Ni kweli Diamond Platnumz anatumia unga/madawa ya kulevya?

Ni kweli Diamond Platnumz anatumia unga/madawa ya kulevya?

Kalpana

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2017
Posts
32,603
Reaction score
62,269
Leo katika pita pita zangu nimekutana na hii post ya Harmonize akiongelea mtu kutumia madawa ya kulevya na mtu huyu direct ni Dimond. Je kuna ukweli wowote au ni hasira za Harmonize kuambiwa anatumia mihadarati.

Wadau je kuna ukweli wowote kukonda kwa Dimond ni kwa ajli ya ubwiaji?


Screenshot_20211116-095434_Chrome.jpg
 
Mhh mmakonde naona bado milioni 600 inamuumiza sana
Naomba kuuliza hawa wasanii wetu haya tunayoyaongeleaga humu yana uhalisia ama ni dhahani.

Nilipigwa na butwaa kuja kuona harmo ile gar ya aud 4 alipost na kusema yake, wakat ameachwa na sarah tukaona gari linaombwa.

Nikawaza msanii anaejiita mkubwa anashindwa kumiliki Aud 4 ya milion 20,

Basi niishie kusema tu hata hizo milion 600 usikute ni maneno tu ya media, lakini naamin wasanii wetu wanaishi maisha ya kipato cha chini sana.

[emoji3] ebitoke aliwah kusema nipost gar langu, kisha akala kona! Nikajua huyu itakuwa gar hana ama analo la kawaida tofaut na sifa anazotaka jamii imchukulie
 
Naomba kuuliza hawa wasanii wetu haya tunayoyaongeleaga humu yana uhalisia ama ni dhahani.

Nilipigwa na butwaa kuja kuona harmo ile gar ya aud 4 alipost na kusema yake, wakat ameachwa na sarah tukaona gari linaombwa.

Nikawaza msanii anaejiita mkubwa anashindwa kumiliki Aud 4 ya milion 20,

Basi niishie kusema tu hata hizo milion 600 usikute ni maneno tu ya media, lakini naamin wasanii wetu wanaishi maisha ya kipato cha chini sana.

[emoji3] ebitoke aliwah kusema nipost gar langu, kisha akala kona! Nikajua huyu itakuwa gar hana ama analo la kawaida tofaut na sifa anazotaka jamii imchukulie
Yah wengi ni maigizo yani life style yao inawaponza maana mwisho wa siku hawataki kukubaliana na hali ndo kujiingiza kwny kutumia dawa za kulevya au kuvuta mabangi
 
Wabongo tunapenda sana kupangia watu maisha.

Mihadarati kama anatumia si ananunua kaa pesa yake jama...

Kuna mtu hapo kasema eti mwamba ana stress sana 😂😂😂😂, bongo nyoso aisee. Mtu huishi nae hiyo kua na stress umeiona kwenye IYO
 
Wabongo tunapenda sana kupangia watu maisha.

Mihadarati kama anatumia si ananunua kaa pesa yake jama...

Kuna mtu hapo kasema eti mwamba ana stress sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], bongo nyoso aisee. Mtu huishi nae hiyo kua na stress umeiona kwenye IYO
Uffaller tu, utafikiri anamhurumia kumbe anataka ajulikane kuwa ana taarifa za mtu tu
 
Wabongo tunapenda sana kupangia watu maisha.

Mihadarati kama anatumia si ananunua kaa pesa yake jama...

Kuna mtu hapo kasema eti mwamba ana stress sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], bongo nyoso aisee. Mtu huishi nae hiyo kua na stress umeiona kwenye IYO
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila umesema kweli,
 
Back
Top Bottom