Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

acha upumbavu huwezi kujivunia kitu ambacho sio chako, watu wanafanya hivyo vyote ulivyovitaja kutokana na kwamba hamna namna, kwa ni sisi tulimuomba mzungu aje kutupa huo ujuzi? hivyo vyote kavifanya kwa manufaa yake..

kwani kabla ya wao kuja tulikua hatuishi? acha kuongea pumba.
Sasa kuanzia kesho tengeneza mfumo mzima wako sababu we ndio uliosema huwezi amini Bible ya mzungu kuanzia saivi isiwe Bible tu mpaka na vyeti vyako ulivyosugulia mabench na madawati huko shuleni kavichome sababu system yote ni uzunguni na masomo yote uliyoyasoma format ubongo mzima ondoa chochote ulichoaminishwa na walimu wako.

Hapo utakuwa pure African through hata Africa nayo ni kizungu.
 
mimi ni mkristo nina kipawa cha kujua kitu hata kama sija kisoma nika jalibu kufatilia sana tena kiundani bila kutaka sheik wala mchungaji nilitafuta historia ambayo si rahisi watanzania kuwa wadadisi nikaona kuwa uislamu ndio dini hata yesu alikuwa muislamu na uislamu ndio ulikuwepo na watu waliswali japo wazungu hawa taki kusema ukweli hata kidogo kuna mambo ambayo kwenye ukristo wame chukua kwenye uislamu si wamechukua bali wameboresha
 
antiokia siyo uturuki?
Ni Sawa lakini, kabisa liliendelea zaid hata maeneo mengine kama efeso, filipi ambaye saiv ni masharik ya kati na maeneo ya masharik ya mbali hata sehem zingine za dunia pia lakini sasa tunajadili biblia na ukweli wake sio biblia na umaeneo, tunajadili uhalisia[emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
mimi ni mkristo nina kipawa cha kujua kitu hata kama sija kisoma nika jalibu kufatilia sana tena kiundani bila kutaka sheik wala mchungaji nilitafuta historia ambayo si rahisi watanzania kuwa wadadisi nikaona kuwa uislamu ndio dini hata yesu alikuwa muislamu na uislamu ndio ulikuwepo na watu waliswali japo wazungu hawa taki kusema ukweli hata kidogo kuna mambo ambayo kwenye ukristo wame chukua kwenye uislamu si wamechukua bali wameboresha
Sasa swala sio uislamu dini au ukristo swala ni maisha kabla ya kuja kwao hao matapeli
 
Sasa kuanzia kesho tengeneza mfumo mzima wako sababu we ndio uliosema huwezi amini Bible ya mzungu kuanzia saivi isiwe Bible tu mpaka na vyeti vyako ulivyosugulia mabench na madawati huko shuleni kavichome sababu system yote ni uzunguni na masomo yote uliyoyasoma format ubongo mzima ondoa chochote ulichoaminishwa na walimu wako.

Hapo utakuwa pure African through hata Africa nayo ni kizungu.
tumefikia point of no return, point ambayo the only option we have is to cope with the system.. but that doesnt mean you should forget your history..

you cant fix whats going on, everyone is a victim, the only thing you can save is your sanity if you're strong enough, outside is already taken, its not our world anymore, its theirs.
 
Ni Sawa lakini, kabisa liliendelea zaid hata maeneo mengine kama efeso, filipi ambaye saiv ni masharik ya kati na maeneo ya masharik ya mbali hata sehem zingine za dunia pia lakini sasa tunajadili biblia na ukweli wake sio biblia na umaeneo, tunajadili uhalisia[emoji4] [emoji4] [emoji4]
Acha uongo ivyo viliandikwa kuficha ukweli kwaiyo kama leo nikiandika kitabu cha imani nikataja miji ya dsm kama mifano hiyo maana yake ni nini ?? Acheni uhongo sasa nataka unipe ukoo wa yesu
 
tumefikia point of no return, point ambayo the only option we have is to cope with the system.. but that doesnt mean you should forget your history..

you cant fix whats going on, everyone is a victim, the only thing you can save is your sanity if you're strong enough, outside is already taken, its not our world anymore, its theirs.
But that doesnt mean ill have to follow theirs!?? What for i know the truth
 
Sasa kuanzia kesho tengeneza mfumo mzima wako sababu we ndio uliosema huwezi amini Bible ya mzungu kuanzia saivi isiwe Bible tu mpaka na vyeti vyako ulivyosugulia mabench na madawati huko shuleni kavichome sababu system yote ni uzunguni na masomo yote uliyoyasoma format ubongo mzima ondoa chochote ulichoaminishwa na walimu wako.

Hapo utakuwa pure African through hata Africa nayo ni kizungu.
Sisi tunazungumzia imani the key pint here ni imani na uongo wa bible usijisahaulishe
 
kuna huyu mama wa kurendeemer kasema atazijibu hizo contradictions hebu tumsubiri.

kuna documentary flani niliitazama kuna rais mmoja alisema kuna mda utafika ambao binadamu hata umwambie ukweli na umuoneshe ushahidi machoni pake, bado atakuita muongo.

ila sababu yao kubwa ya kumng'ang'ania huyo myahudi ni life difficulties, and there's too much brokenness in people's souls, and Jesus offers HOPE.

people dont even go to church to be annointed, they just go to hear the speech that will make them feel better about their sorrow and emptiness.

even a psychologist can preach the gospel these days and make money.. cause there's too much brokenness inside and people want to hear something refreshing..
Mkuu japo sikuungi mkono kwa suala lako la kutoamini uwepo wa Mungu lakini uko vizuri sana katka kutetea hoja zako hata tunaoamini Mungu yupo unatushinda kwa hoja

Lakini yakupasa kuamini kuwa Mungu yupo japo inakuwa ngumu sana kuthibitisha kwakuwa Mungu hujidhihirisha kwa wale wanao muamini tu

Sisi tulio muamini tumeyashuhudia matendo ya Mungu
 
Geography of the biblical Israel is way far from modern Israel.

Naomba muwe mnajielimisha kabla hamjaja kuniquote mnaniootezea tu muda.

Sasa hii nayo ni hoja kwa mtu kama wewe kweli?
sasa utanibishia wakati mi mwanahistory?,kumbe hata hujui israel ya enzi hizo ilikuwa ndogo kuliko ya leo,pia nadhani hata hujui kuwa israel na judea zilikuwa tawala mbili tofauti na kamwe antiokia haijawahi kuwa sehemu ya israel
 
tumefikia point of no return, point ambayo the only option we have is to cope with the system.. but that doesnt mean you should forget your history..

you cant fix whats going on, everyone is a victim, the only thing you can save is your sanity if you're strong enough, outside is already taken, its not our world anymore, its theirs.
Now you are recovering from prolonged coma?

Kusema siamini Bible sababu ni utumwa wa mzungu is the highest level of insanity and lunatic at once.

Thank you for understand.
 
Mkuu japo sikuungi mkono kwa suala lako la kutoamini uwepo wa Mungu lakini uko vizuri sana katka kutetea hoja zako hata tunaoamini Mungu yupo unatushinda kwa hoja

Lakini yakupasa kuamini kuwa Mungu yupo japo inakuwa ngumu sana kuthibitisha kwakuwa Mungu hujidhihirisha kwa wale wanao muamini tu

Sisi tulio muamini tumeyashuhudia matendo ya Mungu
Sasa unathibishaje kwa kushuhudia matendo?? Nikiuliza hayo matendo naweza yajua
 
mimi ni mkristo nina kipawa cha kujua kitu hata kama sija kisoma nika jalibu kufatilia sana tena kiundani bila kutaka sheik wala mchungaji nilitafuta historia ambayo si rahisi watanzania kuwa wadadisi nikaona kuwa uislamu ndio dini hata yesu alikuwa muislamu na uislamu ndio ulikuwepo na watu waliswali japo wazungu hawa taki kusema ukweli hata kidogo kuna mambo ambayo kwenye ukristo wame chukua kwenye uislamu si wamechukua bali wameboresha
Ni ukweli usiopingika kwamba Yesu ndio kiunganishi kati ya watu na Mungu kiunganishi hichi haijalishi huyu mtu amesimama kanisani msikitin au kwenye masinagogi bali kinachomata ni yuko kwenye kiunganishi kinachoitwa wokovu au yupo kwenye kiunganishi kinachoitwa dini, kiunganishi ni wokovu ambayo ni ahadi ya Mungu mwenyewe bali dini ni kiunganishi cha watu kujaribu kufikia wokovu, it's man's plans
 
Ni ukweli usiopingika kwamba Yesu ndio kiunganishi kati ya watu na Mungu kiunganishi hichi haijalishi huyu mtu amesimama kanisani msikitin au kwenye masinagogi bali kinachomata ni yuko kwenye kiunganishi kinachoitwa wokovu au yupo kwenye kiunganishi kinachoitwa dini, kiunganishi ni wokovu ambayo ni ahadi ya Mungu mwenyewe bali dini ni kiunganishi cha watu kujaribu kufikia wokovu, it's man's plans
Huoni uwo kama ni upuuzi mungu alikua akionge na binadamu pale eden baadae akaja kutumia kiunganishi hivi kichwa chako kinafanya kazi vizuri au unafikiria kwa miwani, yani sijui wameturogaje hawa wazungu
 
Wamefanya kingdom mindset kiasi kwamba unabaki ukiamini hayi na ikija kinyume na hapo unahisi hawa ni wapinga kristo haha wazungu shidaa
 
Now you are recovering from prolonged coma?

Kusema siamini Bible sababu ni utumwa wa mzungu is the highest level of insanity and lunatic at once.

Thank you for understand.
swala ni kwamba biblia imeletwa na mzungu na humo kwenye biblia mungu anawaahidi hao manabii zake utawala wa nchi ambazo sio zao na mungu wa hao manabii kuwa mungu wa hizo nchi zitakazokua chini ya utawala wao.

sasa ukiangalia hali halisi ya sasa hivi unaona kabisa we are under someone else's authority na tunaabudu wanachokiabudu..

we have been conquered, but as long as long we see no guns around, we think we are free!!!
 
Hujamuelewa
Huyo ndio zake nimeshamshinda leo kwenye hoja sio chini ya tano akishtukia namshinda hawezi kurelaize openly bali anajifanya naye alikua na mawazo kama yangu ila ukisoma messages zake za nyuma ndio utajua anajidai kukubaliana na kitu ambacho awali alikipinga.

Hivyo hapo i count kama ameshindwa hoja.
 
Ni Sawa lakini, kabisa liliendelea zaid hata maeneo mengine kama efeso, filipi ambaye saiv ni masharik ya kati na maeneo ya masharik ya mbali hata sehem zingine za dunia pia lakini sasa tunajadili biblia na ukweli wake sio biblia na umaeneo, tunajadili uhalisia[emoji4] [emoji4] [emoji4]
hata effesso na philip sidhani kama ni uyahudi,wayahudi wa kipindi kile wasingekubali imani nyingine iingie pale,hiyo miji itakuwa ugiriki,roma ama uturuki
 
Back
Top Bottom