Dogoli kinyamkela
JF-Expert Member
- Nov 21, 2024
- 618
- 1,440
Na ndio pona pona Yako iyo😂😂🤪🤪
Kuna mpangaji mmoja Kila nikienda kumdai Kodi naishia kujua Khali yake na kumuuliza changamoto za nyumba ananiambia wako fresh tu, ila nikitoka mguu hapo hasira za deni zinakuja alimaliza miezi 6 hata simuulizi habari ya Kodi🤪🤪 alikuja kufa kwa sababu ya kuvuta bangi+kubeli+ tambuu akawa hali chakula wakasafirisha kwao kigoma
Mwanangu mimi sahivi kumfanya mtu swala kibiti ni dk sifuri Yan watu tunahussle tunajichanga alafu uje ule kizembe tuNingekupa tafu ila ww unataka kudhulumu tatizo 🤣🤣😂😂😂🏃🏾♂️🏃🏾♂️
SI ndo apo mkuuuMwanangu mimi sahivi kumfanya mtu swala kibiti ni dk sifuri Yan watu tunahussle tunajichanga alafu uje ule kizembe tu
Pitia hii kwanzaWakuu kwema?
Nimisikia kuhusu hili na maeneo ya Mbezi Beach, Mikocheni na Masaki Masaki huko ni wahanga kweli.
Unajenga nyumba inaweza ikabaki kidogo au ukaimaliza kabisa lakini ukawa una sehemu nyingine ya kuishi, sasa hapo ambapo hujamalizia au ulipomalizia unaweka mtu wa kukulindia au mshkaji anakuomba akae hapo ukimaliza ujenzi au siku ukitaka kujamia atahama.
Lakini kila ikitaka kwenda kumalizia ujenzi unasahau, kila ukitaka ukaangalie nyumba yako unasahau, kumbe umepigwa kirogo usahau nyumba yako watu wajifaidie. Wanakaa hapo hadi wanapata wajukuu.
Bila ya kuwa vizuri kwenye mizimu yenu au ukaenda na mchungaji mkapiga maombi ndio imetoka hiyo, hakuna kuzinduka. Ndio ukute ulikuwa unajenga kisirisiri, ndio inakua imeisha hiyo.
Mzee wa mizimu hii imekaaje Mshana Jr? Ni kweli haya yanafanyika au stori tu za mtaani?
Uchawi upo kweli kwenye hayo mambo lakini si mara zote bali kinachotokea ni asili inachukua mkondo wakeWakuu kwema?
Nimisikia kuhusu hili na maeneo ya Mbezi Beach, Mikocheni na Masaki Masaki huko ni wahanga kweli.
Unajenga nyumba inaweza ikabaki kidogo au ukaimaliza kabisa lakini ukawa una sehemu nyingine ya kuishi, sasa hapo ambapo hujamalizia au ulipomalizia unaweka mtu wa kukulindia au mshkaji anakuomba akae hapo ukimaliza ujenzi au siku ukitaka kujamia atahama.
Lakini kila ikitaka kwenda kumalizia ujenzi unasahau, kila ukitaka ukaangalie nyumba yako unasahau, kumbe umepigwa kirogo usahau nyumba yako watu wajifaidie. Wanakaa hapo hadi wanapata wajukuu.
Bila ya kuwa vizuri kwenye mizimu yenu au ukaenda na mchungaji mkapiga maombi ndio imetoka hiyo, hakuna kuzinduka. Ndio ukute ulikuwa unajenga kisirisiri, ndio inakua imeisha hiyo.
Mzee wa mizimu hii imekaaje Mshana Jr? Ni kweli haya yanafanyika au stori tu za mtaani?
Haya mambo yapo sana🤪🤪
Kuna mpangaji mmoja Kila nikienda kumdai Kodi naishia kujua Khali yake na kumuuliza changamoto za nyumba ananiambia wako fresh tu, ila nikitoka mguu hapo hasira za deni zinakuja alimaliza miezi 6 hata simuulizi habari ya Kodi🤪🤪 alikuja kufa kwa sababu ya kuvuta bangi+kubeli+ tambuu akawa hali chakula wakasafirisha kwao kigoma
Ni kweli, sisi mama yetu mdogo na wanawe walikuwa wanaturoga sana ila walishindwa kwa sababu sisi ni ukoo mwingine.Wakuu kwema?
Nimisikia kuhusu hili na maeneo ya Mbezi Beach, Mikocheni na Masaki Masaki huko ni wahanga kweli.
Unajenga nyumba inaweza ikabaki kidogo au ukaimaliza kabisa lakini ukawa una sehemu nyingine ya kuishi, sasa hapo ambapo hujamalizia au ulipomalizia unaweka mtu wa kukulindia au mshkaji anakuomba akae hapo ukimaliza ujenzi au siku ukitaka kujamia atahama.
Lakini kila ikitaka kwenda kumalizia ujenzi unasahau, kila ukitaka ukaangalie nyumba yako unasahau, kumbe umepigwa kirogo usahau nyumba yako watu wajifaidie. Wanakaa hapo hadi wanapata wajukuu.
Bila ya kuwa vizuri kwenye mizimu yenu au ukaenda na mchungaji mkapiga maombi ndio imetoka hiyo, hakuna kuzinduka. Ndio ukute ulikuwa unajenga kisirisiri, ndio inakua imeisha hiyo.
Mzee wa mizimu hii imekaaje Mshana Jr? Ni kweli haya yanafanyika au stori tu za mtaani?
Mkuranga pasikie hivi hivi yalinikuta kuleMzee wangu huwa ana shamba moja kubwa sana Mkuranga lina ardhi nzuri sana kwa ajili ya kulimo cha mihogo pia kuna nyumba ya kawaida anakaa mzee mmoja na familia yake miaka kadhaa sasa
Cha kushangaza mzee huwa hataki tulime mihogo wala kuvuna nazi katika shamba hilo vyote kamuachia huyo mzee analima almost miaka kumi sasa
Bad enough kuna wawekezaji walitaka kununua hili shamba walitaka kutoa kama 250M ivi ila mzee alikata with no reason. Sijui ndo mzee wetu kalogwa
NB: 250M kwa hili shamba ni offer nzuri na worth enough kwa hili eneo