Ni kweli hali ngumu na umaskini ni fedheha lakini tujiepushe na utajiri wa shortcut, utajuta sana, kafara ni lazima

Ni kweli hali ngumu na umaskini ni fedheha lakini tujiepushe na utajiri wa shortcut, utajuta sana, kafara ni lazima

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Sitaki kuandika mengi, tutakwenda kwa lugha ya Picha tu, tuwe makini na watu, ukione Picha kama hizi usitamani haya maisha utapelekwa shimoni.

Nilikuwa na conversation ya kuboost biashara zangu na jamaa Fulani ambaye tumefahiana kama mwaka sasa, nikashauriwa nitambulishwe kwenye brotherhood, kwanza Mimi ukiniambia tu neno brotherhood moja kwa moja nakumbuka filamu ya Nigeria Billionaires club ya Pete Edochie na Madon wenzake.

Nina story ndefu na ya kweli ila nawashauri wote tupambane na umaskini tuvumilie shida zina mwisho Mungu atatufanyia wepesi, hawa jamaa mwisho wa siku huwa wanataka kafara ya damu.
 

Attachments

  • FB_IMG_1688539579131.jpg
    FB_IMG_1688539579131.jpg
    91.4 KB · Views: 22
  • FB_IMG_1688539549063.jpg
    FB_IMG_1688539549063.jpg
    81.9 KB · Views: 25
  • FB_IMG_1688539502282.jpg
    FB_IMG_1688539502282.jpg
    94.2 KB · Views: 24
  • FB_IMG_1688539481119.jpg
    FB_IMG_1688539481119.jpg
    78 KB · Views: 24
  • FB_IMG_1688539450805.jpg
    FB_IMG_1688539450805.jpg
    62.6 KB · Views: 24
  • FB_IMG_1688539442266.jpg
    FB_IMG_1688539442266.jpg
    47.3 KB · Views: 21
Back
Top Bottom