MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Hakuna kitu kama hicho. Kama hao unaofanya nao wanakuchuna pesa ndo tatizo. Ila kutiana haiathiri chochote kwenye ishu za pesa na mafanikio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LOL 😂😂😂😂Sure ukutane na wale wanaong'ata sasa..wanakuachia ngeu na virusi juu..aaaghhhhh
Thubutuuuu!!!Hakuna kitu kama hicho. Kama hao unaofanya nao wanakuchuna pesa ndo tatizo. Ila kutiana haiathiri chochote kwenye ishu za pesa na mafanikio.
Hio Aura utaisomaje kujua mwanamke yupo juu au chini?Yes IPO hivi
Sex au ngono IPO kiroho zaidi kuliko hata kimwili.
Kwa upande wa mwanaume inaweza kuleta madhara hasi au madhara chanya na kwa mwanamke vile vile.
Wapo baadhi ya wanawake wana nishati (Energy) zipo juu hao ukilala nao Kama ulikuwa chini waweza kuinuka
Pia na wapo wanawake ambao nishati zao zipo chini ukilala nao unaweza kushuka chini zaidi.
Je utamjuaje ambaye ana negative energy na mwenye positive energy .
Jaribu kuwa unasoma Aura zao once you meet with them.
Na kitaalamu sex au ngono ukiachana na madhara ya kiroho unashauriwa usiendekeze Sana .
Maana ukifanya Sana Ngono kujichua jaribu hata kujitazama katika kioo utaona jinsi unavyopoteza Nuru .
Kabisa aura ndio Kila kitu kwakweli hata mwanamke kusoma aura yake binafs itamsaidia kujua namna ya Kuishi Kwa usafi na kudumisha tabia njemaYes IPO hivi
Sex au ngono IPO kiroho zaidi kuliko hata kimwili.
Kwa upande wa mwanaume inaweza kuleta madhara hasi au madhara chanya na kwa mwanamke vile vile.
Wapo baadhi ya wanawake wana nishati (Energy) zipo juu hao ukilala nao Kama ulikuwa chini waweza kuinuka
Pia na wapo wanawake ambao nishati zao zipo chini ukilala nao unaweza kushuka chini zaidi.
Je utamjuaje ambaye ana negative energy na mwenye positive energy .
Jaribu kuwa unasoma Aura zao once you meet with them.
Na kitaalamu sex au ngono ukiachana na madhara ya kiroho unashauriwa usiendekeze Sana .
Maana ukifanya Sana Ngono kujichua jaribu hata kujitazama katika kioo utaona jinsi unavyopoteza Nuru .
Wanasema hiyo ni kiroho zaidi tendo linahusisha mwili matokeo yanaonekana mpaka kiroho😀🙄Gundu, mikosi is not sexually transmitted.
Ifike sehemu muone aibu kuamini amini vitu vya kijinga.
Madini adimu haya, anyway mjumbe hauwawi.Kuna wale viumbe wanapenda kula ile energy ya kujichua, ni kama arosto ya bangi kwa teja. Au madawa ya kulevya sort of thing.
Unavyopiga nyeto unawalisha chakula vilivyo, wanashiba na kusaza huku wewe unabaki mtupu kama kopo, ndio maana unaona nuru yako inapotea maana imeliwa.
Hata ukitaka kuacha wanaingia kwenye akili yako kukuchagiza na kukushawishi ili waendelee kula.
Hata Ngono pia wanapenda kula nishati yake, it is a great source of food yaani tunawastawisha kweli kweli....
malizia sasaInaweza kuwa kweli NAmi nasikia
Lakin kwenye mazingira ya kawaida ukiachia mbali ngono Kuna mtu aliwahi kuniambia kitu Cha kunishangaza
Umemaliza mkuu✅💯Lucky is attracted.
Hakuna mtu anazaliwa na hayo mamikosi na magundu halafu akawa anaambukiza wengine kwa njia ya ngono.
Lucky is when oportunity meets preparation.
Hakuna mkosi unakuja tu bila kutengenezwa.
Hata watoto wenye bahati mbaya ya kuzaliwa na magonjwa au kuzaliwa kwny familia masikini ni wazazi wao wameyatafuta hayo magonjwa na umasikini.
Ngumu kuelezea mtu aelewe vizuri, acha nifanye mambo mengine.
Ndiyo.Ibn Unuq katika kusoma umekutana na kitu kama icho
Izo athari ni zipi ? Ongeza nyama kidogoNdiyo.
Falsafa nyingi nilizozisoma kama Stoicism [Ambayo ninaiishi] na hata maandiko ya kihistoria niliyobahatika kuyapitia Yamegusia athari za tamaa zisizodhibitiwa kimwili, kiakili au kihisia na jinsi zinavyoweza kuleta athari katika nyanja zote kiuchumi, kijamii na Kifamilia.
Kusimamia tamaa ni sehemu ya kuwa na maisha yenye malengo.
Ngono ni mbaya sana natamani niache lakini nashindwa. MIHOGO NI MITAMU MNO 😋😋😋
Hatari ya ngono ni zaidi ya kuvaa mabomu ya kujitoa muhanga, utajizolea matakataka ya aina zote. Ni COCKTAIL ya mauchafu, yaani gundu, mikosi, laana, giza, mashetani nk.
Mnapokutana mnabadilishana nguvu za kiroho, kila mmoja anabeba vya mwenzake, hata mashetani yanahama kutoka pande zote.
Tena wale wenye MIHEMKO MIKALI ndio wabaya sana maana wanahamisha uchafu kisawasawa, unakuta majitu yanabomoana kama MAJEHU, wanatifuana haswaaaa, matokeo yake ni GUNDU PRO-MAX.
THE MORE THE MTIFUANO, THE MORE THE DIRT IS TRANSFERRED BETWEEN YOUR AURIC FIELDS.
Bora uwe na mtu mmoja au uache kabisa kutombana maana hata huyo mmoja kuna wakati anakuwa na mauchafu pia.
Cc: Lamomy Labella realMamy Kalpana Extrovert Bolotoba Intelligent businessman secretarybird mshamba_hachekwi Kijana masikini Dogoli kinyamkela Poor Brain Mbaga Jr Tlaatlaah
🤣🤣🤣🤣🤣Una hoja usikilizwe Ila laiti kMa Nyerere angejua miaka baadae 63 na mwez mmoja watu wangekuwa wanabomoana vnyeo asngepambania uhuru 🥶
Ili kujuwa ukweli inabidi aulizwe Giggy Money na wasanii uchwara wenzake wa Bongo Movie, watujuze.Hapa siongelei financially.
Naongelea katika upande usionekane katika macho ya nyama.
Namaanisha energy, namaanisha kiroho.
Nimesikia hapa na pale katika mada tofauti kuhusu jambo hili huku ikisemwa kuwa kuna uwezekano mkubwa wa wewe kuathirika kiroho or ki-energy pale unafanya sex na mwanamke /mwanaume ambae anakumbwa na msongo wa bad energies fulani.
Yani mna share nae energies zenu kupelekea kama unae lala nae akiwa muathirika wa mikosi/gundu sana inakufanya iweze ku-affect the whole experience ya nishati yako.
So unakuta hata maendeleo yako ya uchumi, mahusiano au aura yako vinashuka sana.
Tusaidieane wajuvi wa mambo.
Sasa kwanini masheikh wanapenda kufila na kufuga wasenge?Ni kweli mkuu,lkn neno mikosi liondoe hapo, maana liko kushirikina zaidi,,
Ni hivi kwa muislamu (sijui we uko dini gani na utaratibu wenu ukoje ukitaka kuoa), katika uislamu kachagua mchumba kuna mambo yakuangalia,kwanza mtarajiwa anatoka familia ipi ikoje kitabia,maradhi nk,pili wakoje kiimani?,,kama wametimiza vigezo utakavyo,unashauriwa kwenda zaidi kwenye imani (dini),,ivyo ukiangalia kusudi la haya yote nikuondokana na hayo ulosema hapo baadhi na mengine kuyapata kwakuwa yanamanufaa kwako na kwake,hivyo ni mhimu sana kuzingatiwa huo utaratibu.
Zinaa hapo haifai kujadiliwa,maana hata imani zote zinaikataa zinaa first of all,,haina haja yakujiuliza ati nikizini na mke fulani nitapata riziki,?,jua asilimia mia uwezi kupata hiyo riziki nk nk, naomba niishie hapo.
Nimecopy somewhere sababu nimeona uvivu kuandika.Izo athari ni zipi ? Ongeza nyama kidogo