Alichofanya Harmonize kwa diamond ni biashara, ndio mana kulikuwa na mikataba na pesa from both side zikaflow, nambie hio issue unalinganisha na issue ya kuomba pesa za kutibiwa ? Sijui kula ?Yeye harmonize mbona alienda kuomba msaada kwa diamond hakujisimamia mpk alipopata alichotaka akaondoka kwa matusi na usaliti
Sasa ukishamaliza kazi si unaondoka..?Yeye harmonize mbona alienda kuomba msaada kwa diamond hakujisimamia mpk alipopata alichotaka akaondoka kwa matusi na usaliti
Diamond hajawahi toa msaada kwa harmonize, it was about businessNi kweli msaada sio lazima, hata harmonize alisaidiwa na diamond japo baadae alimtukana sana
Alimpigia sim akakata,tuma sms hakujibu jamaa wa karibu wanasema kama alimchinjia bahariniNi kweli msaada sio lazima, hata harmonize alisaidiwa na diamond japo baadae alimtukana sana
Mjegeje alimfata hyo konde maana anajuwa ni mtu wake na alifanya naye kazi zao hizoooHuko mnakoelekea mtasema huyo sijui harmonize kachangia mjegeje kudanja
Kazi ganiMjegeje alimfata hyo konde maana anajuwa ni mtu wake na alifanya naye kazi zao hizooo
Lazima amfate
Ova
Ni msaada.Diamond hajawahi toa msaada kwa harmonize, it was about business
Msaada gani wakati mond amevuna pesa kupitia kondeNi msaada.
Hata wewe ni mzee mjegeje ujaye maana utalie sana nasib akusaidie mpaka utakufaHapana hakuna aliesema alikuwa na haki ya kusaidiwa ila raia wanazidi kuelewa roho ya mmakonde ni ya namna gani. Btw aliombwa sh laki 5 tu
Kavuna pesa ndio lakini kamsaidia ilo bisha kishabiki tu ila kasaidiwaMsaada gani wakati mond amevuna pesa kupitia konde
Mtu akishafariki mambo mengi huibuka kumuhusu. Hatari sana
Wewe mvaa hereni na bangili wa sinza huaminiki kabisa wewe uwezi kuongea uzuri kuhusu Harmonize…..! Hivi kweli kabisa mtu atukane kisa kaombwa msaada tena kwa aiba ya Harmonize huu ni uongo…😂😂😂😂Ni kweli msaada sio lazima, hata harmonize alisaidiwa na diamond japo baadae alimtukana sana