Hawa wafia dini walisha waokota sana.huyu mungu anawashughulikia wasiomwamini, lakini anashindwa kuwalinda wanaomwamini?? aisee.
hebu angalia kifo cha angela chibalonza.. mwanamama mashuhuri kabisa kwa kumsifu mungu, mwisho wa siku amekufa kwa ajali... halafu wanasema mungu amempenda zaidi???
mungu akikupenda zaidi anakuchukua mapema au anakuongezea maisha ili uzidi kumsifu? zile baraka za kuishi miaka mingi na heri duniani zimetoweka au?
hatari sana.
Kwani kwenye uislam hakuna mashehe wanaofanya mambo ya kijingakheri mtu mwenye mapungufu ya nguvu za kiume kuliko hawa wakristo.. ni bure kabisa..
waasisi wa hio dini wanafanya matendo yote ya kishetani ila mbongo hashtuki.. ila itafikia pahala tu.. kama ulipofikia ukomo wa mapenzi ya mashabiki wa Arsenal kwa Wenger.
Labda ww nikulize umevuta nini hadi ikafikia hatua ya kukubali vitu ambavyo ni vya uongo wa mwendo kasi.Nyie vijana angalieni; msije mkawa mnajipalia makaa ya moto. Hivi hamjui kuwa vitabu vya awali vyote ndivyo vinavyoitwa Torati !! Vitabu hivyou vipo katika Kuruhani (Qoran) na Biblia, tofauti ni majina na tafsiri ndogo ndogo za waandishi hawa wa sasa; kumbe dini zote na vitabu vyote vinasema maneno yale yametamkwa na biniadam lakini ni maneno yake Mungu Mwenyewe. Sasa leo umevuta sijui nini unasema kwa jeuri kabisa kuwa eti biblia imesema uongo. Unadiriki kusema kwa maana hiyo Mungu kasema uwongo !!!! Tafadhali tubu na uikane kauli hiyo ya hatari haraka sana. Hunijui nami sikujui lakini Mungu Anakujua.
hii thread ni maalum kwa kuelimishana kuhusu utata wa biblia na utata wa imani ya kikristo kwa ujumla.. tustoke nje ya mada.Kwani kwenye uislam hakuna mashehe wanaofanya mambo ya kijinga
Alafu haambilikiANA KICHWA KIGUMU SANA HUYO JAMAAA
kwanza kabisa umepotosha kwa kusema mungu alionyesha mpambano na alibishana na mwanadamu, hakuna maandiko yanayosema hivyo..Lakini ubishi wako utakufikisha mahala ambapo sipo. Enzi za Lutu na Nuhu Mungu alionyesha mpambano kwa mwanadamu lakini baadae akasema sitabishana na mwanadamu tena. Rejea maandiko Mwanzo 6:3. Na hapo ndipo aliposema umri huyu mwanadamu utakuwa miaka 120 badala ya ile ya wakati wa akina Nuhu
Ok kwa kifupi Biblia ndio kitabu kilichosheheni kila kitu imegusa kila sehemu ya maisha ya mwanadamu.. Kuhusu uchumi biblia imemaliza maisha ya kawaida.. Siwezi kueleza yote maana nitajaza ukurasa ila biblia imejaa hekima zipitazo hekima za wanadamu!hii thread ni maalum kwa kuelimishana kuhusu utata wa biblia na utata wa imani ya kikristo kwa ujumla.. tustoke nje ya mada.
unaamini biblia imezungumzia slave trade / biashara ya utumwa?Ok kwa kifupi Biblia ndio kitabu kilichosheheni kila kitu imegusa kila sehemu ya maisha ya mwanadamu.. Kuhusu uchumi biblia imemaliza maisha ya kawaida.. Siwezi kueleza yote maana nitajaza ukurasa ila biblia imejaa hekima zipitazo hekima za wanadamu!
tusitoke kwenye mada mkuu, mie nimejibu swali linalomtatiza mleta hoja. hata akilaumiwa mmoja wao; MUNGU au shetani haitusaidii kitu kwa sasa kwa kuwa tayari tumeikuta dunia imeshauzwa mikononi mwa shetani na Adamu.Nini chanzo cha dhambi? na kama ni shetani je ni nani wa kulaumiwa
Kati ya mungu binadamu na shetani?
Kwasababu mungu yeye ndio alimuumba adui shetani.
Si kwamba MUNGU hakujua, MUNGU alitoa Uhuru kwa viumbe wake wachague, upendo kwa kutii amri zake, au uasi, jambo la msingi aliwaeleza madhala ya uasi na faida ya utii. Kama vile alipomaliza kazi ya muumbaji akamletea Adam kila kiumbe ili aone Adam atawaitaje. Na jina alilolitamka Adam ndio likawa jina lakeSasa inakuwaje mungu anaumba kitu ambacho kinaingiwa na tamaa harafu baadaye kinakuja kumuudhi mwenyewe.
Kama mungu yupo kweli. kwanini mungu unamuongelea ktk wakati ulio pita?Si kwamba MUNGU hakujua, MUNGU alitoa Uhuru kwa viumbe wake wachague, upendo kwa kutii amri zake, au uasi, jambo la msingi aliwaeleza madhala ya uasi na faida ya utii. Kama vile alipomaliza kazi ya muumbaji akamletea Adam kila kiumbe ili aone Adam atawaitaje. Na jina alilolitamka Adam ndio likawa jina lake
Tuko pamoja 7spirits.tusitoke kwenye mada mkuu, mie nimejibu swali linalomtatiza mleta hoja. hata akilaumiwa mmoja wao; MUNGU au shetani haitusaidii kitu kwa sasa kwa kuwa tayari tumeikuta dunia imeshauzwa mikononi mwa shetani na Adamu.
Mpaka dakika hii anauwezo WA kuiangamiza dunia hii na kuumba jambo jipyaKama mungu yupo kweli. kwanini mungu unamuongelea ktk wakati ulio pita?
Imezungumzia wana wa islael walitoka utumwani misriunaamini biblia imezungumzia slave trade / biashara ya utumwa?
hujajibu swali bado.Imezungumzia wana wa islael walitoka utumwani misri
naamini Yohana alimjua Yesu kama ndugu ila alishindwa kuelewa jambo moja tu ikiwa ni kweli Yesu alikuwa yule aliyetabiriwa kuwa atakuja. sidhani kama hakujua kwa dhana ya wao kuwa ndugu ila ile manifestation ya Yesu kama mwana wa Mungu ndiyo iliyokuwa inachanganya kwa kuwa tu ni kama walitegemea Yesu angekuwa na tofauti ambayo ingewafanya wao wamtambue kwa haraka lakini yeye Yesu aliishi kama mwanadamu wa kawaida(ila hakutenda dhambi).mfano unaweza kutwambia ilikuaje yohana mbatizaji atume watu wakamuulize yesu iwapo ndie,wakati tayari walikuwa wamekutana na yesu na akambatiza?,
how come yohana anaonekana kutomjua yesu wakati pia ni ndugu kwa maana ya ukoo mmoja na mamake na yesu na mamake yohana walikuwa wakitembeleana
Lakini wapendwa msilisahau hili kwamba kwa Bwana, SIKU MOJA SAWA NA MIAKA ELFU na MIAKA ELFU SAWA NA SIKU,(2PETRO 3:8, ZABURI 90:4)
Amen!Tuko pamoja 7spirits.
Amen maana yake nini?Amen!