Senior masai
Member
- Jul 7, 2016
- 88
- 89
Kafunga kwa sababu zipi?Here comes,,
Waungwana kuna hili swala la kufanya biashara iende smoothie,, kuna rafki yangu kanishauri swala la kwenda kwa baadhi ya mashekhe ili tukapatiwe dawa kwa ajili ya biashara iende vema,,
Ujinga mtupuHere comes,,
Waungwana kuna hili swala la kufanya biashara iende smoothie,, kuna rafki yangu kanishauri swala la kwenda kwa baadhi ya mashekhe ili tukapatiwe dawa kwa ajili ya biashara iende vema,,
Sikufanikiwa kukubali ila yeye alienda na akaanza biashara yenyewe ikaenda vizuri miezi miwili lakini kwa sasa kafunga ofisi,, sasa kwa wataalam wa mambo mwenye kunieleza kitu chochote kuhusu hili swala niongeze upeo
Ov course ni ujinga but for real kuna watu ndo maisha yaoUjinga mtupu
Kafunga kwa sababu yamemshinda,, anapata tu hasara yaniKafunga kwa sababu zipi?
Dawa kwenye biashara, kazi (vyeo hasa serikalini) zipo ila inabki swala la imani.Here comes,,
Waungwana kuna hili swala la kufanya biashara iende smoothie,, kuna rafki yangu kanishauri swala la kwenda kwa baadhi ya mashekhe ili tukapatiwe dawa kwa ajili ya biashara iende vema.
Sikufanikiwa kukubali ila yeye alienda na akaanza biashara yenyewe ikaenda vizuri miezi miwili lakini kwa sasa kafunga ofisi,, sasa kwa wataalam wa mambo mwenye kunieleza kitu chochote kuhusu hili swala niongeze upeo.
Cjakupata , unamshauri auUnauza bidhaa mchanganyiko, eneo lako la biashara sio mbali sana na taasisi kama shule, kanisa au msikiti au kampuni.
Umekuwa unajiuliza sana kuhusu watu wanaopata mali haraka kiasi kinachokuwazisha kuwa mbona unapambana lakini haupati kama wao, mpaka unahisi kuna namna ya ziada isiyo ya kawaida.
Kuna watu wanahisi unapata nyingi wakati wewe unaona unapata kidogo.
**********************************
Ushauri simple: je una database ya wateja wako ikiwa na taarifa kama namba ya simu, mara ngapi anarudi kununua bidhaa?
Una takwimu ya siku, wiki, miezi ambayo unakuwa na mapato kidogo au mengi?
Unafanya mawasiliano na wateja wanaonunua zaidi na kwa namna ambayo hawatahisi unawashinikiza kununua?
Unajaribu na kujifunza njia tofauti za kutafuta wateja?
Kamwe usiingie huko .. Utajiingiza kwenye shida ambazo hutaweza kuzimaliza... Sana sana ukiweza tumia chimvi kwenye biashara yako..hiyo ni remedy bora na haina maaganoHere comes,,
Waungwana kuna hili swala la kufanya biashara iende smoothie,, kuna rafki yangu kanishauri swala la kwenda kwa baadhi ya mashekhe ili tukapatiwe dawa kwa ajili ya biashara iende vema.
Sikufanikiwa kukubali ila yeye alienda na akaanza biashara yenyewe ikaenda vizuri miezi miwili lakini kwa sasa kafunga ofisi,, sasa kwa wataalam wa mambo mwenye kunieleza kitu chochote kuhusu hili swala niongeze upeo.
Kaka kama hutojali tupe mwongozo namna yakutumia chumvi kwenye biashara zetu mkuu ... natanguliza shukurani 🙏🤝Kamwe usiingie huko .. Utajiingiza kwenye shida ambazo hutaweza kuzimaliza... Sana sana ukiweza tumia chimvi kwenye biashara yako..hiyo ni remedy bora na haina maagano
Mwaga mlangoni kila ufunguapo biashara yako nyingine tupia ama nyunyia nje na ndani kuzunguka eneo la biasharaKaka kama hutojali tupe mwongozo namna yakutumia chumvi kwenye biashara zetu mkuu ... natanguliza shukurani [emoji120][emoji1666]
Je? Ukiitumia kuwa unaweza kwenye maji ya kupigia deki dukani inafaa?Mwaga mlangoni kila ufunguapo biashara yako nyingine tupia ama nyunyia nje na ndani kuzunguka eneo la biashara
Hapana piga deki ukimaliza nyunyizaJe? Ukiitumia kuwa unaweza kwenye maji ya kupigia deki dukani inafaa?
Siku zote shetani hakupi kitu bure lazima utalipia hata kwa kuchelewa,,mungu ndo anaweza kukupa utajiri wa kudumu tuu.Dawa kwenye biashara, kazi (vyeo hasa serikalini) zipo ila inabki swala la imani.
Mm nina rafiki zang mwaka jana wameenda malawi (nyanda za juu kusini wanaita KUJILIPUA) sasa hv wanabishara kubwa vibaya mno ila kuna deni la kulipa kwenye kila kitu unachokifanya ukiteleza kidogo tu unapotea mazima.
Dawa zipo zinafanya kazi na MUNGU yupo na anafanya kazi so kazi ni kwako ukae upande gani, ila chagua upande mmoja ukikaa katikati kuna balaaa ndugu.
Good customer care na Branding ndo dawa tosha.Here comes,,
Waungwana kuna hili swala la kufanya biashara iende smoothie,, kuna rafki yangu kanishauri swala la kwenda kwa baadhi ya mashekhe ili tukapatiwe dawa kwa ajili ya biashara iende vema.
Sikufanikiwa kukubali ila yeye alienda na akaanza biashara yenyewe ikaenda vizuri miezi miwili lakini kwa sasa kafunga ofisi,, sasa kwa wataalam wa mambo mwenye kunieleza kitu chochote kuhusu hili swala niongeze upeo.
Thanks buddieGood customer care na Branding ndo dawa tosha.