Imekuwa ni habari kubwa mno mpaka kwenye mashirika makubwa ya habari ulimwenguni BBC, DW nk.
Mahojiano ya Diamond kwenye kituo cha habari cha MAWINGU na 'KUKIRI' kwake kwamba mtoto w Hamisa Mobeto ni wake.
Ni kwavile ni Diamond na Zarina (hongera zake huyu binti wa KINYANKOLE anajitambua sana), LAKINI ni wangapi kati yetu tunafanya haya mambo daily? Ni wa ngapi kati yetu tunazikana mimba daily!!! Ni wangapi yetu tunazisaliti ndoa zetu na mahusiano daily???
Tuache unafique kabisa.
Tupambane na hali zetu asilimia 90% ya wanaJF hatumfikii Domo hata robo ya diamond yanawatokea wengi wetu ila hili lina mijadala mingi kwakuwa ni Diamond