Ni kweli Kabisa watoto wa ovyo wapo. Sirro Hajakosea

Ni kweli Kabisa watoto wa ovyo wapo. Sirro Hajakosea

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kumekucha!

Binadamu wanapenda kupewa maneno laini, hawapendi ukweli, wanapenda sifa hata wasizozistahili.

Yapo Matoto ya hovyo,
Wapo wazazi wa hovyo bila kujali ni wanani,
Hayo Matoto yakikua ndio yanaleta kizazi cha hovyo hovyo,
Unakuta kiongozi hovyo,
Mchungaji hovyo,
Sheikhe Hovyo,
Mwananchi Hovyo.

Sijaona makosa katika kauli ya IGP Siro, ameongea ukweli mchungu sana.

Hata hivyo ukweli huo unagusa kundi kubwa la watu wa Zama hizi sio tuu tabaka la chini Bali pia hata tabaka la juu.

Kuna watu wanajifanya wanamsema na kumzingua igp Kwa kauli yake ya kusema watu wasizae mitoto ya hovyo ati kakosea, hakuna makosa hapo kimaadili.

Hakuna mtoto anayezaliwa akiwa wa hovyo, watoto wote Mungu amewaumba wakiwa wema, kila kitu Mungu alikiumba kikiwa chema. Isipokuwa mazingira ndio humgeuza mtu kuwa vile alivyo.

Mtoto amezaliwa akiwa Hana anachojua, mtu anazaliwa akiwa hana anachomiliki zaidi ya roho na mwili wake aliokuja nao ukiwa uchi.

Wazazi na jamii ndio humfanya mtoto awe qa hovyo au mwema.

Mzazi WA hovyo huzaa Matoto ya hovyo.
Jamii ya hovyo huzalisha Matoto ya hovyo
Hovyo! Hovyo hovyo!

Nikionaga Matoto ya hovyo, iwe ni kiongozi au mtu wa kawaida huwaga moja Kwa moja akili yangu inarejea Kwa wazazi na walezi WA mtoto husika.

Kuna watu wanasema Kwa kujitetea ati wachungaji au masheikhe wapo waliozaa Matoto ya hovyo, ni kweli kwa sababu baadhi ya hao wachungaji hujifanya watakatifu mbele za jamii lakini ukienda kwenye nyumba zao unakuta mambo ya hovyo kabisa.

Siku zote mwana wa nyoka ni nyoka. Iwe karithi Kwa Mama au Kwa Baba, iwe mi uzembe wa kimalezi uliosababishwa na Mama au Baba

Hakuna kisingizio linapokuja suala la Uovu au Uhalifu. Sijui ati toto limesomea boarding ndio maana limeweza kuharibikia huko, mbona wengine tumesomea huko na hatujaharibika.

Wengine wanajitetea kuwa kuwa mtoto akilelewa na Bibi au akiwa mbali na Baba na Mama anakuwa wa hovyo, Jambo ambalo sio kweli, wangapi wanelelewa na Bibi na wameishi pasipo wazazi lakini ni watoto wema.

Uovu hauna kisingizio, Uhalifu haunaga kisingizio,

Bungeni yapo Matoto ya hovyo,
Shuleni, hospitalini, mashirika, viwandani huko kote yapo Matoto ya hovyo.
Ndio maana Matoto hayo hayaoni ajabu kudhulumu na kuonea wengine.

Matoto ya hovyo yanasifa ZIFUATAZO;
1. Mabinafsi
Toto la hovyo linajijali lenyewe na familia yake. Unakuta linalipwa mamilioni ya Fedha, posho kibao lakini bado haliridhiki, linaiba na kudhulumu wengine, linataka kuongezewa Mshahara ati ili iliendeshe magari mazuri wakati kuna watu wanakojoa pesa ya Kula. Hili litakuwa toto la hovyo Sana.

Toto la hovyo ni binafsi mno, halioni shida kudhulumu uhai WA wengine kisa mambo yake binafsi Kama vile Cheo, mamlaka, uchumi, au masuala ya Kidini.

Ubinafsi ni Dalili ya Kwanza ya toto la hovyo.

Kwa bahati mbaya. Ni kuwa jamii ya kiafrika Matoto mengi ni yahovyo.

2. Uhalifu na kutenda madhambi pasipo kujali.
3. Kupenda kujitetea na kuutetea Uovu.

Toto la hovyo kinaweza kuwa mtu yeyote iwe mi Mimi, wewe au Yule.
.
Hovyo!! Hovyo! Hovyo

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Morogoro
 
Kweli kabisa mazingira huchangia mtu kubadirika kutokana na mazingira aliyopo,mfano wewe ukizurumiwa harafu uchekecheke tunasema una matatizo ya akili.

Maana wote tunajua kuwa inabidi uchukie,au mfano wewe mtu akikupa zawadi ambayo hukuitegemea harafu ikaanza kumtukana aliyekupa na kumpiga tutasema una matatizo ya akili.

Maana wote tunajua ilibidi ufurahi na kushangilia ,kwa hiyo ni kweli kabisa hakuna aliyezaliwa wa hovyo Ila mazingira yanachangia,si unaona kuwa mtu hajinyongi mpaka akumbwe na tatizo Fulani,yote yanasababishwa na mazingira
 
Kama wewe ilivyo wa hivyo tuwalaumu wazazi wako?

Nafasi za jeshi la polisi zimefika sifa uwe umepitia mafunzo ya JKT,sijui wewe sifa hizi unazo hapo kwako MVOMERO.
 
Hakuna mzazi anayezaa mtoto wa hovyo. Kwa mfano viongozi wala rushwa hawakuzaliwa wala rushwa bali wamejifunza wenyewe rushwa baada ya kuwa watu wazima na hawakuwa chini ya uangalizi wa wazazi wao tena.


Hakuna mtoto aliyezaliwa wahovyo Ila wazazi, jamii na serikali ndio inazalisha watoto kuwa hovyo
 
mto mada naona unakasoro kidogo!

hakuna mzazi anaye taka mtoto wa hovyo bali kila anayezaliwa hapa duniani ni mwema ila hata badilika kulingana na dunia inavomtuma
 
Kama wewe ilivyo wa hivyo tuwalaumu wazazi wako?

Nafasi za jeshi la polisi zimefika sifa uwe umepitia mafunzo ya JKT,sijui wewe sifa hizi unazo hapo kwako MVOMERO.

Nikiwa wa hovyo ujue mzazi anasehemu yake katika uhovyo wangu Hilo halikwepeki
 
mto mada naona unakasoro kidogo!

hakuna mzazi anaye taka mtoto wa hovyo bali kila anayezaliwa hapa duniani ni mwema ila hata badilika kulingana na dunia inavomtuma


"Mlee mtoto katika njia impasayo naye hataiacha mpaka atakapokuwa Mzee"

Hivyo ndivyo ilivyo.

Hayo mengine ni utetezi wa wazembe na watu wanaopenda kujitetea.

Ukiona Mtoto kaharibika ujue kuna uzembe wa mtu Fulani hapo. Hiyo IPO hivyo daima
 
Wakati akitutaka tusizae watoto wa hovyo, nasi tunamtaka Amiri Jeshi mkuu asituteulie IGP wa hovyo...

Kuzaa mtoto wa hovyo sio kosa la mzazi, ila kuteua IGP wa hovyo ni kosa la mteuzi...


IGP pia ni mtoto wa mtu Mkuu
 
Kumekucha!

Binadamu wanapenda kupewa maneno laini, hawapendi ukweli, wanapenda sifa hata wasizozistahili.

Yapo Matoto ya hovyo,
Wapo wazazi wa hovyo bila kujali ni wanani,
Hayo Matoto yakikua ndio yanaleta kizazi cha hovyo hovyo,
Unakuta kiongozi hovyo,
Mchungaji hovyo,
Sheikhe Hovyo,
Mwananchi Hovyo.

Sijaona makosa katika kauli ya IGP Siro, ameongea ukweli mchungu sana.

Hata hivyo ukweli huo unagusa kundi kubwa la watu wa Zama hizi sio tuu tabaka la chini Bali pia hata tabaka la juu.

Kuna watu wanajifanya wanamsema na kumzingua igp Kwa kauli yake ya kusema watu wasizae mitoto ya hovyo ati kakosea, hakuna makosa hapo kimaadili.

Hakuna mtoto anayezaliwa akiwa wa hovyo, watoto wote Mungu amewaumba wakiwa wema, kila kitu Mungu alikiumba kikiwa chema. Isipokuwa mazingira ndio humgeuza mtu kuwa vile alivyo.

Mtoto amezaliwa akiwa Hana anachojua, mtu anazaliwa akiwa hana anachomiliki zaidi ya roho na mwili wake aliokuja nao ukiwa uchi.

Wazazi na jamii ndio humfanya mtoto awe qa hovyo au mwema.

Mzazi WA hovyo huzaa Matoto ya hovyo.
Jamii ya hovyo huzalisha Matoto ya hovyo
Hovyo! Hovyo hovyo!

Nikionaga Matoto ya hovyo, iwe ni kiongozi au mtu wa kawaida huwaga moja Kwa moja akili yangu inarejea Kwa wazazi na walezi WA mtoto husika.

Kuna watu wanasema Kwa kujitetea ati wachungaji au masheikhe wapo waliozaa Matoto ya hovyo, ni kweli kwa sababu baadhi ya hao wachungaji hujifanya watakatifu mbele za jamii lakini ukienda kwenye nyumba zao unakuta mambo ya hovyo kabisa.

Siku zote mwana wa nyoka ni nyoka. Iwe karithi Kwa Mama au Kwa Baba, iwe mi uzembe wa kimalezi uliosababishwa na Mama au Baba

Hakuna kisingizio linapokuja suala la Uovu au Uhalifu. Sijui ati toto limesomea boarding ndio maana limeweza kuharibikia huko, mbona wengine tumesomea huko na hatujaharibika.

Wengine wanajitetea kuwa kuwa mtoto akilelewa na Bibi au akiwa mbali na Baba na Mama anakuwa wa hovyo, Jambo ambalo sio kweli, wangapi wanelelewa na Bibi na wameishi pasipo wazazi lakini ni watoto wema.

Uovu hauna kisingizio, Uhalifu haunaga kisingizio,

Bungeni yapo Matoto ya hovyo,
Shuleni, hospitalini, mashirika, viwandani huko kote yapo Matoto ya hovyo.
Ndio maana Matoto hayo hayaoni ajabu kudhulumu na kuonea wengine.

Matoto ya hovyo yanasifa ZIFUATAZO;
1. Mabinafsi
Toto la hovyo linajijali lenyewe na familia yake. Unakuta linalipwa mamilioni ya Fedha, posho kibao lakini bado haliridhiki, linaiba na kudhulumu wengine, linataka kuongezewa Mshahara ati ili iliendeshe magari mazuri wakati kuna watu wanakojoa pesa ya Kula. Hili litakuwa toto la hovyo Sana.

Toto la hovyo ni binafsi mno, halioni shida kudhulumu uhai WA wengine kisa mambo yake binafsi Kama vile Cheo, mamlaka, uchumi, au masuala ya Kidini.

Ubinafsi ni Dalili ya Kwanza ya toto la hovyo.

Kwa bahati mbaya. Ni kuwa jamii ya kiafrika Matoto mengi ni yahovyo.

2. Uhalifu na kutenda madhambi pasipo kujali.
3. Kupenda kujitetea na kuutetea Uovu.

Toto la hovyo kinaweza kuwa mtu yeyote iwe mi Mimi, wewe au Yule.
.
Hovyo!! Hovyo! Hovyo

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Morogoro
Kauli yake ilikuwa sahihi Sana kuitoa hata kipindi kilee cha panya road wazazi wao waache kuzazaa matoto ya hovyo.
 
Kauli yake ilikuwa sahihi Sana kuitoa hata kipindi kilee cha panya road wazazi wao waache kuzazaa matoto ya hovyo.


Hiyo kauli mi ngumu na nzuri Sana sema kuimeza Kwa watu wapenda vitu laini na sifa wasizozistahili huiona mbaya
 
Unaweza ukawa unalaumu wenzako Kuza watoto wa hovyo,Kumbe nawewe kwa wazazi wako ni Toto la hovyo na bahatimbaya umezaa Toto la hovyo pia.
Na wajukuu zako wanazaliwa wa hovyo
 
na kwa sasa toto la ovyo kabisa linatokana na zao la CHADEMA, chama kinacho hamasisha toto la ovyo kuwa nunda.
Ukiwa na Baba tukutu lazima toto liwe NUNDA.
 
Upo sahihi kabisa.

Mtu wa hovyo sifa yake namba moja ni kuwa mabinafsi.

Ukishajiona unaubinafsi Kwa kiwango cha juu basi jua wewe ni mtu wa Hovyo
Kwahiyo anapoteuliwa wa hovyo kulalamika wapi? Au tumwache aendelee kufanya mambo ya hovyo kwakuwa yeye ni hovyo?

Je mtu wa hovyo anaweza kumjua mhovyo mwenzie na kumnanga?
 
Back
Top Bottom