National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Unaogopa nini Shunie 😊😊Mpaka nimeogopa
Ushtuliwe kwa madole au unatakaje? Maana inaonekanaka unapwita kama askari wa Zanzibar.Akijibu nishtue
Ushtuliwe kwa madole au unatakaje? Maana inaonekanaka unapwita kama askari wa Zanzibar.
[emoji23][emoji23]Wananzengo mumeanza [emoji2][emoji2][emoji2]
Ni kauli za watu wavivu wanaotaka kutuonesha kuwa wako serious na maisha. Kiukweli ni watu wa kijipa moyo tu.Get rich or die tryin'
Mada ya kidada sana hii.
mara nyingi watu wa karibu wakitangulia tunatafuta sababu za kujilaumu, kwamba tulisababisha vifo vyao.... kanye ndo atakua anapitia hali hii, binafsi siamini kama kuna utajiri wa kafara, mambo ya illuminati, freemasons naona ni uzushi tu....Nimesikia hata Kanye West anajilaumu kwa mama'ke kuwa kafara la mafanikio yake. Anajuta, eti aliingizwa mkenge na kina Kardashian.
mara nyingi watu wa karibu wakitangulia tunatafuta sababu za kujilaumu, kwamba tulisababisha vifo vyao.... kanye ndo atakua anapitia hali hii, binafsi siamini kama kuna utajiri wa kafara, mambo ya illuminati, freemasons naona ni uzushi tu....
Upo huru kuamini au kutokuamini chochote.mara nyingi watu wa karibu wakitangulia tunatafuta sababu za kujilaumu, kwamba tulisababisha vifo vyao.... kanye ndo atakua anapitia hali hii, binafsi siamini kama kuna utajiri wa kafara, mambo ya illuminati, freemasons naona ni uzushi tu....
anadai kwamba huwa hajiamini akiwa mbele ya majukwaa ya watu hivyo akienda mahali kuperform anavaa uhusika mwingine, yaani anaigiza uchangamfu. huu uhusika ndo anauita sasha fierce....unamuelewa Sasha Fierce ni nani?
Mimi nilijua wewe ndio unaenda china na umeshamzidi maarifa kumbe ni watu wengine na sio wewe?Kuna mtu mzima anayefuatilia maisha ya watu? una watoto wakubwa ila unaleta mambo za kitoto.
Hizi habari achana nazo kuzishabikia ni kwamba unaamini na wewe sio? we si ndo namba moja mara hamna uchawi ,mara hamna Mungu ...Nin kimekupta?
Na Phd yako sasa sikia wapo madogo wanawin kweny game kwenda huko china wanavuta mizigo wanakuja kuuza ,halafu hawana familia kazi zao ni kudaka wadangaji mitandaoni kwa kujipost na kuonyesha pesa.
Watu wanatafuta pesa na wanapata ,we mtu mzima still anajikongoja na elimu yako ya ugoko ,doubts nyingi tambua akili yako ishalala watu washakuzidi maarifa.
Naona hujasoma kisa chake vizuri, umeisikiliza hiyo clip moja tu. Mtafute aliyekuwa mpiga drums wake kwa miaka 7, kwanini alimfukuza.anadai kwamba huwa hajiamini akiwa mbele ya majukwaa ya watu hivyo akienda mahali kuperform anavaa uhusika mwingine, yaani anaigiza uchangamfu. huu uhusika ndo anauita sasha fierce....
sio ushirikina ni coping mechanism
Jamani😔..ilikua inakukwaza kumbe🤣Kipenzi bora ile avatar umeitoa jamani
Yumo nini huyu?Mada ya kidada sana hii,
Hakuna utajiri ambao hauna umafia,endelea kukaa kwa bimkubwa mpaka akili ikukomae.
Rubbish.
Watu wengine waangalie tu basi, maana kichwani akili hawana.Mimi nilijua wewe ndio unaenda china na umeshamzidi maarifa kumbe ni watu wengine na sio wewe?
Sanaaa dear kwanza ilikuwa inanitisha nilikuwa nashindwa tu kukwambia usiirudishe tena bwanah [emoji1787]Jamani[emoji17]..ilikua inakukwaza kumbe[emoji1787]
Naona mna ligi kwenye Zogo lenu wachaa niwaache wazee wa Bundesliga..Haibadili kua mada ya kidada na ya kijinga hii,hawa ndio mtu akifanikiwa hua wanasema sijui freemason,mara sijui makafara,mara wasema kuna Joka kubwa ndio linampa hela,ujinga ujinga mwingi tu.
Kuna member comment zilizopita anasema yupo tayari kwa kafara au kutolewa rinda ilimradi tu apate utajiri.Ukiachana na kafara ya damu, wanaume kuna kupakuliwa nyuma, nawakumbusha katika hilo.