Ni kwanini Yanga haipo kwenye Ranks ya Team kubwa za Afrika?

Ni kwa sababu mpira sio siasa!
Yanga hakuna siasa ya mpira bali kuna mpira wa siasa.
Mwenye masikio na asikie
 

mbona kma imekuuma sana.??andaa list yako basi uweke na vigezo vyako unavyovitaka.!!
 
Kandambili tutaendelea kumkanyaga na kumpeleka chooni. Kandambili hawezi tambulika na CAF.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
kandambili tutaendelea kumkanyaga na kumpeleka chooni. Kandambili hawezi tambulika na caf.

Sent from my blackberry 9320 using jamiiforums
hawa walioko kwenye ranks za timu kubwa afrika kutoka tza ziko wapi kwa sasa ? Afadhali hata yanga alifikia 16 bora na sasa bingwa .yanga oyeee.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…