Ni kweli Kabisa watoto wa ovyo wapo. Sirro Hajakosea

Kuzaa mtoto wa hovyo au kulea mtoto hovyo?
 
Sirro anahitaji kusaidiwa kazi kwa kutenguliwa akacheze na wajukuu na kulisha bata.
 
Na moja ya hayo matoto ya ovyo ni litoto lake
 
"Mlee mtoto katika njia impasayo naye hataiacha mpaka atakapokuwa Mzee"

Hivyo ndivyo ilivyo.

Hayo mengine ni utetezi wa wazembe na watu wanaopenda kujitetea.

Ukiona Mtoto kaharibika ujue kuna uzembe wa mtu Fulani hapo. Hiyo IPO hivyo daima
Unazungumzia kuzaa au kulea? Hizi ni vitu mbili tofauti. IGP kasema tusizae Watoto wa hovyo, nikitaka nisizae mtoto wa hovyo inatakiwa mimba iingiieje?
 
na kwa sasa toto la ovyo kabisa linatokana na zao la CHADEMA, chama kinacho hamasisha toto la ovyo kuwa nunda.
Ukiwa na Baba tukutu lazima toto liwe NUNDA.
 
na kwa sasa toto la ovyo kabisa linatokana na zao la CHADEMA, chama kinacho hamasisha toto la ovyo kuwa nunda.
Ukiwa na Baba tukutu lazima toto liwe NUNDA.
Kama kada wa CCM shujaa Hamza...
 
Umetega neno na kulenga palepale
Kuwa watoto wabaya wanatokana na jamii na serikali
Hawa ndio wanawalea sio wazazi
Wengine wako Jela wakisubiri hukumu kwa unyang’anyi na bunduki

Sio wazazi wa kuwalaumu bali ni serikali na jamii
Watoto wa tumbo moja wanazaliwa kila mmoja anakuwa na tabia zake

Huyu mzee kakosea kwa kauli zake za hasira kwani unaambiwa chunga kauli zako ukiwa umekasirika au nyamaza kabisa ni bora zaidi
 
Wewe mwenyewe kwenye ukoo wenu kuna watu wanakuona toto la hovyo tu halina msaada wowote
 
Mkuu ni kweli watoto wa hovyo wapo lakin huyu IGP ni mtu wa kuropoka Sana. hana hekima.

Siku zote hekima inamuongoza mtu, ajue ni nini ataongea, ni kwa Nan ataongea, ni kwa wakati gan ataongea. Na pia hekima umuongoza mtu kupima Kama Kuna madhara ya kile atakacho ongea.

Sasa huyu mwenzetu, umemsikiliza vizur lakin? Yaan anawashambilia wazaz na ndugu zake direct!! Mbona magereza zina wafungwa waliouwa? Mbona Kuna kesi nyingi za Askari wake kupiga risas askar wenzao? Hakutakiwa kuwalenga moja kwa moja.
 
Tuseme tu wazazi wajitahidi kulea watoto wao kwa kuwapa maadili mazuri katika mazingira rafiki. Hakuna anaezaa mtoto ovyo.
 
kumbe hujui, mfadhili wa Magaidi namba 1 nchini alisha mnunua ili kutekeleza uhalifu.
Kwanini amnunue kada wa CCM wakati ana mamilioni ya vijana Bavicha? Kuna hazina ya trained magaidi UVCCM, right?
 
Kwanini amnunue kada wa CCM wakati ana mamilioni ya vijana Bavicha? Kuna hazina ya trained magaidi UVCCM, right?
kwa nini sasa aliwanunua kina
;
1. HALFANI BWIRE HASSANI
2. ADAM HASSAN KASEKWA.
3. MOHAMED ABDILLAHI LINGWENYA.
au alikuwa anataka uzoefu wao? au ?
 
Hakuna mzazi anayezaa mtoto wa hovyo. Kwa mfano viongozi wala rushwa hawakuzaliwa wala rushwa bali wamejifunza wenyewe rushwa baada ya kuwa watu wazima na hawakuwa chini ya uangalizi wa wazazi wao tena.
Sirro anayemtoto mvuta bangi, ni wa hovyo huwa anapiga hadi wateja kwenye baa ya babake Chanika
 
kwa nini sasa aliwanunua kina
;
1. HALFANI BWIRE HASSANI
2. ADAM HASSAN KASEKWA.
3. MOHAMED ABDILLAHI LINGWENYA.
au alikuwa anataka uzoefu wao? au ?
Hawa waliwaua polisisiem wangapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…