Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Diamond ana vuta unga huo ndio ukweli ninaoufahamu....na biashara hiyo ameianza siku nyingi tu.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mke wake unayeishi naye 24/7 hadi umzungumzie hivyo?Diamond hatumii unga...sema anakunywa sana pombe siku hizi.
ndio mkuuWachapane ngumi sio
Tanzania sihami kwa haya majungu hamjamboKwa sisi wazoefu, ukimtazana Diamond, haraka sana unajua jamaa ana snort cocaine. hilo halina ubishi.
Ila nahisi atakuwa anatumia coc grade A, ile anayotumia tajiri fulani kijana aliyewekeza kwenye timu ya mpira wa miguu.
Kabisa Spartcus mnyama mkali (Shuzi lime mpata Mjamba.........)Mbona lipo wazi jamaa anakula unga kitambo
Huyu mmakonde hata kuandika hajui
M600 unahisi ni hela ndogo mkuu, kwamba uitoe tu bila kuhuzunikaMhh mmakonde naona bado milioni 600 inamuumiza sana
Hilo ninswali au jibu?Leo katika pita pita zangu nimekutana na hii post ya Harmonize akiongelea mtu kutumia madawa ya kulevya na mtu huyu direct ni Dimond. Je kuna ukweli wowote au ni hasira za Harmonize kuambiwa anatumia mihadarati.
Wadau je kuna ukweli wowote kukonda kwa Dimond ni kwa ajli ya ubwiaji?
inauma kweli kweliMhh mmakonde naona bado milioni 600 inamuumiza sana