Tlaatlaah JF-Expert Member Joined May 18, 2023 Posts 24,665 Reaction score 25,388 Apr 14, 2024 Thread starter #21 Lethergo said: Baba yangu mkubwa alikua Mpishi wa Hotel kubwa TU Ila alikua amekiuka Miiko mpaka anafariki alikua hajaoa kafa Hana hata mtoto mmoja Click to expand... ooh asie
Lethergo said: Baba yangu mkubwa alikua Mpishi wa Hotel kubwa TU Ila alikua amekiuka Miiko mpaka anafariki alikua hajaoa kafa Hana hata mtoto mmoja Click to expand... ooh asie
Tlaatlaah JF-Expert Member Joined May 18, 2023 Posts 24,665 Reaction score 25,388 Apr 14, 2024 Thread starter #22 Lethergo said: Kwetu Sisi Mila na desturi zetu Mwanaume ni Mwiko kumfunua Chungu cha mpishi wa kike ni Mwiko kabisa hio imetuhimiza tusiwe wachezea masufuria Click to expand... ni kweli kabisa
Lethergo said: Kwetu Sisi Mila na desturi zetu Mwanaume ni Mwiko kumfunua Chungu cha mpishi wa kike ni Mwiko kabisa hio imetuhimiza tusiwe wachezea masufuria Click to expand... ni kweli kabisa
Mwanga Lutila JF-Expert Member Joined Nov 10, 2016 Posts 4,208 Reaction score 14,143 Apr 14, 2024 #23 Mimi sijawahi kupigwa na mwiko na kulia kwenye sufuria na sijaoa hadi Leo Kwa hapo unasemaje labda?
Tlaatlaah JF-Expert Member Joined May 18, 2023 Posts 24,665 Reaction score 25,388 Apr 14, 2024 Thread starter #24 Mwanga Lutila said: Mimi sijawahi kupigwa na mwiko na kulia kwenye sufuria na sijaoa hadi Leo Kwa hapo unasemaje labda? Click to expand... utaoa tu, 40yrs bado bado, ma kuna mwingine bado hajafill kabisa kuchochewa na life realities kwa upande wa kua na mke au mtoto but hiyo hali itakuja tu
Mwanga Lutila said: Mimi sijawahi kupigwa na mwiko na kulia kwenye sufuria na sijaoa hadi Leo Kwa hapo unasemaje labda? Click to expand... utaoa tu, 40yrs bado bado, ma kuna mwingine bado hajafill kabisa kuchochewa na life realities kwa upande wa kua na mke au mtoto but hiyo hali itakuja tu
To yeye JF-Expert Member Joined Oct 4, 2022 Posts 35,686 Reaction score 86,968 Apr 14, 2024 #25 Kwani lazima muoe?