Wydad anakupa hiiAlianza mwanasheria msomi,tunaambiwa ni majeruhi,akaja mzanzibari tukaambiwa mkorofi,sasa ni kiungo aliyeshindanishwa na mwamba wa Lusaka,wanajidai wako kimyaaa!Na za ndaani kanisa anafuta profesa.Kuna nini huko?
Nyota yeyote akitaka kucheza mpira,sehemu sahihi ni unyamani.
Huko kwa jirani ni suala la muda tu.Patalipukaaa!
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Huku ndio kukomaa kisoka?VIONGOZI wengi wa Yanga Bado hawajakomaa kisoka Wala ki uongozi.
Senzo na Manara waliwasaidia sana.
Bm3 ni majeruhi sio uongoAlianza mwanasheria msomi,tunaambiwa ni majeruhi,akaja mzanzibari tukaambiwa mkorofi,sasa ni kiungo aliyeshindanishwa na mwamba wa Lusaka,wanajidai wako kimyaaa!Na za ndaani kanisa anafuta profesa.Kuna nini huko?
Nyota yeyote akitaka kucheza mpira,sehemu sahihi ni unyamani.
Huko kwa jirani ni suala la muda tu.Patalipukaaa!
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Tu assume hayo unayosema ni kweli , inakusaidia nini mbele ya Wydad?Alianza mwanasheria msomi,tunaambiwa ni majeruhi,akaja mzanzibari tukaambiwa mkorofi,sasa ni kiungo aliyeshindanishwa na mwamba wa Lusaka,wanajidai wako kimyaaa!Na za ndaani kanisa anafuta profesa.Kuna nini huko?
Nyota yeyote akitaka kucheza mpira,sehemu sahihi ni unyamani.
Huko kwa jirani ni suala la muda tu.Patalipukaaa!
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Wakikutukana usilaumuVIONGOZI wengi wa Yanga Bado hawajakomaa kisoka Wala ki uongozi.
Senzo na Manara waliwasaidia sana.
Propaganda za kipumbavu haswa.Alianza mwanasheria msomi,tunaambiwa ni majeruhi,akaja mzanzibari tukaambiwa mkorofi,sasa ni kiungo aliyeshindanishwa na mwamba wa Lusaka,wanajidai wako kimyaaa!Na za ndaani kanisa anafuta profesa.Kuna nini huko?
Nyota yeyote akitaka kucheza mpira,sehemu sahihi ni unyamani.
Huko kwa jirani ni suala la muda tu.Patalipukaaa!
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Tujitahidi wananchi twende tukamsapot Wydad.Tu assume hayo unayosema ni kweli , inakusaidia nini mbele ya Wydad?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Unahasira sana! Kata kipande cha ndimu uonje au tema mate chini hasira sipungue miezi tisa ni mingiPropaganda za kipumbavu haswa.
Alianza mwanasheria msomi,tunaambiwa ni majeruhi,akaja mzanzibari tukaambiwa mkorofi,sasa ni kiungo aliyeshindanishwa na mwamba wa Lusaka,wanajidai wako kimyaaa!Na za ndaani kabisa anafuta profesa.Kuna nini huko?
Nyota yeyote akitaka kucheza mpira,sehemu sahihi ni unyamani.
Huko kwa jirani ni suala la muda tu.Patalipukaaa!
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
wewe siyo shabiki wa yanga, acha uongo...Nilichogundua sisi mashabiki wa Yanga tunawafatilia sana watani zetu kisa wamepangiwa Wydad sisi huku shirikisho tumepewa dunduka wenzetu tuna chuki Kali sana na mtani kisa wapo Super League sijui ushamba utatuisha lini.
Tuzungumzie mechi yetu na Rivers mwakani tupambane ili nasisi tuimbwe tuwe Kati ya vilabu bingwa nane huku tulipo kwa maloser.Hii kuzungumzia Wydad tuache mara moja Simba wametuacha mbali Sana kimataifa.
Mimi ni Yanga damu mkuu, ukweli lazima usemwe..wewe siyo shabiki wa yanga, acha uongo...