Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Ni Nyerere tu alikuwa anamchafua mwenzake. Tena pengine yeye ndiye alikuwa anakula nyama za watu. Maana alisema " Ukianza kula nyama za watu huachi." alijuaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhm ngoja nisubiri bomu la lucha hapaWwe lucha Ni mpumbavu na ni mjinga sna unamuita Bab wa taifa mnafiki mchonga meno wew Ni mpumabvu ni nitakudharau kuanzi leo Hadi mwisho shenzi sna Huna adabu umelelewa na wazazi wa hovyo sna na Huna heshima na utakuwa nayo duniani na mbinguni
HV ukiulizwa leo Bab wa taifa kafanya makosa yapi Hadi kuwa mnafiki utaongeaa nn
Nimekudharua sna
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Basi mkuu,msamehe tu.Wwe lucha Ni mpumbavu na ni mjinga sna unamuita Bab wa taifa mnafiki mchonga meno wew Ni mpumabvu ni nitakudharau kuanzi leo Hadi mwisho shenzi sna Huna adabu umelelewa na wazazi wa hovyo sna na Huna heshima na utakuwa nayo duniani na mbinguni
HV ukiulizwa leo Bab wa taifa kafanya makosa yapi Hadi kuwa mnafiki utaongeaa nn
Nimekudharua sna
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Itabidi tukupeleke Mirembe tukacheki km nati zako za kichwani zipo sawa.Ni Nyerere tu alikuwa anamchafua mwenzake. Tena pengine yeye ndiye alikuwa anakula nyama za watu. Maana alisema " Ukianza kula nyama za watu huachi." alijuaje?