UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,584
- 1,885
Sasa anashindwaje hoja kwa ukweli ulio wazi kwamba bible ni uuongo au we unaona ukweli kakaHuyo ndio zake nimeshamshinda leo kwenye hoja sio chini ya tano akishtukia namshinda hawezi kurelaize openly bali anajifanya naye alikua na mawazo kama yangu ila ukisoma messages zake za nyuma ndio utajua anajidai kukubaliana na kitu ambacho awali alikipinga.
Hivyo hapo i count kama ameshindwa hoja.
Do your level best to emancipate yourself especially from soul and mind bondage.swala ni kwamba biblia imeletwa na mzungu na humo kwenye biblia mungu anawaahidi hao manabii zake utawala wa nchi ambazo sio zao na mungu wa hao manabii kuwa mungu wa hizo nchi zitakazokua chini ya utawala wao.
sasa ukiangalia hali halisi ya sasa hivi unaona kabisa we are under someone else's authority na tunaabudu wanachokiabudu..
we have been conquered, but as long as long we see no guns around, we think we are free!!!
inawezekana akawepo ila huyo mungu ambae ni mwepesi wa hasira, na anaeruhusu kosa la watu wawili liendelee kuiangamiza dunia sipo tayari kumuabudu.Mkuu japo sikuungi mkono kwa suala lako la kutoamini uwepo wa Mungu lakini uko vizuri sana katka kutetea hoja zako hata tunaoamini Mungu yupo unatushinda kwa hoja
Lakini yakupasa kuamini kuwa Mungu yupo japo inakuwa ngumu sana kuthibitisha kwakuwa Mungu hujidhihirisha kwa wale wanao muamini tu
Sisi tulio muamini tumeyashuhudia matendo ya Mungu
Wayahudi walitwaliwa na warumihata effesso na philip sidhani kama ni uyahudi,wayahudi wa kipindi kile wasingekubali imani nyingine iingie pale,hiyo miji itakuwa ugiriki,roma ama uturuki
Kaka usimpinge kijana, bwa mdogo anapiga pini nzito mno sijui kama unamuelewaDo your level best to emancipate yourself especially from soul and mind bondage.
Im with you hahaha thak youinawezekana akawepo ila huyo mungu ambae ni mwepesi wa hasira, na anaeruhusu kosa la watu wawili liendelee kuiangamiza dunia sipo tayari kumuabudu.
IQ yake na yako zipo parallel so you must understand each other hilo sipingi upo sawa.Kaka usimpinge kijana, bwa mdogo anapiga pini nzito mno sijui kama unamuelewa
a person who doesnt have a wound doesnt need a bandage.. take that back [emoji109] [emoji109]Do your level best to emancipate yourself especially from soul and mind bondage.
Unaweza kunipa characteristic za mungu wako?IQ yake na yako zipo parallel so you must understand each other hilo sipingi upo sawa.
pamoja kaka.Im with you hahaha thak you
Oh God i have said bondage.a person who doesnt have a wound doesnt need a bandage.. take that back [emoji109] [emoji109]
ndo nakwambiaje, mtu ambae hana kidonda haitaji bandeji..Oh God i have said bondage.
Bondage
noun
- The state of being enslaved or the practice of slavery.
In Judeo-Christian tradition, the Israelites fled bondageat the hands of the Egyptians, only to wander in the wilderness for the next four decades.
- 1900, L. Frank Baum, The Wonderful Wizard of Oz
- (by extension) The state of lacking freedom; constraint.
He lived in financial bondageto his cocaine habit; no matter how much he earned, it all seemed to disappear up his nose.
yeah,wayahudi kipindi cha yesu walitawaliwa na warumi lakini kabla ya hapo walitawaliwa na wafilist,waasyria,wababel,wapersia,lakini hadi miaka ya 70AD,au miaka 30 baada ya kufa yesu bado ukristo haukuwa dini inayoabudiwa uyahudi,Wayahudi walitwaliwa na warumi
mkuumbona unaongea kinyume.mimi ni mkristo nina kipawa cha kujua kitu hata kama sija kisoma nika jalibu kufatilia sana tena kiundani bila kutaka sheik wala mchungaji nilitafuta historia ambayo si rahisi watanzania kuwa wadadisi nikaona kuwa uislamu ndio dini hata yesu alikuwa muislamu na uislamu ndio ulikuwepo na watu waliswali japo wazungu hawa taki kusema ukweli hata kidogo kuna mambo ambayo kwenye ukristo wame chukua kwenye uislamu si wamechukua bali wameboresha
Your English is proper limited totally reflect your tiny IQ.ndo nakwambiaje, mtu ambae hana kidonda haitaji bandeji..
I was speaking metaphorically.
The following are characteristics of my living God :he works for his people in providing good, he is above all names, principalities, gods and kings, he reigns in praise and worship, he has released lonely begotten son for gentiles to attain redemption, he is the word and bread of life, those are few mentioned characteristicsUnaweza kunipa characteristic za mungu wako?
Baada ya kuitooa kutoka kwa wagiriki ambao walikuja kuiba siri egypt na ethiopiayeah,wayahudi kipindi cha yesu walitawaliwa na warumi lakini kabla ya hapo walitawaliwa na wafilist,waasyria,wababel,wapersia,lakini hadi miaka ya 70AD,au miaka 30 baada ya kufa yesu bado ukristo haukuwa dini inayoabudiwa uyahudi,
ni wakati wa mfalme costantine wa Rumi kutawala ndo akawa ameamua kuwa mkirsto na ikawa ndo dini ya ufalme wa roma