Baraka issa
Senior Member
- Aug 29, 2015
- 169
- 50
Langu wew muongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uongo tafuta siri yakifo ndio uandike. Nia ya Mungu ilikuwa tuishi milele ila dhambi ikaleta mauti. Maisha ya binadam yamekuwa yakipungua kadri dhambi inaongezeka. Sasa hiv mwaka mmoja ni miaka mingi kuishi....Mtu kuishi miaka 100 tu ni mziki lakini Biblia inasema Adam na Hawa waliishi miaka 900.
Je, hao walioandika Adam na Hawa waliishi miaka 900 walitumia kipimo gani?
Hata shetani aliingiwa na tamaa ya kuwa kama MUNGUKwahiyo shetani hayupo?
acha umbulula hizo ni hadithi za kusadikika.. na humohumo kwenye hizo hadithi bado kuna mapungufu..Acha umbulula tafuta siri yakifo ndio uandike umbulula wako. Nia ya Mungu ilikuwa tuishi milele ila dhambi ikaleta mauti. Maisha ya binadam yamekuwa yakipungua kadri dhambi inaongezeka. Sasa hiv mwaka mmoja ni miaka mingi kuishi....
sio kwamba hakuwa na adabu,bali ule ulikuwa unaongea mvinyo..
Kama ujuavyo mzee joseph hakuwa mtu wa kutulia nyumbani,akisafiri mara kwa mara,sasa mamake yesu ili kujikimu alikuwa akisupply mvinyo katika maharusi na matamasha mbalimbali,na yesu ndo akimsaidia kubeba madumu ya mvinyo kupeleka arusini,sikuhiyo wakiwa harusini mvinyo ukaisha na mamake akamfuata kumtaarifa ili afuate alipomkuta tayari mvinyo umeshamkolea hence majibu mkato kama kumwita mamake ,We mwanamke.......
Naona umepata ajira kwa shetani unasema tena Bible imejaa uongo sasa kuthibitisha kuwa Bible ni neno la Mungu ni Kweli maneno ulioyasema yatakugalimu maisha yako mpaka urudi kwa kutubu na kundika tena hapa kuwa Biblia ni kweli jeuri kiburi Mungu ataanza kukishusha ktk maisha yako sitaki kuongea sana wewe utakuwa shuuda mwenyewe namaliza kwa Jina la Yesu Amina.Mtu kuishi miaka 100 tu ni mziki lakini Biblia inasema Adam na Hawa waliishi miaka 900.
Je, hao walioandika Adam na Hawa waliishi miaka 900 walitumia kipimo gani?
inachekesha sana kumuona mfia dini anamlaani binadamu mwenzake..Naona umepata ajira kwa shetani unasema tena Bible imejaa uongo sasa kuthibitisha kuwa Bible ni neno la Mungu ni Kweli maneno ulioyasema yatakugalimu maisha yako mpaka urudi kwa kutubu na kundika tena hapa kuwa Biblia ni kweli jeuri kiburi Mungu ataanza kukishusha ktk maisha yako sitaki kuongea sana wewe utakuwa shuuda mwenyewe namaliza kwa Jina la Yesu Amina.
Kwa hiyo mpango wa kula lile tunda pale bustanini edeni ulitokea kama bahati mbaya? This was planned,Acha umbulula tafuta siri yakifo ndio uandike umbulula wako. Nia ya Mungu ilikuwa tuishi milele ila dhambi ikaleta mauti. Maisha ya binadam yamekuwa yakipungua kadri dhambi inaongezeka. Sasa hiv mwaka mmoja ni miaka mingi kuishi....
Mungu na shetani wanafahamiana.Hata shetani aliingiwa na tamaa ya kuwa kama MUNGU
preach brother..Kwa hiyo mpango wa kula lile tunda pale bustanini edeni ulitokea kama bahati mbaya? This was planned,
This is how it was planned(mpangokazi)
Mungu kutengeneza bustani ya eden.
Mungu kamweka adam na hawa kwenye bustani.
Mungu kawaweka wanyama akiwamo nyoka katika bustani.
Mungu kaweka mti wa matunda ya uzima katikati ya bustani.
Nyoka kama mwerevu kuliko wanyama wengine katika bustani.
Nyoka kashawishi mwanamke kula tunda la mti wa kati wa bustani.
Mwanamke akampa mwanaume tuna nae, akala. Wote wakawa uchi.
Bustani ya eden ilikuwa jaribio (experiment) lilifanywa na mungu akimshirikisha nyoka(shetani).acha umbulula hizo ni hadithi za kusadikika.. na humohumo kwenye hizo hadithi bado kuna mapungufu..
kwa mfano mungu anamlamu binadamu kwa kula tunda, hapo anaepuka yeye kulaumiwa kwa kuweka mti wa maarifa katika bustani, sehemu ambayo ni very accessible..
hata information za serikali ambazo zipo CLASSIFIED huwa zinakuwa confidential sana na zinalindwa kwa ulinzi wa hali ya juu, mtu wa kawaida huwezi kuzi-access..
sasa watu kirahisi rahisi tu wakala matunda ya ule mti kana kwamba haukuwa na ulinzi wowote, na kwa uzito wa uwezo wa mti ule si rahisi ukae bila ulinzi, ina maana nyoka hakuyataka hayo maarifa? na angekula ingekuaje? hilo ni bumbuwazi mmepigwa.
kitu kingine cha kujiuliza, hivi mti wenye siri nzito kama ule mungu alishindwa kuuweka mbinguni mpaka akauweka duniani? mungu alikosa sehemu huko mbinguni ya kuweka huo mti ambao ni VERY SENSITIVE ISSUE?
Tuwe tunajiongeza tafadhali inatia hasira kuona watu hamfikirii..
hata babaako anakuficha vitu ambavyo vipo nje ya uwezo wako sasa huyu mungu wa biblia vipi?
Mkayasome maandiko.Ahh! watu mna dhambi,yaani mama wa mungu alikua mama muuza?na mungu mwana nae alikua waiter?acha hizo bwana.
Umeyatoa wapi hayo? isije kua wewe mvinyo ndoo unaongea,maana avatar yako nayo inaweza kuwa inasadifu uloyaandika hapa.
sijawahi kukuta andiko linasema hivyo, hio yako mpya.. tengeneza toleo jipya la biblia halafu liite WIGO VERSION.Bustani ya eden ilikuwa jaribio (experiment) lilifanywa na mungu akimshirikisha nyoka(shetani).
Mfia dini mwingine wewe.Naona umepata ajira kwa shetani unasema tena Bible imejaa uongo sasa kuthibitisha kuwa Bible ni neno la Mungu ni Kweli maneno ulioyasema yatakugalimu maisha yako mpaka urudi kwa kutubu na kundika tena hapa kuwa Biblia ni kweli jeuri kiburi Mungu ataanza kukishusha ktk maisha yako sitaki kuongea sana wewe utakuwa shuuda mwenyewe namaliza kwa Jina la Yesu Amina.
Huo ulimwengu shetani ndo aliyeuumba?Mungu na shetani wanafahamiana.
Mungu ni mfalme wa mbinguni wakati shetani ni mfalme wa ulimwengu.
Wote wana maeneo tofauti ya kiutawala, pia hata utendaji.