Uendelee mpaka Makambako, Mbeya, Chunya (makongolosi) alaf umalizie na TundumaThread nzuri sanaaa.
Imani za kishirikina zipo.
Tembelea Mafinga uone vijana wadogo wafanyabiashara wanamiliki pesa kuliko umri wao ila NI WALOZI BALAA.
Mshana Jr ataongezea.
#YNWA
Ni chumvi ipi ya mawe au ya unga? Pia unamwaga kila siku au kila baada ya mda gani tujuze mkuuMwaga mlangoni kila ufunguapo biashara yako nyingine tupia ama nyunyia nje na ndani kuzunguka eneo la biashara
Pablo escobar chose to be a maniac and helped his village,, a difference between what you want and what u likeChagueni hivi leo ni nani mtakae mtumikia?
Fanya utafiti wa kutosha kuhusu biashara yako, usiwe mwepesi kukata tamaa, Mwombe muumba wako, utafanikiwa
Part ya juu nilikuwa namwonyesha mambo ya kuotea tu, ambayo hayana mantiki.unamshauri au
[emoji23][emoji23] Jibu unalo ila unahitaji uhakika. Biashara ni akili na sio ushirikina. Kama akili haipo huwezi kutoboa kwenye biashara.Kafunga kwa sababu yamemshinda,, anapata tu hasara yani
Wahi kituo chochote kilicho karibu yako chenye pepsi big nakuja kulipia nikiokota hela,, salute Armani William[emoji23][emoji23] Jibu unalo ila unahitaji uhakika. Biashara ni akili na sio ushirikina. Kama akili haipo huwezi kutoboa kwenye biashara.