Ni kweli huko Dar es Salaam huwezi kupata nyumba ya kupanga bila dalali?

Ni kweli huko Dar es Salaam huwezi kupata nyumba ya kupanga bila dalali?

Pantomath

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2019
Posts
842
Reaction score
3,449
Nina mdogo wangu amemaliza masomo kaomba asirudi nyumbani aende Dar ili apambane, sio mbaya sababu ni mchakarikaji tukaona haina haja ya kumlazimisha kuja mkoa.

Nikamuambia kama ni hivyo basi atoke kwa ndugu, ana vitu vyake akapange, nitamsapoti kodi kwa mwanzoni,

Juzi tukapatana atafute chumba, Siku nzima bila, jana pia, leo namuuliza vipi anasema vyumba vipo ila mpaka madali, nikamuona kama mzembe hivi, nikamuuliza unashindwa kuzunguka kuulizia? Akasema ndio amefanya hivyo ila kila anapobahatika kukuta chumba anaambiwa apitie kwa dalali.. Nikamwambia asiulize wapangaji amtafute mmiliki, akasema wanaomjibu hivyo wapo wamiliki pia. Na akaambiwa dalali atataka hela ya usumbufu na kodi ya kwanza.

Hii mimi haijaniingia akilini kabisa, naona dogo ashaanza uzembe, hata moyo umepungua.

Hii kitu ipo kweli? Kwa logic gani? Yaani mmiliki wa nyumba na kodi yako, halafu unataka dalali wakati mteja kaja mpaka mlangoni? Faida yake ni nini?
 
Wenye nyumba wengi huwapa madalali kazi za kutafuta wapangaji. Iwapo mwenye nyumba akapata mpangaji na kupangisha dalali atahisi amezungukwa na mwenyenyumba hivyo Ili kuboresha mahusiano ni lazima upitie Kwa madalali.

Iwapo atakubali na dalali akajua Mzee kapangisha, wanaambiana Mzee Fulani ni msaliti. Next time nyumba zake atafugia kuku maana hata pata wapangaji
 
🤣🤣🤣nakumbuka kuna siku nilitafuta chumba nikaelekezwa kwa mzee flani nikamkuta kibarazani, nikamuambia natafuta chumba nimeelekezwa kwako, akanimbia ahaa vyumba vipo hapa twende ndani,

Tukaingia getini akanionesha vyumba, nikaelewa kimoja, baada ya hapo nikamuuliza malipo vip?
Akaniambia samahani chumba ndio hicho lakini kukipata mpaka dalali, utampa hela ya usumbufu 10, na ya kodi ya Mwezi.

Nikamuambia mi nikajua we ndio mmilikii??
Akasema ndio, ila huo ndio utaratibuu..
Tukasumbuana sana pale hata ya kumpoza akagoma, nikawa mpole mana nyumba niliielewa..

Nikamwambia basi poa nipe namba ya huyo dalali niongee naye..

Unajua alichoniambia??

Eti "Dalali ndio mimi" .......
Khaaa.....

Nikaona mbona kama huyu mzee analeta ukatunii, kumbe yupo serious bana.
Nilijihisi nimepata mawenge, Mzee akanikazia kweli,

Akaniambia hata huyo aliyekutuma kwangu amekutuma kama kwa dalali mana hajui hata kama nina chumba, na hata hapa pasingekufaa ningekutaftia kwingine.

Kumbe sasa Yeye ni dadali wa kitambo tuu anayejulikana, lakini pia ana chumba cha kupangisha kwenye nyumba yake ndio anataka akidalaliee
Lile picha mimi ndio sikuliewa nikasepa zangu.
 
🤣🤣🤣nakumbuka kuna siku nilitafuta chumba nikaelekezwa kwa mzee flani nikamkuta kibarazani, nikamuambia natafuta chumba nimeelekezwa kwako, akanimbia ahaa vyumba vipo hapa twende ndani,

Tukaingia getini akanionesha vyumba, nikaelewa kimoja, baada ya hapo nikamuuliza malipo vip?
Akaniambia samahani chumba ndio hicho lakini kukipata mpaka dalali..

Niamuambia mi nakajua we ndio mmilikii??
Akasema ndio, ila huo ndio utaratibuu..
Tukasumbuana sana pale hata ya kumpoza, akagoma, nikawa mpole mana nyumba niliielewa..

Nikamwambia basi poa nipe namba ya huyo dalalo niongee naye..

Unajua alichoniambia??
Eti "Dalali ndio mimi" .......
Khaaa, nikaona kama huyu mzee analeta ukatunii, kumbe yupo serious,

Kumbe sasa Yeye ni dadali wa kitambo tuu anayejulikana, lakini pia ana chumba cha kupangisha kwenye nyumba yake ndio anataka akidalaliee
Lile picha mimi ndio sikuliewa nikasepa zangu.
😂😂😂
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nakumbuka kuna siku nilitafuta chumba nikaelekezwa kwa mzee flani nikamkuta kibarazani, nikamuambia natafuta chumba nimeelekezwa kwako, akanimbia ahaa vyumba vipo hapa twende ndani,

Tukaingia getini akanionesha vyumba, nikaelewa kimoja, baada ya hapo nikamuuliza malipo vip?
Akaniambia samahani chumba ndio hicho lakini kukipata mpaka dalali..

Nikamuambia mi nakajua we ndio mmilikii??
Akasema ndio, ila huo ndio utaratibuu..
Tukasumbuana sana pale hata ya kumpoza, akagoma, nikawa mpole mana nyumba niliielewa..

Nikamwambia basi poa nipe namba ya huyo dalalo niongee naye..

Unajua alichoniambia??
Eti "Dalali ndio mimi" .......
Khaaa, nikaona kama huyu mzee analeta ukatunii, kumbe yupo serious,

Kumbe sasa Yeye ni dadali wa kitambo tuu anayejulikana, lakini pia ana chumba cha kupangisha kwenye nyumba yake ndio anataka akidalaliee
Lile picha mimi ndio sikuliewa nikasepa zangu.
Dhumuni lake lilikua lipi.?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nakumbuka kuna siku nilitafuta chumba nikaelekezwa kwa mzee flani nikamkuta kibarazani, nikamuambia natafuta chumba nimeelekezwa kwako, akanimbia ahaa vyumba vipo hapa twende ndani,

Tukaingia getini akanionesha vyumba, nikaelewa kimoja, baada ya hapo nikamuuliza malipo vip?
Akaniambia samahani chumba ndio hicho lakini kukipata mpaka dalali, utampa hela ya usumbufu 10, na ya kodi ya Mwezi.

Nikamuambia mi nakajua we ndio mmilikii??
Akasema ndio, ila huo ndio utaratibuu..
Tukasumbuana sana pale hata ya kumpoza, akagoma, nikawa mpole mana nyumba niliielewa..

Nikamwambia basi poa nipe namba ya huyo dalalo niongee naye..

Unajua alichoniambia??
Eti "Dalali ndio mimi" .......
Khaaa, nikaona kama huyu mzee analeta ukatunii, kumbe yupo serious,

Kumbe sasa Yeye ni dadali wa kitambo tuu anayejulikana, lakini pia ana chumba cha kupangisha kwenye nyumba yake ndio anataka akidalaliee
Lile picha mimi ndio sikuliewa nikasepa zangu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Maajabu ya Wazee wa Dar
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nakumbuka kuna siku nilitafuta chumba nikaelekezwa kwa mzee flani nikamkuta kibarazani, nikamuambia natafuta chumba nimeelekezwa kwako, akanimbia ahaa vyumba vipo hapa twende ndani,

Tukaingia getini akanionesha vyumba, nikaelewa kimoja, baada ya hapo nikamuuliza malipo vip?
Akaniambia samahani chumba ndio hicho lakini kukipata mpaka dalali, utampa hela ya usumbufu 10, na ya kodi ya Mwezi.

Nikamuambia mi nikajua we ndio mmilikii??
Akasema ndio, ila huo ndio utaratibuu..
Tukasumbuana sana pale hata ya kumpoza akagoma, nikawa mpole mana nyumba niliielewa..

Nikamwambia basi poa nipe namba ya huyo dalali niongee naye..

Unajua alichoniambia??
Eti "Dalali ndio mimi" .......
Khaaa, nikaona kama huyu mzee analeta ukatunii, kumbe yupo serious,

Kumbe sasa Yeye ni dadali wa kitambo tuu anayejulikana, lakini pia ana chumba cha kupangisha kwenye nyumba yake ndio anataka akidalaliee
Lile picha mimi ndio sikuliewa nikasepa zangu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Heri ya Mwaka mpya Beshtie....
 
Ipo hivyo mzee. Dar hata ukiulizia njia ya kufika mahali fulani unalipia.

Udadali ni kazi moja naioanaga kama ina laana hivi maana mwenyewe nishaifanya.

Hebu imagine unalima nyanya zako zinatoka fresh ukitaka kuvuna ili uuze bila dalali amini nakuambia zitakuozea 😂
 
Nina mdg wangu amemaliza masomo kaomba asirudi nyumbn abaki Dar ili apambane, sio mbaya sababu ni mchakarikaji tukaona haina haja ya kumlazimisha kuja mkoa..
Nikamuambia kama ni hivyo basi atoke kwa ndugu, ana vitu vyake akapange, nitamsapoti kodi kwa mwanzoni,

Juzi tukapatana atafute chumba, Siku nzima bila, jana pia,
Leo namuuliza vip anasema vyumba vipo ila mpaka madali,
Nikamuona kama mzembe hivi, nikamuuliza unashindwa kuzunguka kuulizia? Akasema ndio amefanya hivyo ila kila anapobahatika kukuta chumba anaambiwa apitie kwa dalali.. nikamwambia Asiulize wapangaji amtafute mmiliki, akasema wanaomjibu hivyo wapo wamiliki piaa...
Na akaambiwa dalali atataka hela ya usumbufu na kodi ya kwanza.

Hii mimi haijaniingia akilini kbsa, naona dogo ashaanza uzembe, hata moyo umepungua..

Hii kitu ipo kweli?
Kwa logic gani? Yaani mmiliki wa nyumba na kodi yako, halafu unataka dalali nakati mteja kaja mpk mlangoni?
Faida yake ni nini?
Mpaka hapo huyo siyo mchakalikaji,amekaa miaka mingapi dar?
 
Back
Top Bottom