SOCIETY'S FOCUS
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 498
- 685
Mimi hapa nikirudi nyumbani saa 12 jioni... Anabweka eti hooo mbona umerudi nyumbani usiku hivi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂 We mbona una gubu ebu tulia nihudumie watu wenye shidaWaganga wanaotumia kingamuzi hatuwaamini. Sisi tume bezi na hawa wa matunguli na ungo.
Mganga gani unafika kwake anakuomba umwashie hotspot?
Kwenye jina lako hilo n iweke nyuma ya g halafu ufute k u d na a ya mwisho. Ukipewa hiyo basi umerogwa kabisa na mkeoHii ni kwa wanaume wote, tukae mguu sawa.
Je, hii kitu inaitwa limbwata ipo kweli ama ni mental cases tu zinasumbua watu? Kama lipo la mkoa gani ndo kali?
Unadhani kama ipo tunachomoanaje humo?
Maisha ni kusaidiana, tupeni ushuhuda na uzoefu. Wanawake pia tunawakaribisha.
Nipe basi kazi ya kupokea simu za wateja, nina diploma ya maketingi nilisoma na kina nandy。😂😂😂😂 We mbona una gubu ebu tulia nihudumie watu wenye shida
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kanda ya juu kusini tuko [emoji91][emoji91][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu kuna la kikinga pesa na miradi yote unamkabidhi mkeo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanakujaaaMwanaume mmoja anarogwa na wanawake 10 lazima upagawe [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna moja hilo ndo konki, wanawake km mahusiano yako hayaeleweki, mwanaume hakupi pesa nione chap uchawi unao mwenyewe.!! Na km unataka kulipa kisasi kwa ex afirisike njoo haraka.
Wewe ni ka dalali dalali, harakat zako mkuu.Mwanaume mmoja anarogwa na wanawake 10 lazima upagawe 😂😂😂
Kuna moja hilo ndo konki, wanawake km mahusiano yako hayaeleweki, mwanaume hakupi pesa nione chap uchawi unao mwenyewe.!! Na km unataka kulipa kisasi kwa ex afirisike njoo haraka.
Ngoja simu ifike kwa mamaYeyoo, anifanyie hio kitu mnaita Lipwata.Hii ni kwa wanaume wote, tukae mguu sawa.
Je, hii kitu inaitwa limbwata ipo kweli ama ni mental cases tu zinasumbua watu? Kama lipo la mkoa gani ndo kali?
Unadhani kama ipo tunachomoanaje humo?
Maisha ni kusaidiana, tupeni ushuhuda na uzoefu. Wanawake pia tunawakaribisha.
Lipo.Hii ni kwa wanaume wote, tukae mguu sawa.
Je, hii kitu inaitwa limbwata ipo kweli ama ni mental cases tu zinasumbua watu? Kama lipo la mkoa gani ndo kali?
Unadhani kama ipo tunachomoanaje humo?
Maisha ni kusaidiana, tupeni ushuhuda na uzoefu. Wanawake pia tunawakaribisha.
😂😂😂 wewe mimi natibu kweli, mdharau mwiba guu huota tenda. Shauri yakoWewe ni ka dalali dalali, harakat zako mkuu.
Walete uduguu niwape tiba 😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanakujaaa
😂😂😂 wasituchukulie pouwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kanda ya juu kusini tuko [emoji91][emoji91]
Nilijaribu kumfanyia ex angu m1, nyie bila kumuonea huruma yukee Kaka alikua anapoteaaa, nkamfungulia aendelee na life lake.
Naomba nisamehewee kwa hili. Woiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu yule Kaka nimemcheleweshea maisha yake, anisamehe kwa kweli.[emoji23][emoji23][emoji23] wasituchukulie pouwa
Halafu unapewa maelekezo dawa unafanya mwenyewe, utaona kimtu kinavyoweweseka!!
Kumtoa mpaka umchoke wewe!! Ila la maokoto ndo muhimu, wadada mje msione aibu. Ex kakuacha bado unampenda dawa ipo, wabahili dawa ipo, na wale wa kisasi dawa ipo. Usipofanikiwa narudisha pesa yako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikiona mtu analia lia kwenye mahusiano namuona boya, mie Amani ikikosekana naweka ulinzi.Walete uduguu niwape tiba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂 uduguu una dhambi sana.!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu yule Kaka nimemcheleweshea maisha yake, anisamehe kwa kweli.
Yaan nikimtazama sahivi, nabaki kujisemea, mie sio nitachomwa moto, ila ntakua kuni enyewe. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂 tusiongee sana wataiba codes zetu, wakitaka waje na pesa tuwape dawa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikiona mtu analia lia kwenye mahusiano namuona boya, mie Amani ikikosekana naweka ulinzi.
Nipo poa mtoto mzuri.Mie sijambo!! Vipi wee?