Squidward
JF-Expert Member
- Jul 21, 2014
- 7,828
- 9,546
Me zangu zinachezwa na radio maria.
Hivi ile nyimbo ya simba na mafilizulu iliishia wapi sababu niliisikia kama mara tatu tu ikapotea. Am serious no jealous.
bado ni hitsong mkuu kama unafatilia media zetu za kibongo hata kenya hua wanaipiga sana tu.