Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,849
- 3,506
Hapa siongelei financially.
Naongelea katika upande usionekane katika macho ya nyama.
Namaanisha energy, namaanisha kiroho.
Nimesikia hapa na pale katika mada tofauti kuhusu jambo hili huku ikisemwa kuwa kuna uwezekano mkubwa wa wewe kuathirika kiroho or ki-energy pale unafanya sex na mwanamke /mwanaume ambae anakumbwa na msongo wa bad energies fulani.
Yani mna share nae energies zenu kupelekea kama unae lala nae akiwa muathirika wa mikosi/gundu sana inakufanya iweze ku-affect the whole experience ya nishati yako.
So unakuta hata maendeleo yako ya uchumi, mahusiano au aura yako vinashuka sana.
Tusaidieane wajuvi wa mambo.
Naongelea katika upande usionekane katika macho ya nyama.
Namaanisha energy, namaanisha kiroho.
Nimesikia hapa na pale katika mada tofauti kuhusu jambo hili huku ikisemwa kuwa kuna uwezekano mkubwa wa wewe kuathirika kiroho or ki-energy pale unafanya sex na mwanamke /mwanaume ambae anakumbwa na msongo wa bad energies fulani.
Yani mna share nae energies zenu kupelekea kama unae lala nae akiwa muathirika wa mikosi/gundu sana inakufanya iweze ku-affect the whole experience ya nishati yako.
So unakuta hata maendeleo yako ya uchumi, mahusiano au aura yako vinashuka sana.
Tusaidieane wajuvi wa mambo.