Me zangu zinachezwa na radio maria.
Hivi ile nyimbo ya simba na mafilizulu iliishia wapi sababu niliisikia kama mara tatu tu ikapotea. Am serious no jealous.
Don't u worry don't u worry child......
Tuwe watu wa tafakuri kidogo. ....jiulize una bei gani kibindoni kuzidi Diamond? Umaarufu je? Vitegauchumi je exposure je? Nk nk!Huku mtaani kuna stori zinasambaa sana kuwa huyu bwana mdogo mond kuwa now anapumulia mashine kutokana na ngoma zake kutofanya vizur mtaani hata kwenye rotation za TV na radio.....
Hata ukifatilia kwa umakini kwenye upigaji kura wa tunzo mbali mbali jamaa anakimbizwa sana na hasimu wake mkubwa bwana zamunda......
Kwa maoni yangu navoona muda sio mrefu tutamsahau kabisa
Yeah that's my vibe mkuuSee heaven's got a plan for you....
kila ukisikia diamond lazima uje mbio mbio aisee hayo ni mahabaNa bado utanyooka tu
Bora umkopi maarifa yake, nawe upae
Aliyepost ni Team WemaSaa ingine mpost vitu vya msingi
KabisaAliyepost ni Team Wema
Ataishia kupendwa na wakenya wasiojua burudan wao mpska mashair ya kumtongoza mwanamke ka nyimbo za kuwashtua maadui vitani wachomoke ndukikila beats yake inatarumbeta unategemea nn ? mwambieni aje asiogope
Unamaanisha KENYA nchi au upo mtaa unaitwa KENYA?Ataishia kupendwa na wakenya wasiojua burudan wao mpska mashair ya kumtongoza mwanamke ka nyimbo za kuwashtua maadui vitani wachomoke nduki
wivuKasikilize kolabo ya watora mari ukweli imesimama ni hatari ila kidogo mi mwenyewe cjaikubali
Nitajie hizo App kumi tu kama unasema ukweli. umishindwa kaa kimya kuonesha heshima kwa diamondaje ipo ndani ya music apps za streaming zaid ya 700 dunian asa nani anatengeneza mkwanja mwing zaid