Jibu swali anatumia sembe au hatumii?? Vinginevyo nyie ndiyo walee enzi hizo teacher kwenye mtihani anatoa maswali 20 yote rahisi sana but mtego uko kwenye instructions "read all the questions carefully BUT DON'T ANSWER ANY QUESTIONS, JUST write down your name and when the time is up submit your papers"...Mhh mmakonde naona bado milioni 600 inamuumiza sana
Kaanza kutumia lini??..Kipindi kile wakina Rommy wanakamatwa na yeye alikuwa anatumia??Kiukweli Mondi anatumia Unga, inaumiza lakini ndio ukweli sijui kwanini hawajifunzi kwa wenzao, hakika umaarufu una gharama sana.
Hapa duniani hakuna kitu kibaya na chenye nuksi kama kumkataa baba yako au Mlezi wako, tena in public, hata uwe bilionea namba moja Africa.Daimond sura yake inaonesha anatumia na ni mtu mwenye Stress mno.
Mimi nanmini upumbavu ni kudhani eti unaweza kutengeneza jambo halafu uwashike watu. Vijana acheni hizo theories za kipimbi [emoji1787][emoji12]Hizo ni mambo zinatengenezwa kuendelea kuwakamata akili wapumbavu
Acha tu ndgu mpaka unashangaa kua wabongo ndo tumekosa reasoning namna hii. Mtu hana source ya habari ni hisia zake tu, ila unakuta jamaa anasema mbona mange alisema hivi 😂😂.Huyo nyumbu mangr soon atavuta mkwanja mrefu kwa app yake kupitia manyumbuz, watamsapoti sana
Nchi hii ina vichwa vya kuku balaa, usipime walivyomwabudu kimti aka kigogoAcha tu ndgu mpaka unashangaa kua wabongo ndo tumekosa reasoning namna hii. Mtu hana source ya habari ni hisia zake tu, ila unakuta jamaa anasema mbona mange alisema hivi [emoji23][emoji23].
Kwa jinsi Diamond alivyo pigana kumtoa ndugu yake kutoka kampani ya wala unga Kina TID, Ngwea, Babuu wa Kitaa na Langa na kumfanya Dj wake, sizani kama atakuwa anatumia.Leo katika pita pita zangu nimekutana na hii post ya Harmonize akiongelea mtu kutumia madawa ya kulevya na mtu huyu direct ni Dimond. Je kuna ukweli wowote au ni hasira za Harmonize kuambiwa anatumia mihadarati. Wadau je kuna ukweli wowote kukonda kwa Dimond ni kwa ajli ya ubwiaji?
View attachment 2012496
Mchokozi ni huyo domokaya, ndo alianza kumnanga mwenzake na muhadarati,Harmonize ajifunze kuandika, jamaa ana uandishi m'bovu sana.
Hata katika captions zake kwenye mitandao ya kijamii uandishi wake wa ajabu ajabu.
Bado ana element za kishamba.
Mwanaume umeshatoka na kuamua kujitafutia ya nini kuanza kufuatana na mwanaume mwenzio kukesha kuandikiana upuuzi.
Suala la mtu kutumia unga ni starehe yake kama zilivyo starehe zingine kuanza kufuatiliana kuandikiana kwa status na insta story huu ni utoto.
Mwanaume kuwa na element za kike kutupiana maneno siyo ishara nzuri hata kidogo.
Zaidi ya yote ajifunze kuandika na amtafute Ras Simba amnoe kidogo lugha ya malkia ambayo nayo anavuruga sana.
Mange anaongea kishabiki apo maana anamchukia Diamond, lkn ata hivyo mange reasoning yake n ndogo pia anakurupuka tu na mambo.Da Mange pia kathibitisha n kweli, sijui tuamini lipi, mweeeeh
Unaongea husiyoyajua ata kidogo week kadhaa nimekutana na huyo rommy jones akibwea mbele ya macho yangu bila aibu na hii tabia watoto wa mbezi beach ndio wameanza kama fashion in addition rate ya watumiaji unga inavyoongezeka ndivyo pia rate ya matukio na ushoga unaongezeka pia with that said kuna uwezekano mkubwa sana Diamond pia kutumia.Kwa jinsi Diamond alivyo pigana kumtoa ndugu yake kutoka kampani ya wala unga Kina TID, Ngwea, Babuu wa Kitaa na Langa na kumfanya Dj wake, sizani kama atakuwa anatumia.
Konde poda sijui kama ana gumia ila bange anakula.
Kwani muandiko mzuri unaliwa? Kama muandiko mzuri ungekuwa dili graduates wasingesaga soli kitaa na vyeti vyao...Harmonize ajifunze kuandika, jamaa ana uandishi m'bovu sana.
Hata katika captions zake kwenye mitandao ya kijamii uandishi wake wa ajabu ajabu.
Bado ana element za kishamba.
Mwanaume umeshatoka na kuamua kujitafutia ya nini kuanza kufuatana na mwanaume mwenzio kukesha kuandikiana upuuzi.
Suala la mtu kutumia unga ni starehe yake kama zilivyo starehe zingine kuanza kufuatiliana kuandikiana kwa status na insta story huu ni utoto.
Mwanaume kuwa na element za kike kutupiana maneno siyo ishara nzuri hata kidogo.
Zaidi ya yote ajifunze kuandika na amtafute Ras Simba amnoe kidogo lugha ya malkia ambayo nayo anavuruga sana.
Je mimi una nijua? Hivi ushajiuliza kwa nini kuna kipindi Mondi alikuwa akimtumia Dj Ommy wa Clouds kwa muda na kumwacha kaka yake Rj unajua sababu ilikuwa ipi?Unaongea husiyoyajua ata kidogo week kadhaa nimekutana na huyo rommy jones akibwea mbele ya macho yangu bila aibu na hii tabia watoto wa mbezi beach ndio wameanza kama fashion in addition rate ya watumiaji unga inavyoongezeka ndivyo pia rate ya matukio na ushoga unaongezeka pia with that said kuna uwezekano mkubwa sana Diamond pia kutumia.
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Sasa ndo nini na wewe? Unaelewa unachoandika kweli? Mimi nimeuliza swali kwenye mada then ww tena unakuja kuniuliza na kuni attack sasa mimi na wewe nani anatakiwa hayo maelezo ulotoa hapo?Jibu swali anatumia sembe au hatumii?? Vinginevyo nyie ndiyo walee enzi hizo teacher kwenye mtihani anatoa maswali 20 yote rahisi sana but mtego uko kwenye instructions "read all the questions carefully BUT DON'T ANSWER ANY QUESTIONS, JUST write down your name and when the time is up submit your papers"...