Ni kweli kuna Limbwata au ni vitisho tu?

Labda tungepata maoni kutoka kwa watu wa Tanga au Mbeya!
 
Inakuaje mnakuwa na roho ngumu hivyo?
 
Kuna mbinu za kujidhatiti dhidi ya haya makitu. Maana inatisha sana hizi habari zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…