Ni kweli kuna wanawake wananyota nzuri ukiwa nao au ni dhana tu?

Ni kweli kuna wanawake wananyota nzuri ukiwa nao au ni dhana tu?

Jana niliona uzi wako ukizungumzia masuala mbalimbali ya nyota, ndoto nk.

Sasa Mimi niliota ndoto kuhusu Jambo ambalo liliniachia maswali mengi, Kama hutojali naomba unisaidie kunielewesha juu ya hii ndoto.

Niliota nilikuwa najiandaa na mtihani muda unafika wa kupanga foleni kuingia kwenye chumba cha mtihani, ghafla nakumbuka sina ID nikaanza kufanya juu chini ili nirudi nyumbani kuifuata.

Kuangalia vizuri nyumbani mbali, lakini ikabidi nianze kukimbia haraka, ghafla nikakanyaga vitu vya watu, wale watu waliponiona wakaanza kunifukuzia, nikapita njia nyingine ambayo ni mzunguko.

Wakati najaribu kuona namna gani naweza kuiwahi ID, wazo likanijia nikodi bodaboda zilizo maeneo hayo, nikafanikiwa. Ile tumeondoka nikawa namwambia boda aongeze spidi ili niwahi kuchukua ID halafu anirudishe tena.

Sasa ghafla spidi ikapungua kumuliza akasema nimlipe kwanza, Basi nikamlipa baada ya kumlipa ndo ananiambia pikipiki imeharibika, kucheki muda ni saa tatu na mtihani ulikuwa unaanza saa mbili, na sheria ukichelewa nusu saa haufanyi mtihani.

Basi nikawaza ngoja niachane na ID nirudi eneo la mtihani ili nikawabembeleze kwa kutunga hata Sababu yenye mashiko nifanye mtihani bila ID, wakati nawaza hivyo naona jamaa watatu wapo na bodaboda wanakuja, miongoni mwao Kuna jamaa nilikuwa namfahamu nikaomba ashuke mtu mmoja wanipakie mimi ili niwahi kunako mtihani.

Ile tupo njiani nashtuka kutoka usingizini...

Basi nikawaza juu ya ndoto hii nimekosa majibu mpaka Sasa.

Hii wanasemaga kuna jambo kubwa la stage ya kimaisha hujalifanya bado na unaliwazia sana mfano, kuoa/kuolewa, kujenga, kuanzisha biashara kubwa unayoiwaza miaka etc

Ila watakuja kunyoosha zaidi
 
Jana niliona uzi wako ukizungumzia masuala mbalimbali ya nyota, ndoto nk.

Sasa Mimi niliota ndoto kuhusu Jambo ambalo liliniachia maswali mengi, Kama hutojali naomba unisaidie kunielewesha juu ya hii ndoto.

Niliota nilikuwa najiandaa na mtihani muda unafika wa kupanga foleni kuingia kwenye chumba cha mtihani, ghafla nakumbuka sina ID nikaanza kufanya juu chini ili nirudi nyumbani kuifuata.

Kuangalia vizuri nyumbani mbali, lakini ikabidi nianze kukimbia haraka, ghafla nikakanyaga vitu vya watu, wale watu waliponiona wakaanza kunifukuzia, nikapita njia nyingine ambayo ni mzunguko.

Wakati najaribu kuona namna gani naweza kuiwahi ID, wazo likanijia nikodi bodaboda zilizo maeneo hayo, nikafanikiwa. Ile tumeondoka nikawa namwambia boda aongeze spidi ili niwahi kuchukua ID halafu anirudishe tena.

Sasa ghafla spidi ikapungua kumuliza akasema nimlipe kwanza, Basi nikamlipa baada ya kumlipa ndo ananiambia pikipiki imeharibika, kucheki muda ni saa tatu na mtihani ulikuwa unaanza saa mbili, na sheria ukichelewa nusu saa haufanyi mtihani.

Basi nikawaza ngoja niachane na ID nirudi eneo la mtihani ili nikawabembeleze kwa kutunga hata Sababu yenye mashiko nifanye mtihani bila ID, wakati nawaza hivyo naona jamaa watatu wapo na bodaboda wanakuja, miongoni mwao Kuna jamaa nilikuwa namfahamu nikaomba ashuke mtu mmoja wanipakie mimi ili niwahi kunako mtihani.

Ile tupo njiani nashtuka kutoka usingizini...

Basi nikawaza juu ya ndoto hii nimekosa majibu mpaka Sasa.
Nakujibu Kwa ufupi!
Nikitulia jumamosi nitaupitia ule uzi kujibu swali moja moja..

Ndoto yako kuna mazingira ya kucheleweshwa, kuna hatua unatakiwa kupiga. Kuna sehemu ya wewe kujichelewesha na pia kuna vitu vinakuchelewesha ambavyo una amini vinaweza kukusaidia
 
Mbona malaya wacheza ex huko USA kama akina moriah mills ni matajiri na wanachanganya sn machine.

Hiyo ni dhana tu haina uhalisia wowote.
Utajiri ni jambo moja kwenye maisha.. ( alafu unaona hela Tu ndio Mambo kukunyookea ) kunaambo mengi Sana kwenye maisha... Unaona ni matajiri Ila nyuma Yale huelewi kinacho endelea kwenye maisha yao, na wengi hufa vifo vya ovyooo wanaishi maisha ya ajabu Sana..
 
Hili suala nilikua nalisikia tu lakini sasa niko asilimia nyingi kuamini kua kuna wanawake ukiwanao au ukikutana nao wanakua na bahati sana. kuna mdada kila tukikutana baada ya hapo nitapata habari njema, nashangaa sana.
ni kweli haya mambo yapo au ni coincidence tu?
Wapo wenye nyota
Wapo wenye mikosi
Wapo mlango wa nane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli hilo halina ubishi..
Unapolala na mwanake spiritual mnaunganika na kuwa nafsi moja (kitu kimoja ).. bahati yake inakuwa yako mkosi wako unakuwa wako... ila pia utatembelea ki smart chake kama nyota yake kali kukuzidi kuliko wewe kwenye mafanikio au kama nyota yako kali kuliko yeake atakuwa mnufaika, na kama mmebalace pia nzuri...

ndio maana kuokota okota ni hatari sana pia, unaweza haribu maisha yako kwa usiku mmoja na kabao kamoko tu.... ngono nyuma yake ina mafumbo makubwa sana, kama watu wangejua wangekuwa waoga sana kutiana tiana ovyoo.. nikitulia nitashusha nondoo iliyoshiba.. ili atae taka kuelewa aelewe na mmbishi akaze shingo pia
Mkuu hebu fanya kushusha hizo nondo na sisi tufaidike jamani
 
Ni kweli kbsa, Unapodhiriki ngono na mtu huwa unabadilishana naye nguvu za kiroho kupitia shahawa na kutengeneza kitu kinaitwa soul tie.

Kwa hiyo Kama mwenza wako alikuwa Ni mtu wa mikosi,umaskini,magonjwa Basi na wewe utaandamwa na hayo kupitia zile nguvu za kiroho ulizobadilishana naye wakati wa tendo.

Kwa mfano mwanaume aliyeoa anaweza akapata mchepuko huko nje na akafanya naye mapenzi na baada ya hapo anarudi nyumbani kwa mkewe na kushiriki naye tendo.Ghafla wataanza kushuhudia mikosi ndani ya nyumba yao Kama vile magonjwa,kuporomoka kiuchumi na mengineyo.Haya yanaweza kuwa yamesababishwa na lile tendo la ngono aliloshiriki na mchepuko wake.

Tuweni makini Sana na watu tunaofanya nao mapenzi.Ukiwa umeoa ama umeolewa Ni vizuri ukatulia kwa mwenza wako.
 
Ni kweli hilo halina ubishi..
Unapolala na mwanake spiritual mnaunganika na kuwa nafsi moja (kitu kimoja ).. bahati yake inakuwa yako mkosi wako unakuwa wako... ila pia utatembelea ki smart chake kama nyota yake kali kukuzidi kuliko wewe kwenye mafanikio au kama nyota yako kali kuliko yeake atakuwa mnufaika, na kama mmebalace pia nzuri...

ndio maana kuokota okota ni hatari sana pia, unaweza haribu maisha yako kwa usiku mmoja na kabao kamoko tu.... ngono nyuma yake ina mafumbo makubwa sana, kama watu wangejua wangekuwa waoga sana kutiana tiana ovyoo.. nikitulia nitashusha nondoo iliyoshiba.. ili atae taka kuelewa aelewe na mmbishi akaze shingo pia
upo sahihi kabisa mkuu
 
mkuu hii mlango wa nane ni nini maanayake? unaweza kueleza kiundani kidogo?
 
Ni kweli hilo halina ubishi..
Unapolala na mwanake spiritual mnaunganika na kuwa nafsi moja (kitu kimoja ).. bahati yake inakuwa yako mkosi wako unakuwa wako... ila pia utatembelea ki smart chake kama nyota yake kali kukuzidi kuliko wewe kwenye mafanikio au kama nyota yako kali kuliko yeake atakuwa mnufaika, na kama mmebalace pia nzuri...

ndio maana kuokota okota ni hatari sana pia, unaweza haribu maisha yako kwa usiku mmoja na kabao kamoko tu.... ngono nyuma yake ina mafumbo makubwa sana, kama watu wangejua wangekuwa waoga sana kutiana tiana ovyoo.. nikitulia nitashusha nondoo iliyoshiba.. ili atae taka kuelewa aelewe na mmbishi akaze shingo pia
Nakubaliana na wewe Mjomba Yani ni ukweli mtupu
 
Back
Top Bottom