Beberu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 4,548
- 9,740
Alichofanya Harmonize kwa diamond ni biashara, ndio mana kulikuwa na mikataba na pesa from both side zikaflow, nambie hio issue unalinganisha na issue ya kuomba pesa za kutibiwa ? Sijui kula ?Yeye harmonize mbona alienda kuomba msaada kwa diamond hakujisimamia mpk alipopata alichotaka akaondoka kwa matusi na usaliti