Qwy
JF-Expert Member
- Nov 23, 2018
- 6,238
- 31,190
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha tu ndgu mpaka unashangaa kua wabongo ndo tumekosa reasoning namna hii. Mtu hana source ya habari ni hisia zake tu, ila unakuta jamaa anasema mbona mange alisema hivi [emoji23][emoji23].
'Mbona da Mange kasema', kwao hiyo inajitosheleza kabisa.