Ni kweli Burundi ilitaka kuunganika na Tanganyika ilivyopata Uhuru na ingekuwa sehemu ya Tanganyika?

Ingekua sehemu ya Tanganyika tu, afterall tulikua wamoja.

wakati wa ukoloni wa Mjerumani Burundi, Rwanda, Tanganyika na kieneo cha kionga triangle( Cabo Delgado msumbiji kwa sasa).
ilikua ni nchi moja ilokua inaitwa German East Africa.

Wakati wa vita ya kwanza ya dunia Belgium ( ubeligiji) colonizers wa Belgian Congo ( DRC) walilichua eneo la magharibi la GEA hadi tabora,

Na baada ya vita ya kwanza ya dunia kuisha palisainiwa Versailles treaty ambapo Mjerumani alinyanganywa koloni lake GEA na
Eneo la Rwanda-Burundi likachukuluwa na wabelgium,
Kionga triangle wakapewa Wareno (liko province ya Cabo Delgado msumbiji)

Eneo kubwa la GEA likapewa waingereza ndo hii nchi ya wezi Tanganyika.
 
Wezi sana.
 
Wapigania Uhuru wengi wa Africa walikua na ndoto ya kuwa na nchi moja ya Africa.

Ila kiukweli ndoto hii n unrealistic.

Na hii ni moja ya motive ya Nyerere kuleta huu muungano wa kipumbavu uloiua Tanganyika. Afterall alikua anataka kuunganisha na Kenya pia

Kiasili sisi waafrica ni wabinafsi sana hii itabaki kuwa ndoto.

kama ikija kuwa kweli tukawa nchi moja basi dola ya afrika utavunika tuu.
asili ya viongozi wa kiafrica na sis waafrika wenyewe ni tamaa ya madaraka, ufisadi na rushwa na nepotism.
Hivi vinafanya muungano wowote wa waafrica kitaifa au hata kikanda kutokua na faida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…