Ni kweli bilionea Midimu alipofariki gari zake zilikaa wiki nzima bila kuzimwa zikiomboleza?

Ni kweli bilionea Midimu alipofariki gari zake zilikaa wiki nzima bila kuzimwa zikiomboleza?

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Midimu bilionea la malori, bilionea la manyumba, bilionea la mang'ombe.
Inasemwa kuwa mwamba alipotangulia mbele za haki malori yake yote yalipangwa nyumbani kwake na kuwashwa Kisha kuachwa yakiunguluma mpaka siku mazishi yalipokamilika. Walifanya hivi ili hizi gari zake ziungane na waombolezaji wengine katika kipindi hicho kigumu.
Picha zinafuata muda sio mrefu.
 
Midimu bilionea la malori, bilionea la manyumba, bilionea la mang'ombe.
Inasemwa kuwa mwamba alipotangulia mbele za haki malori yake yote yalipangwa nyumbani kwake na kuwashwa Kisha kuachwa yakiunguluma mpaka siku mazishi yalipokamilika. Walifanya hivi ili hizi gari zake ziungane na waombolezaji wengine katika kipindi hicho kigumu.
Picha zinafuata muda sio mrefu.
Ngoja waje waombelezaji kukujibu
 
Midimu bilionea la malori, bilionea la manyumba, bilionea la mang'ombe.
Inasemwa kuwa mwamba alipotangulia mbele za haki malori yake yote yalipangwa nyumbani kwake na kuwashwa Kisha kuachwa yakiunguluma mpaka siku mazishi yalipokamilika. Walifanya hivi ili hizi gari zake ziungane na waombolezaji wengine katika kipindi hicho kigumu.
Picha zinafuata muda sio mrefu.
Ungepiga na hesabu kabisa!

Zilikua gari ngapi,zilikunywa mafuta lita ngapi,kwa kila gari,tank capacity ya kila gari,na je zilikaa muda gani zikiunguruma?? Ukipata hiyo ratio njoo tena kuna maswali
 
Nimeyaona hayo malori hapa connectcut USA yamejipanga tokea bluefins mpaka casamera !!
 
leo.jpg
 
Hizi gari zilikuwa Zina Lia msibani ....

Siunajua gari likiwa linaunguruma muda wote linaleta noise pollution
 
Ka-video kusindikiza uzi tafadhali
 
Hakuwa tajairi huyo jamaa alafu ana mdogo wake anaitwa midimu hajui kusoma na kuandika ila muda mwingi anatoa mikopo ya riba ukiza ulishindwa lipa anakamata nyujba mpk Leo anafanya ujinga uo utapeli akishirikiana na magakimubwa mahakama za mwanzo
 
Back
Top Bottom