Fundisi Muhapa
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 4,422
- 2,112
Uyahudi ni dini na ukristo ni dini. Tofauti ipo kama vile uislamu ulivyo tofauti na ukristo. Wayahudi hawaamini juu ya Yesu kuwa ndie masiha. Waislamu pia hawaamini hiloUkristo umeenezwa ulimwenguni na wayahudi na wayahudi ndio wakwanza kuisikia Injili wao ndio waliyoandika Bible Kristo ndio anatoka huko sasa unautemgaje ukristo na uyahudi?
Unajua kanisa la kwanza duniani la Antiokia lilikua wapi?
ha ha ha ha.Naweza kubeti kwamba vibamia vya wakati huo vilikuwa na futi sita..urefu wa mtu mzima sasa sijui kina mandingo walikuwaje.
Mkuu huyu redeemer ni KE?ha ha ha ha.
Ukisema wayahudi hawaamini ukristo unakua unajiaibisha hivi unaweza kusema waarabu hawaamini ukristo kisa majority ni Muslim?Uyahudi ni dini na ukristo ni dini. Tofauti ipo kama vile uislamu ulivyo tofauti na ukristo. Wayahudi hawaamini juu ya Yesu kuwa ndie masiha. Waislamu pia hawaamini hilo
itakua asee, si unaona anachekacheka kila saa utafkiri kameza DVD ya Charlie Chaplin.Mkuu huyu redeemer ni KE?
Huyu jamaa anahama hoja iliyopo mezani na kuanza kuupigia debe uislamu...POOR HIM!Sasa swala sio uislamu dini au ukristo swala ni maisha kabla ya kuja kwao hao matapeli
ha ha ha,yaani alivyokuja kwa mikwara nikajua tumeingiliwa na baba askofu makarios,kumbe mkwara tutangu huyu mwanamwali amekuja thread imekua ikipoteza dira.
mi mwenyewe nikasema haleluya, mtu wa kunirudisha kwenye imani ya myahudi si ndo huyu.. kumbe debe tupu.ha ha ha,yaani alivyokuja kwa mikwara nikajua tumeingiliwa na baba askofu makarios,kumbe mkwara tu
Kuna Uwezekano..... Je Ulishajiuliza Kipindi Tupo Form Two Binadamu tuliambiwa Waliishi Miaka Hadi Milion Ngapi SijuiMtu kuishi miaka 100 tu ni mziki lakini Biblia inasema Adam na Hawa waliishi miaka 900.
Je, hao walioandika Adam na Hawa waliishi miaka 900 walitumia kipimo gani?
Mimi huyu REDEEMER. nilidhani ni Great Thinker kumbe ni mropokaji....hawezi kufikiri na kutetea imani kwa hoja, bali anaweza kudouwnload video Youtube na kuzileta humu kana kwamba kuna aliyemwaagiza....Mtu wa hivi kama ni KE atakuwa anasumbuliwa na PMT na kama ni ME basi ana dalili zote za kuwa ''HOMO''....Hivi hadi sasa hivi unaweza kusimama mbele ya watu na kusema eti umetembea nchi nyingi na una exposure kubwa? seriously? Hayo yalikuwa enzi za mwl. kumtambia Kawawa na siyo leo 2016.....kweli kitu kigumu zaidi hapa duniani ni kuishi na ujinga kichwani.mi mwenyewe nikasema haleluya, mtu wa kunirudisha kwenye imani ya myahudi si ndo huyu.. kumbe debe tupu.
Kumbe hukuelewa somo la 4M2? ile miaka milioni haikuwa life span bali ni muda kutoka leo hadi wakati walipoishi...pengine waliishi hata miaka 100, kwahiyo hiyo miaka milioni ni kutoka miaka ya leo hadi miaka walioishi.Kuna Uwezekano..... Je Ulishajiuliza Kipindi Tupo Form Two Binadamu tuliambiwa Waliishi Miaka Hadi Milion Ngapi Sijui
mziki wa aina gani.. mie najua kuishi miaka 100 ni baraka siyo mziki.Mtu kuishi miaka 100 tu ni mziki lakini Biblia inasema Adam na Hawa waliishi miaka 900.
Je, hao walioandika Adam na Hawa waliishi miaka 900 walitumia kipimo gani?
Hiki kiingereza kilichotumika hapa kimenipa uelewa kwamba wewe ni kiazi mbatata...Yaani kumbe huwezi hata kuunda sentence mbili za kiingereza zilizonyooka? lol!...kumbe watu wamepoteza muda wao kubishana na kaki.laza?....kweli wewe ni kiazi mbatata!!!!!Am not here to entertaining no body and am not living for your satisfaction am not please anyone except God and am not the one to lead you to Jesus except He himself.
Moreover am living my life i have defeat you all that's why you talk vice.
You gotta know that.
Whatsoever who cares you want grammar go get schooled am writing whatever i like .Hiki kiingereza kilichotumika hapa kimenipa uelewa kwamba wewe ni kiazi mbatata...Yaani kumbe huwezi hata kuunda sentence mbili za kiingereza zilizonyooka? lol!...kumbe watu wamepoteza muda wao kubishana na kaki.laza?....kweli wewe ni kiazi mbatata!!!!!
myiopic view of world history. Uliza methusela aliwezakje kuishi miaka 990 siku hizi 100 ni kwa tabu sana?Mtu kuishi miaka 100 tu ni mziki lakini Biblia inasema Adam na Hawa waliishi miaka 900.
Je, hao walioandika Adam na Hawa waliishi miaka 900 walitumia kipimo gani?
But not like youStupid