Ni kweli huko Dar es Salaam huwezi kupata nyumba ya kupanga bila dalali?

Ni kweli huko Dar es Salaam huwezi kupata nyumba ya kupanga bila dalali?

Bila Dalali hupati Chumba sasa ubishi wa nini, mwambie afike nyumbani kwa Mjumbe wa nyumba 10 au aende ofisi ya Mtendaji atapata msaada bila ya KUHANGAIKA na madalali
Hata hao wajumbe ndo madalali namba one, af mujumbe lazima umlipe huwezi kumthurumu, Dar imakua ngumu vijana wasio kua na kazi wanao tegemea kupata rizki kupitia kwa nyumba za watu ni wengi imekua kero.
 
Bila Dalali hupati Chumba sasa ubishi wa nini, mwambie afike nyumbani kwa Mjumbe wa nyumba 10 au aende ofisi ya Mtendaji atapata msaada bila ya KUHANGAIKA na madalali
Hawa wanakua wanajua wenye vyumba?
 
Hata hao wajumbe ndo madalali namba one, af mujumbe lazima umlipe huwezi kumthurumu, Dar imakua ngumu vijana wasio kua na kazi wanao tegemea kupata rizki kupitia kwa nyumba za watu ni wengi imekua kero.
Hapana wajumbe hawana gharama km madalali mjumbe ukimpa hata 5k anakushukuru inatosha, dalali km chumba ni laki basi na yeye anataka laki ya udalali km chumba ni 50k basi na yeye anataka 50k ya udalali umenielewa?

Ipo hivi mfano chumba ni 50k kwa mwezi unataka kupanga kwa miezi 6 ambayo ni sawa na 300k basi utalipa 350k yaan hapo 50k ni ya dalali, copy?
 
Naona Wanyonge na wakuja wana jipa moyo .kama mli pigwa ni nyie vyumba ni vingi tu vya bila kupitia kwa dalali mtakua wanachuo tu nyie ..
 
Wajumbe wa dar ni binadamu wa hovyo kupita maelezo hasa hawa vibibi na mikoba yao ya ccm omba usimkute anachoma chapati halafu hana hela ya sukari nakwambia huchomoki bure.
😂😂😂 Nenda kwa mjumbe na mtu anaefahamika na mjumbe usiende wewe km wewe km mjumbe hakufahamu maana ukienda mwenyewe utauliza maswali utashindwa kujibu, na aseme wewe ni ndugu yake una shida fulani unaomba kusaidiwa utasaidiwa
 
Kuna nguo niliona tu zinapostiwa Instagram,kila nikienda kariakoo nazikosa.Kuja kufuatilia nikaambiwa hizo bila Dalali/winga huzipati.....Nikaenda Mwanza kila duka pale Dampo unazikuta bila huo upuuzi.
Dar michongo mingi watu wanazuia hadi nguo? 😂
 
Hana Hata Mwaka, alipomaliza chuo ndio akaenda.
Mpe dogo hela ya dalali ya mwezi mmoja. Iko hivyo. Bila hivyo atasaga sana lami. Bora kwa upande wa nyumba ila chumba sahau bila dalali. La! Ikatokea mpangaji mnajuana akakushtua siku fulani anabwaga ukakiwahi chumba.
 
Back
Top Bottom