THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
- Thread starter
-
- #21
Umeleta kitu hapa Wife Material ni tabia na hakuna mtu hapendi tabia nzuri[emoji110]Ukitaka Wife material, awe mweupe na ana tako ni ngumu kidogo maana hao ni watu watatu tofauti.
Ila kama utataka wife material tu bila kuangalia mambo mengine hao watu wapo na ni common YES maana wife material ni tabia, utamaduni na urithi wa mafunzo kutoka kwa wife materials wa zamani(malezi ya wazazi na walezi).
MsikivuMkuu naomba unitajie sifa kuu ambazo unajua wewe zinamfanya mwanamke aonekane ni wife material
Kabisa mkuuUmeleta kitu hapa Wife Material ni tabia na hakuna mtu hapendi tabia nzuri[emoji110]
Ewaaaah very good Ila umesahau hivi mkuuMsikivu
Mwenye upendo
Director/Manager mzuri wa familia
Mwemye Hofu ya Mungu
Mawazo mazuri mkuu..Hofu ya Mungu kitu Mhimu hata kama mwanaume utakua mhuni vipi hili lakuzingatia sana.The first born, nadhani kila mtu ana tafsiri yake ya wife material, lakini mimi kwa mchango wangu katika hii mada nakwenda na hii hadithi hapo chini.
The Prophet (ﷺ) said, "A woman is married for four things: for her wealth, for her lineage, for her beauty or for her piety. Select the pious, may you be blessed!".
Mke mwenye hofu ya Mungu mara nyingi huwa wife material, lakini pia hata mume awe mwenye hofu ya Mungu, na hofuya Mungu haijalishi imani yako, wasiyokuwa na dini hao wanaweza kuchagua mke kwa utajiri wake au nasaba yake au uzuri wake.
Mwenye hofu ya Mungu mbona nmeandika.Ewaaaah very good Ila umesahau hivi mkuu
Mwenye hofu ya Mungu
Muaminifu
Mwenye utu
Asiyejisikia na kuona wote tuko kwenye one level ya maisha
Ifikie hatua hili Jukwaa liitwe La Mahusiano Plus Intelligent[emoji119]Ukielewa nnachokiongea utapata.
Unapotafuta pia tuliza akili, usitangulize past experience kwenye mahusiano mapya.
Muombe Mungu akujalie upate mtu ambae moyo wake haujafunga maumivu.
Maana maumivu (Kumbukumbu mbaya) ndio zinawabadili wanawake wengi kuwa kama walivyo unapokutana nao.
Unaweza kupata free soul aliewekwa kwa ajili yako usiwaze kabisa
Mkuu ni hatari jf Kuna life knowledge and wisdom za kutoshaIfikie hatua hili Jukwaa liitwe La Mahusiano Plus Intelligent[emoji119]
Kwani hili jukwaaa la mambo mengine?[emoji848]Mapenzi, mapenzi, mapenzi, kwan hakuna mambo mengine? Khaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahio munaangalia Hela?[emoji23][emoji23]Tupo ila uchumi unaharibu kila kitu
Kwani swala la Wife Material na Uzuri tuna Include Mkuu?
Sizungumzii jukwaa, nazungumzia weeKwani hili jukwaaa la mambo mengine?[emoji848]