Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

Sasa anashindwaje hoja kwa ukweli ulio wazi kwamba bible ni uuongo au we unaona ukweli kaka
 
Do your level best to emancipate yourself especially from soul and mind bondage.
 
inawezekana akawepo ila huyo mungu ambae ni mwepesi wa hasira, na anaeruhusu kosa la watu wawili liendelee kuiangamiza dunia sipo tayari kumuabudu.
 
a person who doesnt have a wound doesnt need a bandage.. take that back [emoji109] [emoji109]
Oh God i have said bondage.

Bondage
noun
  1. The state of being enslaved or the practice of slavery.
    In Judeo-Christian tradition, the Israelites fled bondageat the hands of the Egyptians, only to wander in the wilderness for the next four decades.
    • 1900, L. Frank Baum, The Wonderful Wizard of Oz
  2. (by extension) The state of lacking freedom; constraint.
    He lived in financial bondageto his cocaine habit; no matter how much he earned, it all seemed to disappear up his nose.
 
Wapinga kristo wako wengi sana.anaikosoa biblia ila hajui kilichoandikwa kwenye kuruani.nafikiri ingetafsiriwa kwa kiswahili angebadili mpk dini.
 
ndo nakwambiaje, mtu ambae hana kidonda haitaji bandeji..
I was speaking metaphorically.
 
Wayahudi walitwaliwa na warumi
yeah,wayahudi kipindi cha yesu walitawaliwa na warumi lakini kabla ya hapo walitawaliwa na wafilist,waasyria,wababel,wapersia,lakini hadi miaka ya 70AD,au miaka 30 baada ya kufa yesu bado ukristo haukuwa dini inayoabudiwa uyahudi,
ni wakati wa mfalme costantine wa Rumi kutawala ndo akawa ameamua kuwa mkirsto na ikawa ndo dini ya ufalme wa roma
 
mkuumbona unaongea kinyume.
uislamu karne ya 4/5 unahusiano na mambo ya Yesu aliyekuwepo kabla ya hii kitu.
Ni sawa na kusema MKWAWA alikuwa CCM kwa sababu Ideology walizojiwekea na definition zake ni kwa sehemu flani zilifanana na za MKWAWA.
Kama unapenda kusoma huwezi kujikuta kwenye mlengo uliouchagua.
 
Unaweza kunipa characteristic za mungu wako?
The following are characteristics of my living God :he works for his people in providing good, he is above all names, principalities, gods and kings, he reigns in praise and worship, he has released lonely begotten son for gentiles to attain redemption, he is the word and bread of life, those are few mentioned characteristics
 
Baada ya kuitooa kutoka kwa wagiriki ambao walikuja kuiba siri egypt na ethiopia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…