Ni kweli hali ngumu na umaskini ni fedheha lakini tujiepushe na utajiri wa shortcut, utajuta sana, kafara ni lazima

Ni kweli hali ngumu na umaskini ni fedheha lakini tujiepushe na utajiri wa shortcut, utajuta sana, kafara ni lazima

Nimesikia hata Kanye West anajilaumu kwa mama'ke kuwa kafara la mafanikio yake. Anajuta, eti aliingizwa mkenge na kina Kardashian.


mara nyingi watu wa karibu wakitangulia tunatafuta sababu za kujilaumu, kwamba tulisababisha vifo vyao.... kanye ndo atakua anapitia hali hii, binafsi siamini kama kuna utajiri wa kafara, mambo ya illuminati, freemasons naona ni uzushi tu....
 
mara nyingi watu wa karibu wakitangulia tunatafuta sababu za kujilaumu, kwamba tulisababisha vifo vyao.... kanye ndo atakua anapitia hali hii, binafsi siamini kama kuna utajiri wa kafara, mambo ya illuminati, freemasons naona ni uzushi tu....
mara nyingi watu wa karibu wakitangulia tunatafuta sababu za kujilaumu, kwamba tulisababisha vifo vyao.... kanye ndo atakua anapitia hali hii, binafsi siamini kama kuna utajiri wa kafara, mambo ya illuminati, freemasons naona ni uzushi tu....
Upo huru kuamini au kutokuamini chochote.

Si huyo tu, msikilize beyonce akimuongelea "Sasha Fierce", unamuelewa Sasha Fierce ni nani?

 
Kuna mtu mzima anayefuatilia maisha ya watu? una watoto wakubwa ila unaleta mambo za kitoto.

Hizi habari achana nazo kuzishabikia ni kwamba unaamini na wewe sio? we si ndo namba moja mara hamna uchawi ,mara hamna Mungu ...Nin kimekupta?

Na Phd yako sasa sikia wapo madogo wanawin kweny game kwenda huko china wanavuta mizigo wanakuja kuuza ,halafu hawana familia kazi zao ni kudaka wadangaji mitandaoni kwa kujipost na kuonyesha pesa.

Watu wanatafuta pesa na wanapata ,we mtu mzima still anajikongoja na elimu yako ya ugoko ,doubts nyingi tambua akili yako ishalala watu washakuzidi maarifa.
Mimi nilijua wewe ndio unaenda china na umeshamzidi maarifa kumbe ni watu wengine na sio wewe?
 
anadai kwamba huwa hajiamini akiwa mbele ya majukwaa ya watu hivyo akienda mahali kuperform anavaa uhusika mwingine, yaani anaigiza uchangamfu. huu uhusika ndo anauita sasha fierce....

sio ushirikina ni coping mechanism
Naona hujasoma kisa chake vizuri, umeisikiliza hiyo clip moja tu. Mtafute aliyekuwa mpiga drums wake kwa miaka 7, kwanini alimfukuza.

Uchawi upo, hakuna uchawi usiokuwa na kafara. Uchawi ni ushetàni, haonunaosikia wote majina illuminati, sijui nani au nani, vyote hivyo ni ushirikina.

Unakataa vitu vipo wazi kabisa.

Hivi huwa hamsikii viungo vya albino vinatafutwa. Ngozi za watu na mambo kama hayo? Mnafikiri ni utani ule au mtu inakuwaje mpaka mtu anapata ujasiri wa kuuwa albino apate viungo?

unafikiri ni mchezo wa kuiga?
 
Back
Top Bottom