Ni kweli hali ngumu na umaskini ni fedheha lakini tujiepushe na utajiri wa shortcut, utajuta sana, kafara ni lazima

Huyo mtu unaemwandikia hivi miaka ya 2000 aliondoka na passport ya Kaburu kutokea Cape Town kwenda UK leo 2023 unasema atoke kwa Bimkubwa?
Kwani mkuu hiyo Avatar yake haiwezi kukupa majibu ni mtu wa aina gani huyu.

First born wangu anafanya Masters University, second born yupo high school, na wengine wapo secondary na nina extended family.

Kuna wakati humu watu wengine unawaangalia na kuwaacha kama walivyo.
 
Upo sahihi kabisa.

Lakini mambo yanabadirika japo sio kwa kasi sana. Vijana ambao wanapata exposure mapema na wanao jiongeza kuna kitu wanafanya japo miiba mingi sana na jasho linatoka..

Na wale wanaoiga maisha ya mitandaoni na kujawa na tamaa ndio hao wanaingia mkenge.. mifano tunavijana kibao sinza tunawapoteza.. Hayo mambo yanayo endelea yanafata sana deception kwenye hizi social media.. vijana wanazama dm.. ndio inakuwa kwisha habari yao.. Nakumbuka miaka ya 2009-2012 nilitaka kuingia mkenge kwa hawa jamaa ila Mungu alikuwa upande wangu.. Tamaa ya maisha mbaya sana
 
Huyo mtu unaemwandikia hivi miaka ya 2000 aliondoka na passport ya Kaburu kutokea Cape Town kwenda UK leo 2023 unasema atoke kwa Bimkubwa?
Haibadili kua mada ya kidada na ya kijinga hii,hawa ndio mtu akifanikiwa hua wanasema sijui freemason,mara sijui makafara,mara wasema kuna Joka kubwa ndio linampa hela,ujinga ujinga mwingi tu.
 
Ukubwa wa mtu unapimwa kwa hekima yake na sio umri,kama ni kweli usemayo basi hao watu wako wana hasara kubwa sana,hua unajifanya kutukana sana watu humu,kwani wewe hao unaowajibu hovyo unawajua umri wao? Unajua post zao? Unajua wanaishi wapi?

Umri wako na matusi unayowatukana watu humu haviendani kabisa,mtu huheshimiwa kwa anavyojijeshimu na anavyoheshimu wengine na sio kwa umri,
Acha kukariri coz hata Mimi hunijui.
 
Sijaona
1. Mercedes Benz Maybach GLS au S
2.Bentley flying spur
3. Rolls Royce phantom, Ghost au Cullinan
4. BMW 7 series etc

Hata Kama ni magari hayo siko tayari kutoa kafara

Wapuuzi wanatoa kafara ili Kununua makopo ya kijapan, shame on them
 
Hiyo Avatar yako tu inaongea mengi, am done with you.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…