Ingekua sehemu ya Tanganyika tu, afterall tulikua wamoja.
wakati wa ukoloni wa Mjerumani Burundi, Rwanda, Tanganyika na kieneo cha kionga triangle( Cabo Delgado msumbiji kwa sasa).
ilikua ni nchi moja ilokua inaitwa German East Africa.
Wakati wa vita ya kwanza ya dunia Belgium ( ubeligiji) colonizers wa Belgian Congo ( DRC) walilichua eneo la magharibi la GEA hadi tabora,
Na baada ya vita ya kwanza ya dunia kuisha palisainiwa Versailles treaty ambapo Mjerumani alinyanganywa koloni lake GEA na
Eneo la Rwanda-Burundi likachukuluwa na wabelgium,
Kionga triangle wakapewa Wareno (liko province ya Cabo Delgado msumbiji)
Eneo kubwa la GEA likapewa waingereza ndo hii nchi ya wezi Tanganyika.
wakati wa ukoloni wa Mjerumani Burundi, Rwanda, Tanganyika na kieneo cha kionga triangle( Cabo Delgado msumbiji kwa sasa).
ilikua ni nchi moja ilokua inaitwa German East Africa.
Wakati wa vita ya kwanza ya dunia Belgium ( ubeligiji) colonizers wa Belgian Congo ( DRC) walilichua eneo la magharibi la GEA hadi tabora,
Na baada ya vita ya kwanza ya dunia kuisha palisainiwa Versailles treaty ambapo Mjerumani alinyanganywa koloni lake GEA na
Eneo la Rwanda-Burundi likachukuluwa na wabelgium,
Kionga triangle wakapewa Wareno (liko province ya Cabo Delgado msumbiji)
Eneo kubwa la GEA likapewa waingereza ndo hii nchi ya wezi Tanganyika.