Ni kweli Diamond Platnumz anatumia unga/madawa ya kulevya?

Ni kweli Diamond Platnumz anatumia unga/madawa ya kulevya?

Nimecheka sana kwenye unga msafi wa mataita😂😂😂 dah kumbe huu wa kibongo ni pumba za unga au makombo ndio maana wadau wanakazi moja kusafisha jiji lisiwe na makopo
Nasikia,kuna,grade...matajiri wengi wanatumia grade za juu
 
Ni mm wala usijali..mm ndo nimeitoa kwa Mange...na niwe muwazi tuu page ya Mange naipitia kila niwapo na bando..kuna ishu anazitoa na zinasaidia kuanzia siasa n.k japo na yy kama binadamu ana mapungufu yake kibaaoooo kama mm na wewe...kikubwa tumuombee Dimond iwe ni hearsay tuu isiwe kweli...
Kama diamond angekuwa anatumia madawa asingekuwa na uwezo wa kuperform masaa mengi jukwaani juzi tu hapa kuperform masaa ma4 kesho yake kaenda Rwanda tena kufanya show, anafanya vitu vingi kwa muda mmoja atadeal na mziki tena atadeal na media yake Ndio Maana unakuta anapata uchovu cos anakosa muda mwingi wa kupumzika sasa nyinyi mnamsikiliza Mange bila vitu vingine kujiongeza Yule ni mfanyabiashara anapata hela kupitia buku buku zenu
 
Kama diamond angekuwa anatumia madawa asingekuwa na uwezo wa kuperform masaa mengi jukwaani juzi tu hapa kuperform masaa ma4 kesho yake kaenda Rwanda tena kufanya show, anafanya vitu vingi kwa muda mmoja atadeal na mziki tena atadeal na media yake Ndio Maana unakuta anapata uchovu cos anakosa muda mwingi wa kupumzika sasa nyinyi mnamsikiliza Mange bila vitu vingine kujiongeza Yule ni mfanyabiashara anapata hela kupitia buku buku zenu
Ktk kitu sikiwazi wal kuja kufanya ni kuingia huko kwny App yake anakopost upuuzi 24/7..mm naishia kwny page ya inst..
Haya sawa tumekusikia kaka kwa maoni yako..
 
Daimond sura yake inaonesha anatumia na ni mtu mwenye Stress mno.
Duu,
Kuna kazi Fulani Fulani ya halali niliwai kuifanya in my life time..
Nilikua naandaa off roster na mambo mengi kiutawala..

Nilikaa huko miaka m3 mambo ya parede za asbh na jion narud kwenye topic
Asikwambie mtu nili develop uwezo mkubwa sana wa kugundua mtu akiwa ametumia kilevi chochote pombe,Bangi,Madawa, ugoro ,pariki mm ukitumia chochote nakugundua......

NB:
Kuna binadamu ni abnormal creatures linapo kuja suala la matumizi ya vilevi wapo wanaweza kua HIGH na usigundue chochote wanatumia na hawazingui kitu chochote ni jambo la kushangaza sanaa.
 
Kama diamond angekuwa anatumia madawa asingekuwa na uwezo wa kuperform masaa mengi jukwaani juzi tu hapa kuperform masaa ma4 kesho yake kaenda Rwanda tena kufanya show, anafanya vitu vingi kwa muda mmoja atadeal na mziki tena atadeal na media yake Ndio Maana unakuta anapata uchovu cos anakosa muda mwingi wa kupumzika sasa nyinyi mnamsikiliza Mange bila vitu vingine kujiongeza Yule ni mfanyabiashara anapata hela kupitia buku buku zenu
Ie. Rose muhando case..
 
Kama diamond angekuwa anatumia madawa asingekuwa na uwezo wa kuperform masaa mengi jukwaani juzi tu hapa kuperform masaa ma4 kesho yake kaenda Rwanda tena kufanya show, anafanya vitu vingi kwa muda mmoja atadeal na mziki tena atadeal na media yake Ndio Maana unakuta anapata uchovu cos anakosa muda mwingi wa kupumzika sasa nyinyi mnamsikiliza Mange bila vitu vingine kujiongeza Yule ni mfanyabiashara anapata hela kupitia buku buku zenu
Bro unamkubali sana Diamond 😁😁

Kuna watu kama Whitney Houston na mume wake Bobby Brown ambao walikuwa ni best peformers duniani na bado walikuwa wanakula dawa,

Uliyoyasema hayahusiani
 
Bro unamkubali sana Diamond 😁😁

Kuna watu kama Whitney Houston na mume wake Bobby Brown ambao walikuwa ni best peformers duniani na bado walikuwa wanakula dawa,

Uliyoyasema hayahusiani
Sema hamtoi sababu za wazi kujustify hoja zenu ni kama yale ya ommy dimpoz unamwita mtu shoga alafu huna ushahidi
 
Duu,
Kuna kazi Fulani Fulani ya halali niliwai kuifanya in my life time..
Nilikua naandaa off roster na mambo mengi kiutawala..

Nilikaa huko miaka m3 mambo ya parede za asbh na jion narud kwenye topic
Asikwambie mtu nili develop uwezo mkubwa sana wa kugundua mtu akiwa ametumia kilevi chochote pombe,Bangi,Madawa, ugoro ,pariki mm ukitumia chochote nakugundua......

NB:
Kuna binadamu ni abnormal creatures linapo kuja suala la matumizi ya vilevi wapo wanaweza kua HIGH na usigundue chochote wanatumia na hawazingui kitu chochote ni jambo la kushangaza sanaa.

Haya kuna la kusema?!!
IMG-20230911-WA0141.jpg
 
Ktk kitu sikiwazi wal kuja kufanya ni kuingia huko kwny App yake anakopost upuuzi 24/7..mm naishia kwny page ya inst..
Haya sawa tumekusikia kaka kwa maoni yako..
Sijawahi kuyaamini maneno ya mbongo hasa mwanamke!!!!!
 
Kule USA kwenye "black community" Kuna theory kuwa a black man huwa hapendi kuona black man mwenzie kafanikiwa! Yaani kama black man ukifanikiwa, watu wa kwanza kutaka kukuangusha ni black men wenzio,
Hii inaonyesha ni "inborn thing " Ya watu weusi,tumezaliwa na hii nuksi!
Badala ya kuchunguza na kukosoa lifestyle ya Mond,jifunzeni kwake jinsi alivyoweza kungalisha na kutumia talanta yake kutengeneza ukwasi! Na kutoa ajira kibao,toeni ushauri chanya!
Sasa wewe huna chochote, unataka kujipa "high moral ground" Kukosoa wenye nacho!
"Bskhresa hawezi kusikiliza wala kujali ushauri wa kapuku kama driver wa daladala" Lakini akisikia ushauri wa MTU kama Dangote au Rostam, lazima at a kuwa makini kusikiliza"maana ushauri umetoka kwa MTU wa level yake.
 
Back
Top Bottom