Ni kweli huyu msichana anaishi duniani?

Ni kweli huyu msichana anaishi duniani?

Ebu tuache kubuni vitu visivyokuwepo, ivi ni kweli kabisa huyu mdada mzuri kiasi hiki anaishi?. Basi kama ni kweli maisha anayopitia niyakero sana maana kila hatua mbili Gari zitagongana kila mtu akijitahidi kuweka dau lakuchukua rasilimali isiyohamishika.

Dah [emoji22], hii dunia inanipita sana tangu kuzaliwa Kwangu nimekuwa mtu wakuchukua mataputapu tu mijimama isiyoweza hata kutembea, sijui nitumie njia gani namm nipate uterezi kama huu hapa chini maana Kuna watu wanaifaidi hii dunia jamani, sisi tupotupo tu.
[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]View attachment 2260986
njoo nkupe huyu
 
Ebu tuache kubuni vitu visivyokuwepo, ivi ni kweli kabisa huyu mdada mzuri kiasi hiki anaishi?. Basi kama ni kweli maisha anayopitia niyakero sana maana kila hatua mbili Gari zitagongana kila mtu akijitahidi kuweka dau lakuchukua rasilimali isiyohamishika.

Dah [emoji22], hii dunia inanipita sana tangu kuzaliwa Kwangu nimekuwa mtu wakuchukua mataputapu tu mijimama isiyoweza hata kutembea, sijui nitumie njia gani namm nipate uterezi kama huu hapa chini maana Kuna watu wanaifaidi hii dunia jamani, sisi tupotupo tu.
[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]View attachment 2260986
MATAKO siyo AKILI
FB_IMG_1655188668575.jpg
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Unafikiri wanakaa mwananyamala hawa
Ndio maana nasema bado hujawahi kuona wanawake wazuri.
Hebu check hawa warembo hapa, especially the first one. yaani damn! alafu linganisha na huyo wako unayehisi mrembo.
lyn.jpg
hotgirl3.png
 
Ndio maana nasema bado hujawahi kuona wanawake wazuri.
Hebu check hawa warembo hapa, especially the first one. yaani damn! alafu linganisha na huyo below average.
Sasa Hao kwanza maisha yao na yetu Kuna daraja kubwa sana linalotutenganisha, kama hicho kihalfcast cha kwanza ni maisha ya juu wanaishi sisi watoto wa manzese na buza ndotype zetu
 
Kigoma wilaya ya Buhigwe, wamejaa wa namna hiyo tena wenye vichuguu zaidi ya huyo unayemsifia na chuchu utakuta ni saa sita kasolo,
 
Back
Top Bottom