Alianza mwanasheria msomi,tunaambiwa ni majeruhi,akaja mzanzibari tukaambiwa mkorofi,sasa ni kiungo aliyeshindanishwa na mwamba wa Lusaka,wanajidai wako kimyaaa!Na za ndaani kabisa anafuta profesa.Kuna nini huko?
Nyota yeyote akitaka kucheza mpira,sehemu sahihi ni unyamani.
Huko kwa jirani ni suala la muda tu.Patalipukaaa!
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Nyota yeyote akitaka kucheza mpira,sehemu sahihi ni unyamani.
Huko kwa jirani ni suala la muda tu.Patalipukaaa!
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app