Ni kwanini watu wengi hasa wafanyabiashara bado wanakomaa na excel badala ya kutumia Microsoft Access yenye ufanisi zaidi?

Ni kwanini watu wengi hasa wafanyabiashara bado wanakomaa na excel badala ya kutumia Microsoft Access yenye ufanisi zaidi?

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Kwa wale wasio na mambo mengi mfano wanaandaa tu ripoti ya mauzo excel inawafaa lakini utawakuta kuna hawa wafanya biasahra wana mafaili kibao ya mauzo, madeni, stock, matumizi, n.k. bado wanatumia excel, yani kitu kimoja wanajaza mara tatu tatu au zaidi

Kwanini hakuna mazoea ya kutumia Microsoft access ambayo imerahishisha haya mambo kwa kutunza data kwa mfumo wa database.

Access inaruhusu ujenzi wa mahusiano ya data kati ya tabo tofauti. Hii inafaa sana kwa biashara ambazo zinahitaji kuhifadhi taarifa kwa njia ambayo tabo zinahusiana na kila mmoja.

Access inaweza kubuni ripoti za kina na muundo maalum ambao unafaa mahitaji yako.
 
Urahisi wa kutumia excel na flexibility yake ni sababu kubwa ya watu kutumia excel
Excel ile ni spreadsheet tu, utatumia nguvu kubwa na muda mwingi kufanya kitu ambacho kinawezekana kirahisi zaidi kwenye Access ambayo ni program maalum ya database

Excel sehemu ya tarehe unaweza kuingiza hata mara 4 kwenye documents tofauti nne lakini access unaingiza mara moja tu
 
Excel ile ni spreadsheet tu, utatumia nguvu kubwa na muda mwingi kufanya kitu ambacho kinawezekana kirahisi zaidi kwenye Access ambayo ni program maalum ya database

Excel sehemu ya tarehe unaweza kuingiza hata mara 4 kwenye documents tofauti nne lakini access unaingiza mara moja tu
Inawezekana wewe ukawa umejifunza na unajua kutumia access, ila mtu ambaye hana previous knowledge ajifunze mpaka ajue access ni kazi sana. Excel hata siku 3 mtu anaelewa na kuongeza ujuzi ni rahisi unavyozidi kuitumia.
 
Utawakuta wafanya biasahra wengi wamekomaa na excel, mafaili kibao ya mauzo, madeni, stock, matumizi, n.k.

Kwanini hakuna mazoea ya kutumia Microsoft access ambayo inayoweza kuwa nyumba ya kutunza hivyo vitu vyote (database).

Access inaruhusu ujenzi wa mahusiano ya data kati ya tabo tofauti. Hii inafaa sana kwa biashara ambazo zinahitaji kuhifadhi taarifa kwa njia ambayo tabo zinahusiana na kila mmoja.

Access inaweza kubuni ripoti za kina na muundo maalum ambao unafaa mahitaji yako.
Kwa mfano?
 
Utawakuta wafanya biasahra wengi wamekomaa na excel, mafaili kibao ya mauzo, madeni, stock, matumizi, n.k.

Kwanini hakuna mazoea ya kutumia Microsoft access ambayo inayoweza kuwa nyumba ya kutunza hivyo vitu vyote (database).

Access inaruhusu ujenzi wa mahusiano ya data kati ya tabo tofauti. Hii inafaa sana kwa biashara ambazo zinahitaji kuhifadhi taarifa kwa njia ambayo tabo zinahusiana na kila mmoja.

Access inaweza kubuni ripoti za kina na muundo maalum ambao unafaa mahitaji yako.
MS Excel = Spreadsheet -> Data Manipulation & Analysis

MS Access = Database -> Data Storage & Relations

Ni mtu na mahitaji yake tu, ila nitamshangaa mtu atakaetumia MS Access kutengeneza cashbook au income statement
 
Bora hata hao wameonyesha ujuzi hata wakutumia hiyo Excel, kuna dogo tena ni degree holder kabisa nimempa kazi aniandalie monthly sales report akaniletea vitu sivielewi kwa M.words aibu niliona mimi. 🧐
 
Back
Top Bottom