy ni kufungua nyuzi ambazo hazina mbele wala nyuma.
Kwani huyu si ni Mwanaume? Au unatania Mkuu
 
Kama wanaongezwa kila mwezi mbona wanashinda wakiomba omba bia huku kwenye vibaa mshenzi na kutoa hovyo vitambulisho vyao vya kazi
Huwa wanaamua tu ila wana Pesa nyingi tu Mkuu niamini. Hao wanaogopwa mno na Marais wenu kwani ndiyo Wanamlinda na kumhakikishia Uhai wake na Mumewe Hafidh Ameir na Wakweze akina Waziri Mchengerwa.
 
Kwani huyu si ni Mwanaume? Au unatania Mkuu
Akikujibu muulize Yule aliyemfuata Maji Mafupi ( PM ) na akimtaka amuingilie Kinyume na Utaratibu wa Mwenyezi Mungu alikuwa ( nilikuwa ) ni Mwanaume au Mwanamke huku Yeye akijinasibu Kwake kuwa ni Shoga / Punga?
 
Hao anawaogopa, kama unabisha njoo hapa Hipro bar nimekaa kaunta nikupe ushahidi,
Siwezi kuja hapo kuna Baamedi Mzuri aitwae Mary nilimalizana nae 'Kibaikolojia' na kumuahidi Kumuoa wakati Lengo lilikuwa ni Kumchujia tu Madini yangu ya 'Kibaiolojia' kwa wakati ule kutokana na Minyege yangu. Nikitimba hapo atanijazia Nzi ( Watu ) Mkuu.
 
Magereza, Polisi na Uhamiaji vip nao wanalalamika kama Walimu kwan..?
 
Nasikia wakati Kada zingine zikiwa zinangojea 'Kiuhuruma' kila tarehe 1 May ya kila Mwaka waongezewa Wenzao ( wa hizi Kada Mbili ) za Makao 'Upanga' na 'Oysterbay' huongezewa kila Mwezi.

Hongereni wa Upanga na Oysterbay.
Wengine hatujapata kabisa na mishahara midogo mshukuru hata mliopata kuduchu.
 
Kama wanaongezwa kila mwezi mbona wanashinda wakiomba omba bia huku kwenye vibaa mshenzi na kutoa hovyo vitambulisho vyao vya kazi
Mmehamisha makombora kwa walimu Sasa mnawaekezea Hawa !?
 
Back
Top Bottom