Senior masai
Member
- Jul 7, 2016
- 88
- 89
Here comes,
Waungwana kuna hili swala la kufanya biashara iende smoothie,, kuna rafki yangu kanishauri swala la kwenda kwa baadhi ya mashekhe ili tukapatiwe dawa kwa ajili ya biashara iende vema.
Sikufanikiwa kukubali ila yeye alienda na akaanza biashara yenyewe ikaenda vizuri miezi miwili lakini kwa sasa kafunga ofisi,, sasa kwa wataalam wa mambo mwenye kunieleza kitu chochote kuhusu hili swala niongeze upeo.
Waungwana kuna hili swala la kufanya biashara iende smoothie,, kuna rafki yangu kanishauri swala la kwenda kwa baadhi ya mashekhe ili tukapatiwe dawa kwa ajili ya biashara iende vema.
Sikufanikiwa kukubali ila yeye alienda na akaanza biashara yenyewe ikaenda vizuri miezi miwili lakini kwa sasa kafunga ofisi,, sasa kwa wataalam wa mambo mwenye kunieleza kitu chochote kuhusu hili swala niongeze upeo.