APEFACE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 5,316
- 9,596
Ongeza minofu kwa faida ya membersJaribu kuwa unasoma Aura zao once you meet with them.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongeza minofu kwa faida ya membersJaribu kuwa unasoma Aura zao once you meet with them.
Aura ndo nnKabisa aura ndio Kila kitu kwakweli hata mwanamke kusoma aura yake binafs itamsaidia kujua namna ya Kuishi Kwa usafi na kudumisha tabia njema
Nmekupata,.Nimecopy somewhere sababu nimeona uvivu kuandika.
Kufanya ngono kiholela kunaweza kuathiri maendeleo binafsi kwa njia zifuatazo:
• Kupoteza muda muhimu: Kushiriki ngono kiholela mara kwa mara kunaweza kutumia muda ambao ungeweza kutumika kujifunza, kufanya kazi, au kukuza ujuzi wa kibinafsi unaosaidia maendeleo ya muda mrefu.
• Kupungua kwa umakini: Tabia za ngono kiholela zinaweza kuvuruga uwezo wa mtu kuzingatia malengo yake muhimu, kwa sababu ya kujihusisha kupita kiasi na tamaa au masuala ya kihisia yanayohusiana na tabia hizo.
• Kushuka kwa kiwango cha nidhamu: Ngono kiholela inaweza kusababisha mtu kupoteza nidhamu ya kujidhibiti, jambo ambalo linaweza kuathiri maeneo mengine ya maisha kama vile maamuzi ya kifedha, muda wa kazi, au kufuata ratiba binafsi.
• Athari kwa afya ya mwili na akili: Magonjwa ya zinaa au matatizo ya kihisia yanayotokana na ngono kiholela yanaweza kupunguza nishati na motisha ya mtu kufanikisha maendeleo binafsi.
• Kupoteza malengo ya maisha: Kutanguliza mahusiano ya muda mfupi ya kingono badala ya malengo ya maisha kama masomo, kazi, au biashara kunaweza kuathiri ustawi wa muda mrefu wa mtu binafsi.
• Kukosa utulivu wa kihisia: Kujihusisha na ngono kiholela kunaweza kupelekea hisia za hatia, huzuni, au kutokuwa na utulivu, jambo ambalo linaathiri uwezo wa mtu kujiendeleza au kufanikisha ndoto zake.
• Kupoteza fursa za maendeleo: Wakati mwingine, ngono kiholela inaweza kuharibu mahusiano ya kikazi au kielimu kwa sababu ya kuchanganya masuala ya kihisia na fursa zinazopaswa kuleta ukuaji wa kitaaluma au kibinafsi.
Ni muhimu kuzingatia maamuzi ya kingono yenye tija na yanayozingatia mipango ya muda mrefu ili kuimarisha maendeleo binafsi.
Hapa siongelei financially.
Naongelea katika upande usionekane katika macho ya nyama.
Namaanisha energy, namaanisha kiroho.
Nimesikia hapa na pale katika mada tofauti kuhusu jambo hili huku ikisemwa kuwa kuna uwezekano mkubwa wa wewe kuathirika kiroho or ki-energy pale unafanya sex na mwanamke /mwanaume ambae anakumbwa na msongo wa bad energies fulani.
Yani mna share nae energies zenu kupelekea kama unae lala nae akiwa muathirika wa mikosi/gundu sana inakufanya iweze ku-affect the whole experience ya nishati yako.
So unakuta hata maendeleo yako ya uchumi, mahusiano au aura yako vinashuka sana.
Tusaidieane wajuvi wa mambo.
Mhh mdogo akee hapa umeniacha dada ako...nidadavulie hyo Aura inafanyaje kaziKabisa aura ndio Kila kitu kwakweli hata mwanamke kusoma aura yake binafs itamsaidia kujua namna ya Kuishi Kwa usafi na kudumisha tabia njema
Halafu unamlushia mapepo sioNi kweli mkuu,lkn neno mikosi liondoe hapo, maana liko kushirikina zaidi,,
Ni hivi kwa muislamu (sijui we uko dini gani na utaratibu wenu ukoje ukitaka kuoa), katika uislamu kachagua mchumba kuna mambo yakuangalia,kwanza mtarajiwa anatoka familia ipi ikoje kitabia,maradhi nk,pili wakoje kiimani?,,kama wametimiza vigezo utakavyo,unashauriwa kwenda zaidi kwenye imani (dini),,ivyo ukiangalia kusudi la haya yote nikuondokana na hayo ulosema hapo baadhi na mengine kuyapata kwakuwa yanamanufaa kwako na kwake,hivyo ni mhimu sana kuzingatiwa huo utaratibu.
Zinaa hapo haifai kujadiliwa,maana hata imani zote zinaikataa zinaa first of all,,haina haja yakujiuliza ati nikizini na mke fulani nitapata riziki,?,jua asilimia mia uwezi kupata hiyo riziki nk nk, naomba niishie hapo.
Infact ukibahatika kuwa na mtu ambaye anamtizamo wa uadilifu na Ukuaji then Sex itakua jambo zuri tu kwenu 😜Nmekupata,.
Muhimu kuzingatia Celibacy mambo mengine yatajipanga yenyewe💯
Inahusiana na nishati za kiroho na hisiaMhh mdogo akee hapa umeniacha dada ako...nidadavulie hyo Aura inafanyaje kazi
Imani inayotembea kwenye uhalisiaHapa siongelei financially.
Naongelea katika upande usionekane katika macho ya nyama.
Namaanisha energy, namaanisha kiroho.
Nimesikia hapa na pale katika mada tofauti kuhusu jambo hili huku ikisemwa kuwa kuna uwezekano mkubwa wa wewe kuathirika kiroho or ki-energy pale unafanya sex na mwanamke /mwanaume ambae anakumbwa na msongo wa bad energies fulani.
Yani mna share nae energies zenu kupelekea kama unae lala nae akiwa muathirika wa mikosi/gundu sana inakufanya iweze ku-affect the whole experience ya nishati yako.
So unakuta hata maendeleo yako ya uchumi, mahusiano au aura yako vinashuka sana.
Tusaidieane wajuvi wa mambo.
Point,yaan kama huna ni huna tuGundu, mikosi is not sexually transmitted.
Ifike sehemu muone aibu kuamini amini vitu vya kijinga.
Hakika💯Infact ukibahatika kuwa na mtu ambaye anamtizamo wa uadilifu na Ukuaji then Sex itakua jambo zuri tu kwenu 😜
Nje ya hapo Abstinence is better 👍🏾
Aura ni energy ya kirohoMhh mdogo akee hapa umeniacha dada ako...nidadavulie hyo Aura inafanyaje kazi
Nadharia za waafrica tuu hizo.Hapa siongelei financially.
Naongelea katika upande usionekane katika macho ya nyama.
Namaanisha energy, namaanisha kiroho.
Nimesikia hapa na pale katika mada tofauti kuhusu jambo hili huku ikisemwa kuwa kuna uwezekano mkubwa wa wewe kuathirika kiroho or ki-energy pale unafanya sex na mwanamke /mwanaume ambae anakumbwa na msongo wa bad energies fulani.
Yani mna share nae energies zenu kupelekea kama unae lala nae akiwa muathirika wa mikosi/gundu sana inakufanya iweze ku-affect the whole experience ya nishati yako.
So unakuta hata maendeleo yako ya uchumi, mahusiano au aura yako vinashuka sana.
Tusaidieane wajuvi wa mambo.