Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

swali la nyongeza.. kabla yesu hajaanza kuhubiri akiwa na miaka 30, wakati ana miaka 29 na kushuka chini alikua anafanya nini?
Na wanasema yesu amewahi kuja afrika na ninawaza ilikuwaje alishindwa kufika na tanzania wakati yeye ni mungu?
 
Kama unayeamini natharia ya evolutionary hamuumizi mtu asiyeiamini hivyo hivyo anayeamini uumbaji hamuumizi mtu anayeamini Darwinism hapo wazungu wanasema no gain no pain.

Wote wanaamini vitu nje ya rangi zao hivyo basi kama evolutionist anaweza kumuambia muumini mgeni ameleta imani yake kukutawala hivyohivyo muumini ana uhalali wa kumwambia evolutionist mzungu ameleta natharia yake kukutawala.

Asante.
 
Nadhani hujaelewa mada....jaribu kuirudia taratibu hadi uelewe ninachomaanisha.
Ndugu nimekuelewa vizuri kwamba unakubali hoja ya ndugu Charles (mzungu) haikua potofu 100%

Hoja yangu ilikua ni uzungu na ufuasi wa doctrines zao kwa waafrika basi.

Asante.
 
Ndugu nimekuelewa vizuri kwamba unakubali hoja ya ndugu Charles (mzungu) haikua potofu 100%

Hoja yangu ilikua ni uzungu na ufuasi wa doctrines zao kwa waafrika basi.

Asante.
Na mimi nasema, udhaifu ama ubora wa mtu haupo kwenye rangi ya ngozi yake!....nadhani tumeelewana.
 
Na mimi nasema, udhaifu ama ubora wa mtu haupo kwenye rangi ya ngozi yake!....nadhani tumeelewana.
Ndugu hapo mimi nakukubali kwa 100% waafrika tuna akili na kujitambua vilevile na mimi nawapenda watu wote weupe kwa weusi waamini kwa wasioamini wote mbele ya macho yangu ni ndugu zangu na watu wema sana bila kujali mapungufu kila mtu anayo.


Hata mimi naamini kwamba....

Kama unayeamini natharia ya evolutionary hamuumizi mtu asiyeiamini hivyo hivyo anayeamini uumbaji hamuumizi mtu anayeamini Darwinism hapo wazungu wanasema no gain no pain.

Wote wanaamini vitu nje ya rangi zao hivyo basi kama evolutionist anaweza kumuambia muumini mgeni ameleta imani yake kukutawala hivyohivyo muumini ana uhalali wa kumwambia evolutionist mzungu ameleta natharia yake kukutawala.

Asante.
 
Sawasawa kumbe unakubali hoja ya ndugu Charles haijalishi ni nusu au nzima ila unaikubali natharia yake.

Basi usiwashambulie waamini kwa kigezo cha race ya muanzilishi kama unavyosema daily kwamba waafrika tunakumnbatia uzungu bali pingana na waamini kwa hoja nyingine isiyoshabiiana na asili ya founders.

Asante.
blaza ipo hivi.. mzungu aliua misingi yetu ya kiiamini na kutufanya tuamini dini yao.. sasa kadri mwafrika akavyozidi kuichimbua imani aliyopandikizwa, anagundua kuna makosa, uongo na hadithi ambazo hazileti maana, so mwafrika amekua mtu wa kutafuta kitu angalau kinachoshabihiana na ukweli, PEOPLE WHO LISTEN TO BOTH SIDES OF THE STORY, THE TRUTH IS ALWAYS REVEALED TO THEM..

ni ukweli usiopingika biblia ina mambo ambayo hayaleti maana. Kwa mfano mstari huu Revelation 20:7-8 "Now when the thousand years have expired, Satan will be released from prison, And will go out to deceive nations which are in the corners of the earth"

wewe kwa akili zako timamu unaona huu mstari unaleta maana? sasa manake nini mungu kumfungulia shetani kwa makusudi ili aende kuwadanganya watu? hao watu watakaoingia dhambini atawalaumu au atamlaumu shetani?

akiwalaumu watu kwa kuingia dhambini na watu wakimuuliza kwanini ulimfungulia shetani, mungu atajibuje? na mungu akimhukumu shetani kwa kuwatia watu dhambini na shetani akimwambia si ulinifungulia mwenyewe, mungu atajibuje?

YOU CAN FOOL PEOPLE SOME TIME, BUT YOU CANNOT FOOL PEOPLE ALL THE TIME.
 
God has mercy for satan but he has no mercy for people and decides to kill them? God set people up? What kind of a father sends criminals to hunt his children?

kweli God is good all the time.
 
blaza ipo hivi.. mzungu aliua misingi yetu ya kiiamini na kutufanya tuamini dini yao.. sasa kadri mwafrika akavyozidi kuichimbua imani aliyopandikizwa, anagundua kuna makosa, uongo na hadithi ambazo hazileti maana, so mwafrika amekua mtu wa kutafuta kitu angalau kinachoshabihiana na ukweli, PEOPLE WHO LISTEN TO BOTH SIDES OF THE STORY, THE TRUTH IS ALWAYS REVELAED TO THEM..

ni ukweli usiopingika biblia ina mambo ambayo hayaleti maana. Kwa mfano mstari huu Revelation 20:7-8 "Now when the thousand years have expired, Satan will be released from prison, And will go out to deceive nations which are in the corners of the earth"

wewe kwa akili zako timamu unaona huu mstari unaleta maana? sasa manake nini mungu kumfungulia shetani kwa makusudi ili aende kuwadanganya watu? hao watu watakaoingia dhambini atawalaumu au atamlaumu shetani?

akiwalaumu watu kwa kuingia dhambini na watu wakimuuliza kwanini ulimfungulia shetani, mungu atajibuje? na mungu akimhukumu shetani kwa kuwatia watu dhambini na shetani akimwambia si ulinifungulia mwenyewe, mungu atajibuje?

YOU CAN FOOL PEOPLE SOME TIME, BUT YOU CANNOT FOOL PEOPLE ALL THE TIME.
Ndugu kwanza sio "wazungu" pekee walioleta imani Africa na wala hawajeleta imani tu bali elimu technology na tiba ambazo mpaka saivi tuna ishi kwa urahisi sana tofauti na awali hapo nawapa sifa zote waafrika kwa waarabu kwa wazungu na jamii zote kwa ushirikiano wao katika maarifa na ujuzi mpaka saivi maisha yapo simplified.

Pili tukiachana na slavery na colonialism ambapo kwanza ancient Roman empire imetawala mpaka wazungu wenyewe kisha British Colonialism ambapo waliwatawala mpaka wazungu wenzao nafikiri unajua definition ya colonialism kwamba ni taifa moja kulitawala taifa lingine kielimu kiuchumi kijamii na kiutamaduni.

Hivyo mpaka wazungu wengine walibadilishwa imani na British.

Baada ya colonialism kila mtu ana uhuru wa kuamua maisha yake atakayo kwa mujibu wa katiba zao za independence hivyo una uhuru sasa wa kuchagua utakachokiamini wala mzungu hana tena mamlaka juu yako.

Nimesema hivi sababu najua hata nikikupa usahihi wa Bible hautauamini tayari umeshajitune kuamini hivyo haisaidii malumbano ya usahihi hiyo ndio psychology nature ya mwanadamu.

Asante.
 
Ndugu kwanza sio "wazungu" pekee walioleta imani Africa na wala hawajeleta imani tu bali elimu technology na tiba ambazo mpaka saivi tuna ishi kwa urahisi sana tofauti na awali hapo nawapa sifa zote waafrika kwa waarabu kwa wazungu na jamii zote kwa ushirikiano wao katika maarifa na ujuzi mpaka saivi maisha yapo simplified.

Pili tukiachana na slavery na colonialism ambapo kwanza ancient Roman empire imetawala mpaka wazungu wenyewe kisha British Colonialism ambapo waliwatawala mpaka wazungu wenzao nafikiri unajua definition ya colonialism kwamba ni taifa moja kulitawala taifa lingine kielimu kiuchumi kijamii na kiutamaduni.

Hivyo mpaka wazungu wengine walibadilishwa imani na British.

Baada ya colonialism kila mtu ana uhuru wa kuamua maisha yake atakayo kwa mujibu wa katiba zao za independence hivyo una uhuru sasa wa kuchagua utakachokiamini wala mzungu hana tena mamlaka juu yako.

Nimesema hivi sababu najua hata nikikupa usahihi wa Bible hautauamini tayari umeshajitune kuamini hivyo haisaidii malumbano ya usahihi hiyo ndio psychology nature ya mwanadamu.

Asante.
kumsifia mzungu kwa kukuletea hospitali teknolojia na vitu vingine ni kuhalalisha ukiritimba aliofanya barani afrika, EVEN THE DEVIL CAN LIFT YOU UP FOR HIS PURPOSE.. fanya pia kujibu hiko kifungu cha biblia naona umekikwepa.
 
kumsifia mzungu kwa kukuletea hospitali teknolojia na vitu vingine ni kuhalalisha ukiritimba aliofanya barani afrika, EVEN THE DEVIL CAN LIFT YOU UP FOR HIS PURPOSE.. fanya pia kujibu hiko kifungu cha biblia naona umekikwepa.
Ndugu naona hujanisoma vizuri hapo sifa nimewa all mankind na pia hata nikimpa mzungu sijaithulumu nafsi yangu sababu nae ni mwanadamu kama mimi na huwa sibishani kuhusu Bible hata siku moja na kama utapata muda angalia messages zangu huko juu sijaongelea Bible bali mambo ya kawaida tu.

Sababu mfano naweza kukujibu Mungu amesema majaribu hayana budi kutokea ila nitawapa uwezo wa kuyashinda na pia Bible inasema majaribu ni kipimo cha imani na mjaribu shetani yupo kupotosha kuua kuharibu na kuangamiza hivyo muaminini Kristo aliyeyashinda hivyo lazima majaribu yawepo kama mwanafunzi na mitihani kupima usikivu au umakini au elimu mwalimu aitoayo.

Lakini unaweza kuitafsiri vingine ambavyo itakuvutia wewe na kumfanya Mungu aonekane kama wewe utakavyo ndio mana huwa sina malumbano na uwepo wa Mungu.

Asante.
 
Ndugu naona hujanisoma vizuri hapo sifa nimewa all mankind na huwa sibishani kuhusu Bible hata siku moja na kama utapata muda angalia messages zangu huko juu sijaongelea Bible bali mambo ya kawaida tu.

Sababu mfano naweza kukujibu Mungu amesema majaribu hayana budi kutokea ila nitawapa uwezo wa kuyashinda na pia Bible inasema majaribu ni kipimo cha imani na mjaribu shetani yupo kupotosha kuua kuharibu na kuangamiza hivyo muaminini Kristo aliyeyashinda hivyo lazima majaribu yawepo kama mwanafunzi na mitihani kupima usikivu au umakini au elimu mwalimu aitoayo.

Lakini unaweza kuitafsiri vingine ambavyo itakuvutia wewe na kumfanya Mungu aonekane kama wewe utakavyo ndio mana huwa sina malumbano na uwepo wa Mungu.

Asante.
kusema majaribu lazma yawepo ni sawa na kusema mungu amemuumba shetani kwa makusudi kabisa, na hii inafanya story ya adam na hawa pale eden kuwa ni uzushi...

according to your perspective, Adam na hawa hawakula tunda, shetani hakufanya uasi mbinguni ila ni kiumbe kilichoumbwa na kuletwa duniani kuwajaribu watu.. BRO, YOU MAKE GOD LOOK MORE SILLY AND BIBLE IS NOTHING BUT A DECEITFUL BOOK.
 
Mkuu una kichwa cha kuhoji jambo, lakini hawa ndugu wengine wanafuata jambo bila ya kujiuliza maswali.Dini ni serikali inayotawala watu....ni mfumo wa kudominate watu, kwenye dini kuna mambo ya ukatili usipime,....kuwapa watu vitisho na kuwatesa bure...hawa watu wa dini walichochea sana ukoloni pamoja na harakati za kuharibu tamaduni za kiafrika....mfano wanasema utumie majina yao kwani haya ya kiafrika ni ya kishetani na watu wanafuta blindly kabisa.....ukiwa mtu wa kudadisi inakuwa vigumu sana kufuata dini maana zina mambo mengi yasiyo na maana.
Once unakua baptized unapewa jina la wazungu lakini whats the point behind name mbona peter mvuvi alibatizwa akabaki na same name ata ukiangalia wale twelve desciples hakuna aliechange jina why
 
Once unakua baptized unapewa jina la wazungu lakini whats the point behind name mbona peter mvuvi alibatizwa akabaki na same name ata ukiangalia wale twelve desciples hakuna aliechange jina why
labda jibu unaweza kupata katika swali hili... how do you destroy a tree?
 
By kutoa mpaka mizizi
hilo ndo wanalofanya, wanahakikisha wanafuta kitu chochote kinachoashiria uafrika.. WHITE MAN IS CLEVER, HE IS NOT AFTER THE BRANCHES, BECAUSE THEY WILL GROW AGAIN, HE IS AFTER THE ROOTS..

chunguza black Americans, 99% majina yao yote mawili ni ya kizungu, sababu enzi za utumwa majina yao yalifutwa na kupewa majina ya kizungu.. kwa kadri haya majina tutakavyozidi kuyatumia, slavery is still alive.
 
Once unakua baptized unapewa jina la wazungu lakini whats the point behind name mbona peter mvuvi alibatizwa akabaki na same name ata ukiangalia wale twelve desciples hakuna aliechange jina why
Ndio ulimbukeni ninausemea Mkuu....Wanasema watu waliokuwa na hayo majina waliishia kuwa watakatifu kwahiyo ukipewa hilo jina utaishi na kuwa kama wao....cha ajabu kuna machagu wanaitwa Salome, Maria, Martha na wezi wanaoitwa Joseph na John.
 
hilo ndo wanalofanya, wanahakikisha wanafuta kitu chochote kinachoashiria uafrika.. WHITE MAN IS CLEVER, HE IS NOT AFTER THE BRANCHES, BECAUSE THEY WILL GROW AGAIN, HE IS AFTER THE ROOTS..

chunguza black Americans, 99% majina yao yote mawili ni ya kizungu, sababu enzi za utumwa majina yao yalifutwa na kupewa majina ya kizungu.. kwa kadri haya majina tutakavyozidi kuyatumia, slavery is still alive.
Sasa kuna watu hawaelewi ata
 
IMG_1473625229.753959.jpg
 
Back
Top Bottom