Deejay nasmile JF-Expert Member Joined Nov 8, 2011 Posts 5,794 Reaction score 5,352 Jun 6, 2022 Thread starter #241 Jay Fwemfwe said: Hii true bro ang alikufa kimchezo mchezo bt nikasikia wakerewe wamemloga kisa tu msomi ,try utanishukuru Click to expand... duh pole sana
Jay Fwemfwe said: Hii true bro ang alikufa kimchezo mchezo bt nikasikia wakerewe wamemloga kisa tu msomi ,try utanishukuru Click to expand... duh pole sana
Shoctopus JF-Expert Member Joined Dec 29, 2015 Posts 3,434 Reaction score 1,985 Jun 6, 2022 #242 Deejay nasmile said: Katika pitapita zangu nimekutana na hii habari, kuwa kuna vyakula/vinywaji hutakiwi kula kwa wakati mmoja. Yaani "mfano" ule yai wakati huo huo ule ndizi utakufa. Je ni kweli na kama kweli vipo? Msaada wa kuvitaja Click to expand... Yai la mamba na ndizi mbichi au?
Deejay nasmile said: Katika pitapita zangu nimekutana na hii habari, kuwa kuna vyakula/vinywaji hutakiwi kula kwa wakati mmoja. Yaani "mfano" ule yai wakati huo huo ule ndizi utakufa. Je ni kweli na kama kweli vipo? Msaada wa kuvitaja Click to expand... Yai la mamba na ndizi mbichi au?
Njemba Soro. JF-Expert Member Joined Oct 5, 2013 Posts 3,732 Reaction score 6,561 Jun 6, 2022 #243 Percy said: kama ndo hivo mbona nimgeshakufwa siku mingi, btw mayai Ya kuchemsha ndizi na maziwa ndo chakula changu kila siku asubuhi. Click to expand... SEMA UKIJAMBA NI HATARI.
Percy said: kama ndo hivo mbona nimgeshakufwa siku mingi, btw mayai Ya kuchemsha ndizi na maziwa ndo chakula changu kila siku asubuhi. Click to expand... SEMA UKIJAMBA NI HATARI.
Deejay nasmile JF-Expert Member Joined Nov 8, 2011 Posts 5,794 Reaction score 5,352 Jun 6, 2022 Thread starter #244 Njemba Soro. said: SEMA UKIJAMBA NI HATARI. Click to expand... hahahaha