Ni kweli haya huko kwa jirani?

Tujitahidi wananchi twende tukamsapot Wydad.

Kuna mtu anaenda kupasuka Lupaso.
Kamati ya mapokezi fanyeni maandalizi mapema ya kupokea wageni lakini hao waume zenu lazima wafie Lupaso
 
Wewe tunakuongeza kwenye kale ka kikundi ka watu wawili Mzee Manara na kikwete. Sasa mmekuwa watatu wenye akili huko utopoloni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…